Lowenstern
Member
- Dec 27, 2008
- 34
- 8
waleteni na dada zenu tununue
Hey wanajamii...the home of great thinker...unamaana gani unaposema "waleteni dada zenu tununue"
what does that statment mean...😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waleteni na dada zenu tununue
Ingekuwa Busara kwa aliyepost thread hii akajenga hoja kwa Administrator wa site ili kama ataona kuna haja awaanzishie Room for Haya language.
Vingenevyo naweza kusema mambo mawili:
1.Misemo kama misemo sio kitu kibaye kwenye jamii, hivyo ilitakiwa ukishaandikwa kihaya utafsiriwe ama kiswahili au chingereza ili watu wapate maana yake, pengine misemo hiyo inaweza kuwa na maana ya msingi tu katika maisha yetu ya kitanzania na kidunia ya kila siku. Lakini kuacha bila tafsiri ni matumizi mabaya ya muda wetu sisi wana JF tusiojua lugha husika. Naona reply yangu hii iwe onyo kwako mwandishi kwamba tupo kufundishana na kueleweshana hapa na sio kupotezeana muda.
2.kwa kupost kitu kama hiki katika jamii ambayo hujaiandaa maana yake ni kutufundisha na kutukumbusha kwamba pamoja na nguvu nyingi alizotumia muasisi wa taifa hili kupiga vita ukabila bado kwa nyinyi wahaya safari bado ndefu. Sana sana wazo jingine pengine ni namna ya kujaribu ku tress how many hayas are there on the JF room, mimi sio msemaji wa forum lakini nina hakika forum hii haikuandaliwa kwa hilo.
Myself i am trying to be out of the habit like yours, once i managed take your part you will also be the same.
BE GOOD MAN!
ma sowe lurere kya koru luwapfuluwepfuluwe mcho?!Ichi nkiki mohamba ko Kihaya! Waleu, dedenyi lugha ya taifa...cha!
Nkalweletera akabyala olumbugu omulugo
Itakuwa na maana tu pale tafsiri ikitolewa sambamba na neno husika. Otherwise ni madudu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ekyawe kyawe kijunda nokala!
wagambaki??
Hakuna matusi hapa, naiwe nyegera kurungi mwami kazi, nyegera na akanyeetoMr. invisible,
Hawa jamaa sio wanatukana humu kweli?
Nkalweletera akabyala olumbugu omulugo
Wanyijukya olumbugu!
Mbwenu waitu, krismasi yeijire bwana, olubisi ne syenene na amatoke biriyo omuka genda obitware obirete ewange tubirye. Mpawo.