Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baliigulu kuhulilabagambila balinsi......
Una demu Muhaya?Mkiandika kihaya wekeni na tafsiri za kiswahili wengine tujifunze pia basi.
Hapana, mimi napenda kujua misemo na lugha mbalimbali tu.Una demu Muhaya?
Ok good mkuuHapana, mimi napenda kujua misemo na lugha mbalimbali tu.
Najifunza sana Kisukuma,Kiingereza, Kiswahili, Kilatini, Kifaransa, Kihispania, na kujua maneno machache ya Kihaya si vibaya.
Naiwe olyo wo muka[emoji23] [emoji23] [emoji23]...kihaya kigumuItakuwa asee zile swaga balaa
Mwe????Naiwe olyo wo muka[emoji23] [emoji23] [emoji23]...kihaya kigumu
[emoji23] [emoji23]Chonka oli karungi muno iwe kanana, Nolwo ntalya mmaju bojo, ne'binamu enshoro!
Nahitaji sana mkuu.. MafunzoUnajua kila neno la Kihaya lina chimbuko lake na ndiyo maana hii lugha ina kila sifa ya kuwa lugha ya kimataifa. Inatumia punctuation signs zote, tenses zote n.k kitu ambacho lugha nyingine za kibantu hazina.
Mfano: Naenda kanisani
Wasiojua KIhaya wananaandika ... Ningya omu Ishomelo / Ningya omu Kanisa
Wanaojua Kihaya tunaandika .. Ningy'Omwishomelo / Ningy'Omukanisa.
Kuna kipindi tulitaka kuanzisha mafunzo ya lugha hii kimtandao lakini kuna mambo yalileta changamoto .. ila hii lugha .. basi tu! Na ndiyo maana ni raisi hata kwa wengine kujifunza tofauti na lugha za kibantu nyingine.
Daah! Is this serious mkuu?😀olujonjogomo lujonjogomolwa alalujonjogomoile, atakalujonjogomolaga talujonjogomola lukajonjogomoka!!
Mkuu, sisi wengine wageni hapa! Unaweza kutusaidia tafsiri?Naiwe olyo wo muka[emoji23] [emoji23] [emoji23]...
Mmmmh,kwa habari ya matumizi ya mitishamba nilidhani Wamasai?Ila mimi napenda kuuliza swali,kwanini wahaya wengi hasa akina mama wanajua sanaa madawa ya mitishamba haya?but pia niwe mkweli wengi wao poa wana ushirikina sana kwanini?
Hawa wanataka kutambuana humu kama huwajui...ndo maana nimeona comment ya mmoja kauliza, iwe oliwomuka? Maana yake nawewe ni Wa kwetu?Mkiandika kihaya wekeni na tafsiri za kiswahili wengine tujifunze pia basi.
Haaaaa haaaaa.....JF raha sanaHawa wanataka kutambuana humu kama huwajui...ndo maana nimeona comment ya mmoja kauliza, iwe oliwomuka? Maana yake nawewe ni Wa kwetu?
Tabia hii ya kujinasibisha kikabila siyo njema...japo ndo nature ya kabila lenyewe...
Mimi sioni ubaya.Hawa wanataka kutambuana humu kama huwajui...ndo maana nimeona comment ya mmoja kauliza, iwe oliwomuka? Maana yake nawewe ni Wa kwetu?
Tabia hii ya kujinasibisha kikabila siyo njema...japo ndo nature ya kabila lenyewe...
Kuna mawili wenda huna kabila(mkimbizi) au kikabila chakp cha hovyo..! Mgogo au mumakonge...Hawa wanataka kutambuana humu kama huwajui...ndo maana nimeona comment ya mmoja kauliza, iwe oliwomuka? Maana yake nawewe ni Wa kwetu?
Tabia hii ya kujinasibisha kikabila siyo njema...japo ndo nature ya kabila lenyewe...
Mumakonge? Au unamaanisha Mmakonde?Kuna mawili wenda huna kabila(mkimbizi) au kikabila chakp cha hovyo..! Mgogo au mumakonge...