Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Nyie Bijampola mpola!

si mtwambie na maana za hiyo misemo basi? maana hivi mnavyo fanya ni sawa na mtu ana story badala ya wasilizaji ku enjoy anvyo hadithia, ana-enjoy mwenyewe!! hapa ni wanyumbani tu ndio wana enjoy! Mimi Babu yenu. I am out!
 
hawa jamaa kwa kupenda ukabila (kuongea kilugha hata kama kuna mtu/ watu wa kabilia jingine), hapa ndio umewafikisha, wache tu waendelee , mbona ndio zao?:angry:
 
Juma Mkambi wa Yanga Africans, kutera mupira very fantastiki, Kutera two positions at a time!
 
Ekyaizile; Mabere
Kwa Kiswahili inaweza kufananishwa na la kuvunda, halina Ubani au Sikio la kufa halisikii dawa.
Ila maana yake halisi ni kuwa Jambo lililokwishatokea ni sawa na matiti kwa binti. Ilimradi anakuwa basi lazima yatatokea na huwezi kuzuia.
 
Olwo walile e-embwa, Olye e-njungu. Otakulya Popiness eina embungo.
Ukiamamua kula mbwa, basi kula aliyenona. Usile dizaini ya popiness wenye wadudu na magonjwa.
 
Waitu nimbanyegeza o'mwaitu!!nimbashabira mugwihukeo'ge o'mwaka guya!nimubona mutai ketwakukola akantu kamoi tukeiga tukanyangana nikwobibabanza anga?? Bojo mporole!nolwo mwakumpiem taliyo mwaga tubanze kukodineti
 
Waitu nimbanyegeza o'mwaitu!!nimbashabira mugwihukeo'ge o'mwaka guya!nimubona mutai ketwakukola akantu kamoi tukeiga tukanyangana nikwobibabanza anga?? Bojo mporole!nolwo mwakumpiem taliyo mwaga tubanze kukodineti

nimepata mkarimani... wazo lako ni zuri.. au kwa kihaya nimeambiwa nisema --- EIWAZO LYAWE LLUNGI MUNO.. OPANGE TUBONANGANE NKAI!!.. TULAKU-PM
 
Back
Top Bottom