MONSI WENGA
Member
- Aug 7, 2011
- 51
- 34
Mbwenu waweee.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyege la watu...........nshomile hadi JKT.........
Unavua viatu kwani unalala hapahapa? Mia
bakusiima kwiruka walaba omwanyu..Atakanyukwile tikoma
Mwakola abomuka
Olwokufa...ogoka,Embwa olweijakufa... elaiya,Tigashana munyi,
Waitu mpaho.
1. Kagunju kula oli wambwa
2. Akaranga obwomile tagwisa mukono
3. Akagunju kalafa tikahulira nzamba
4. Ehyo oinayo niyo otegela baro
5. Yombeka mpango takutelaho muganda
6.obukya nibwila bwiganisa omwana na nyina
7.empisi y'owanyu ekulya bundi wawanyu
8.enkombo okwo eyemile nikwo etegwa
9.timbikolwa afa nabunga
10. Akatanyukwire tikooma
11. Embaza makulu ebaza na agataginagize
12. Engamba kumalayo esiimwa bake......................! Mpaho
abana bata.......bagumile!
hivi jamii forums kumbe members wengi ni wahaya?
hivi jamii forums kumbe members wengi ni wahaya?
Wala usiogope, na ukitaka demu wa kihaya, we muahidi kumuoa tu:
Ninkugonza muno mgole. Omukama kalasingye, tuikale hamoi.
Na jinsi watani zangu walivyo hawajui kukataa, mbona wako huyo, cha muhimu tu ukatafute panzi (senene) na kichane kimoja cha ndizi kisukari iliyoivia mtini (akanana) halafu nibipu nikupeleke kwa wakwe.
Nyie Wahaya,
Mie ni Mnyamwezi. Ila nikiwa JKT, nilikuwa na rafiki yangu mmoja akiitwa Kemibala. Siku moja walimvamia mzee mmoja Mvinza na kuanza kumlia karanga zake huku wakicheka saana. Yule mzee mwisho akachukia ila unaona kabisa alikuwa hawezi kuwafanya kitu basi nikasikia akapia kelele ....
" Ahhh, K**i Mp**i Y**e...." Jamaa hadi walianza kugaragara kwa kicheko. Niliwauliza maana ya hili neno na kila mhaya ninayemfahamu huwa anakataa kusema. Hebu nidondosheeni maana yake kwenye PM maana kwa vyovyote vile, ni tusi moja zoto.....