Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooo!! kweli Dunia uwanja wa fujo!!......sikuju kuwa watu mko ivo??...... badala ya kufurahi mwenzako kapanda basi mfuate akupe mbili tatu na weye uwendemo!! ufaidimo!! unakasirika mweee!!.....ndo maana kuumbe niko mbali sana ...siji huko ng'oooo!! mtasubiri sana!Huenda wewe ni Ngumbaru mwenzangu huwa tunajaa chuki tujisikia mtu kakwea pipa Kama Hilo.
Tumejaa chuki binafsiDooo!! kweli Dunia uwanja wa fujo!!......sikuju kuwa watu mko ivo??...... badala ya kufurahi mwenzako kapanda basi mfuate akupe mbili tatu na weye uwendemo!! ufaidimo!! unakasirika mweee!!.....ndo maana kuumbe niko mbali sana ...siji huko ng'oooo!! mtasubiri sana!
Siku nikija tembea huko mtakuwa mmesha kufa woooo!!te!
Kama ushapanda Emirates zinazotoka dunia ya kwanza hadi DXB utanielewa.Emirates Wana chakavu? Au umechanganya na Ethiopian?
Unapewa unachostahili sio unachotakaKama ushapanda Emirates zinazotoka dunia ya kwanza hadi DXB utanielewa.
Nashukuru umeelewa.Unapewa unachostahili sio unachotaka
Abiria toka nchi zinazoendelea hata hizo chakavu bado ni Neema. Niliwahi kupanda Malawian Airlines aisee Ni Majanga Ila ndo hivyo utafanyaje?Nashukuru umeelewa.
Emirates chakavu si sawa na MalawianAbiria toka nchi zinazoendelea hata hizo chakavu bado ni Neema. Niliwahi kupanda Malawian Airlines aisee Ni Majanga Ila ndo hivyo utafanyaje?
Nimeipanda mara kadhaa ile, itakuwa na zaidi ya miaka 20 hewani.Ila DXB -JNIA wanaleta ndege chakavu!
Ile inayokuja tz ni kongwe sana, nimeipanda mara kadhaa. Napenda zaidi ile ya Qatar.Emirates Wana chakavu? Au umechanganya na Ethiopian?
😂😂🤣🤣🤣😅😅😅😆😆😁😁😄😄😃😃😃😃😃😀😀😆😆Uarabuni pesa ipo. Akili ndo mzozo
Sisi je akili hatuna na pesa pia hatuna ni full ukichaaUarabuni pesa ipo. Akili ndo mzozo
Hayo umesema wewe ndugu. Acha kulisha watu manenoSisi je akili hatuna na pesa pia hatuna ni full ukichaa
Pipa la wamanga wa Dubai, open minded wanaruhusu pombe hata mbuzi katolikiPipa Kama Pipa
[emoji23]Akijibu unitag
[emoji23]Huenda wewe ni Ngumbaru mwenzangu huwa tunajaa chuki tujisikia mtu kakwea pipa Kama Hilo. Tunaishia kukosa sentensi maana hatuna ya kuchangia
Emirates wako vizuri sana.UAE pekee wanapokea watalii zaidi ya 30m kwa mwaka na hawanaga jambo dogo. Utalii kwao umechagizwa na Emirates airlines. Fikiria safari ya Dakika 45 (Dubai to Manama/Bahrain) wanarusha mzinga wa pipa wa abiria yapata 400. Itachukua miaka 500 na filamu kadhaa kuwafikia.
View attachment 2215825
View attachment 2215831
Hao UAE utadhani wana mtume wao tofauti. Yaani full bataPipa la wamanga wa Dubai, open minded wanaruhusu pombe hata mbuzi katoliki