Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Ungelijibu hoja kwa hoja. Kwani unataka kusema kuhusu nini mkuu!Wacheni kutafuta kila jambo kama mtaji wenu kisiasa,
Hao alio watuma wao sio viongozi?
Mfikie hatua mtafute mambo yakutumia akili zaidi ili kuendana na kazi yenu ya siasa
Sio kila siku kutafuta lipi kafanya au hakufanya rais.
Mmekuwa ndumila kuwili wa siasa
Full unafiki usio na kifani
Kesho akianza safari nilazima mtasematu,
Kwataarifa yako hata Rais wa Kenya
Naye anasemwa vibaya na watu kama ninyi
Kwamba anasafiri sana .
Magu akifuata kelele za chura kamwe hatutavuka mtu