Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Ingekuwa Busara kwa aliyepost thread hii akajenga hoja kwa Administrator wa site ili kama ataona kuna haja awaanzishie Room for Haya language.

Vingenevyo naweza kusema mambo mawili:

1.Misemo kama misemo sio kitu kibaye kwenye jamii, hivyo ilitakiwa ukishaandikwa kihaya utafsiriwe ama kiswahili au chingereza ili watu wapate maana yake, pengine misemo hiyo inaweza kuwa na maana ya msingi tu katika maisha yetu ya kitanzania na kidunia ya kila siku. Lakini kuacha bila tafsiri ni matumizi mabaya ya muda wetu sisi wana JF tusiojua lugha husika. Naona reply yangu hii iwe onyo kwako mwandishi kwamba tupo kufundishana na kueleweshana hapa na sio kupotezeana muda.

2.kwa kupost kitu kama hiki katika jamii ambayo hujaiandaa maana yake ni kutufundisha na kutukumbusha kwamba pamoja na nguvu nyingi alizotumia muasisi wa taifa hili kupiga vita ukabila bado kwa nyinyi wahaya safari bado ndefu. Sana sana wazo jingine pengine ni namna ya kujaribu ku tress how many hayas are there on the JF room, mimi sio msemaji wa forum lakini nina hakika forum hii haikuandaliwa kwa hilo.

Myself i am trying to be out of the habit like yours, once i managed take your part you will also be the same.

BE GOOD MAN!


Wewe unatafuta nini huku????? kwani hukuonachichwa cha posting??? watu wengine bwana eti muasisi wa taifa, ANGEKUWA SI MKABILA ANGEWACHAGUE BUTIKU, WARIOBA na WAKURYA WOTE KUWA WATU WAKE WA karibu.


KOTALIMCHENKUZI OMBACHENKUZI NOIGAYOKI????


waitu nayongelao..... OBULANULA BUBANZA N'enanga...
 
Shobolola ebi;-
1. Olya ankajunzile nk'Abaziba
2. Wazila ekyotemeile nk'Omuhamba kabwanga kwijula aijuliza amaizi.
3. Kimbe ntakulya ey'Omuyoza.
 
1.ayalikire tasheka kenku!
2.akaranga obwomire tagwisa mukono.
3.eyo oinayo nihyo otegela balo!
4. Timbikolwa afa nabunga.
5. Enkokoromi etagamanyile, ekakokoroma abaganda bakyaile
6. Chumba tulye nihyo nkungani y'abatunzi
7. Murungi timusige, enaku zikwita nawe
8. Ensenene ngezi egendela aha itoju..............
 
Owawe kw'achumita, olelembya: Meaning, when you go hunting and your relative spears, you are sure of going home swimming a piece of meat!

That's why when we get some juicy posts, we are proverb-bound to favour our kin
 
Emali bantu!
waitu nkizoka abagurusi mulyo omukianda nimugya kulya ekilo kikulu, bona mbakeise abo mukai!
 
Itakuwa na maana tu pale tafsiri ikitolewa sambamba na neno husika. Otherwise ni madudu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Itakuwa na maana tu pale tafsiri ikitolewa sambamba na neno husika. Otherwise ni madudu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wivu tu! Mzee huna kabila nini? au ndo ninyi wenye makabira yasiyojulikana? Tafsiri ya nini? Wahaya wanajua kinachoandikwa au hujaona ile thread ya methali nawe uchangie?
 
Mbwenu waitu, krismasi yeijire bwana, olubisi ne syenene na amatoke biriyo omuka genda obitware obirete ewange tubirye. Mpawo.
 
Dah
Kweli ninyi ni wabaguzi.
Kwa nini msitumiane kwenye PM hizo gambirishaija zenu?
Je public inafaidika nini na ujinuni wenu??

Jaribuni kuwa moderate au la nendeni to HELL gadem zenu
 
Back
Top Bottom