Emerging rift between Uganda and Tanzania

Ungelijibu hoja kwa hoja. Kwani unataka kusema kuhusu nini mkuu!
 

Huo niurafiki gani ambao wakenya wenzie hawa uafiki!?

Kuna wengi hawakupendezwa na hilo



 
wewe....haya
 
Tabia ya kulalama n.a. kulaumu imetudumaza kiakili...karibu itadumaza n.a. roho pia
 
Tabia ya kulalama n.a. kulaumu imetudumaza kiakili...karibu itadumaza n.a. roho pia

..tatizo letu hatuchukui hatua.

..tunatakiwa tulalamike na tulaumu halafu tuchukue hatua.

..maisha ya waTz ni magumu kutokana na miongo kadhaa ya uongozi mbovu wa ccm. Suala la wananchi kulalamika na kulaumu haliepukiki.
 
..

..labda nchi marafiki wameshaelezwa "tatizo" linalosababisha mkulu asihudhurie hiyo mikutano.

..Jenerali Ulimwengu alishaligusia hilo "tatizo" in one of his articles.

.."tatizo" siyo LUGHA ni suala lingine.

..sasa hii inanikumbusha enzi zile za Soviet Union. Brezhnev, Andropov, Chernenko, walikuwa hawasafiri. Kila mahali alikuwa anakwenda Andrei Gromicko.

Cc MOTOCHINI, MK254
 

Hehehe tatizo lenu JokaKuu nikuwa
Ninyi mlitaka Rais wa kabila au wa ukanda wenu
Sio vinginevyo.
Mlikuwa radhi yeyote yule atakaye gombea kutoka Kaskazini kwenu nilazima mumpambie pasipo kuangalia uwezo,matendo na Imani yake kwa Watanzania.

Hivyo basi Kwa Magufuli kufanya lolote na mkaona kafanya vyema itakuwa ngumu sana,
Lakini kwakuwa tumesha lifahamu hilo
Magu hataweza kuteteleka kamwe,
Nahuyo mnaye mpambia kamwe hataongoza Taifa hili .
 
Nilivyoona kichwa cha habari nikasttuka kuona, hii ni nini tena,
lakini nilivyosoma heee nimecheka nikaona kumbe ni ile wishfull thinking in the making.
Ahaa haaa haaaaa fisi anasubiria mkono kuanguka.
In any how TATOL wont risk their capital to route the pipeline through a terrorism stricken kenya. Hiyo sahau.
 

..duh.

..umetoka nje ya mada.

..achana na mambo ya ukanda, ukabila, udini etc.

..jikite kwenye hoja zilizoko mezani.

..sasa na mimi nikisema unamsifia na kumtetea Magu kwasababu mmetoka kanda moja si nitakuwa nimeharibu mjadala??

..kanda ninayotoka mimi haiathiriki na na nani ni Raisi wa Tz.

..at an individual level, usijitenge kuwa wewe ni wa kanda fulani au mkoa fulani. Jichukulie kama Mtanzania. Tafuta opportunities popote pale Tz.

..hata ktk uongozi wewe gombea popote pale. Usijifungie kwenye ukanda na ukabila.
 

Kila kitu ulicho sema ni sahihi kabisa, isipokuwa commando aliye uwawa Uganda alikuwa kaka yake Natenyahu.

Wakati wa utawala wa Jomo Kenyatta makomando wa Israel walikubaliana na Serikali ya Kenya kuruhusiwa kujaza mafuta ya ndege zao zilizo husika katika rescue mission ya mateka huko Entebbe Uganda - hiyo inaweza kuwa vile vile ni sababu ya Netanyahu kwenda Kenya kuwashukuru kwa msaada walio toa kwa Makomando wa Israel.
 
Kuna watu wanaitwa mercenaries ama mamluki, kwa kawaida nchi moja huwapeleka nchi ingine kwa lengo maalumu na mara zote ni highly trained personel ambao wataweza kutekeleza kwa uhakika jukumu lao.

Je wanaoletwe EAC ni kweli ni wakimbizi? Je nchi husika baada itawafanyaje wakimbizi hao? Je wao ndio wamechagua kupelekwa huko ama Israel ndio imewachagulia?
 
Mkuu hii si ni fursa ya kuelimisha wenye tatizo kwanini hali imekuwa hivi.
Hayo uliyoandika hayahusiani na mada wala hayajibu mada , kufafanua au vinginevyo. Yanonyesha utupu wa hoja na hivyo mashudu yanaweza kujazia
 
Kuna kitabu cha '90 minutes at Entebe'' kinaeleza safari nzima na jinsi walivyokoa matekwa.
Hapo utamkuta Gen Moshi Dayan aliyekuwa na heshima sana, alipokubali mpango mission ikafanyika. Wakati wakiingia Entebbe Dayan alikuwa anakula story na Amin akiwa angani eneo la Afrika Mshariki.
 
Nadhani na exposure ya viongozi wengi katika international affairs ni changamoto pia
 
Kwanza jitambulishe kama wewe no mjaluo au mkikuyu au kabila gani kwani hakuna nchi inaitwa kenya!
 
Watu wote wanaojiita wakenya wameshikishwa adabu na alshaabab ya somalia kiasi cha kuhitaji msaada toka israel. Sasa sijui mkaa mtatoa wapi maana ndiyo kazi mnayofanya somalia.
 
Your argument is self-defeating. Kama hoja yako ndiyo hiyo ya kutokuwepo ugaidi au vita, waziri wa mambo ya nje kaenda kufanya nini? By the way, intelijensia si inaonyesha hali ya amani ni tete hapa Tanzania?
 
na Burundi alienda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…