Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo wa akili wameujenga uwe unakataa chochete chema chá Tanzania, na ikitokea kikawa chema basi lazima kichafuliwe na bila aibu hata ilikidi kupotoshwa.Safi sana umemjibu vema kabisa south Africa ilikuwa nchi ya kwanza raia wake kuzuiliwa kuingia UK,tatizo kubwa hawa middle class wetu ni manyumbu mno na mpaka wanakera.
Hao wawakilishi wote uliowataja, ukiangalia kwa makini utajua kama hawajui walifanyalo!Ni kweli kwamba serikali haifanyii kazi taarifa za kidiplomasia kupitia mitandaoni.
Serikali inayo ofisi katika wizara ya mambo ya nje ambayo inahusika na masuala kama haya yanayohusu mahusiano ya kidiplomasia.
Pia tunaye mwakilishi wetu katika ubalozi wa nchi yetu huko uingereza.
Pia tunaye balozi wa uingereza hapa nchini ambaye ana iwakilisha nchi hiyo hapa kwetu.
Hivyo vyote ni vitengo mahususi katika upeanaji taarifa nyeti kama hizo kiserikali.
Mitandaoni sio mahali pake.
Jiulize swali dogo....je serkali yetu nayo ikijibu kupitia MITANADAONI.
Ina maana tuanzishe mipasho kwenye mitandao?
Je nini itakuwa umuhimi wa ubalozi?
Juzi nilimsikia malaika mkuu kiongozi wa nchi ya wagagikoko anasema anawashukuru sana watu wa mitandao kuibua suala la shule pale ubungo wilayani UgagikokoniKama Serikali haifuatilii habari za mitandaoni sasa mbona watu wanashitakiwa kwa habari za mitandaoni. Mbona kuna TCRA!!?
Wachina wanatutoshaTena wafikirie, mbona Afrika Kusini yenywe chanzo cha hiyo aina mpya ya covid hawakuipiga marufuku?
Kwa wenye maono, tatizo linakwenda ndani sana.
Lakini watakwambia: hatuna haja ya kwenda Uingereza!
Dame Fool.Ni kweli kwamba serikali haifanyii kazi taarifa za kidiplomasia kupitia mitandaoni.
Serikali inayo ofisi katika wizara ya mambo ya nje ambayo inahusika na masuala kama haya yanayohusu mahusiano ya kidiplomasia.
Pia tunaye mwakilishi wetu katika ubalozi wa nchi yetu huko uingereza.
Pia tunaye balozi wa uingereza hapa nchini ambaye ana iwakilisha nchi hiyo hapa kwetu.
Hivyo vyote ni vitengo mahususi katika upeanaji taarifa nyeti kama hizo kiserikali.
Mitandaoni sio mahali pake.
Jiulize swali dogo....je serkali yetu nayo ikijibu kupitia MITANADAONI.
Ina maana tuanzishe mipasho kwenye mitandao?
Je nini itakuwa umuhimi wa ubalozi?
Afrika kusini ndio nchi ya Kwanza kupigwa marufuku na kila kukicha marufuku zinaongezeka tuu mara jana nimesikia Dubai nao baada ya Singapore na China kupigwa marufuku sio kutengwa ugonjwa ukipungua shughuli zinaendelea Kama kawaida sema ninyi sijui mnaelewa nini au mmekaririshwa nini juu ya hilo...Tena wafikirie, mbona Afrika Kusini yenywe chanzo cha hiyo aina mpya ya covid hawakuipiga marufuku?
Kwa wenye maono, tatizo linakwenda ndani sana.
Lakini watakwambia: hatuna haja ya kwenda Uingereza!
South nayo ipo kwenye hiyo chain ya kuingia uingereza kitambo kabla hata ya hiyo taarifa yenuTena wafikirie, mbona Afrika Kusini yenywe chanzo cha hiyo aina mpya ya covid hawakuipiga marufuku?
Kwa wenye maono, tatizo linakwenda ndani sana.
Lakini watakwambia: hatuna haja ya kwenda Uingereza!
Hii nafasi tu ksipata kimiujiza juzi hapa kabla mkwere hjatoka madarakani alikuwa itv kipindi Cha dk 45Buhohela alishakuwa mlamba viatu.
Don't be stupid, majahili wanautaratibu rasmi wa kuwasiliana na serikali ?? Kama huo alioelezea msemaji wa wizara?Mkuu habari za mitandaoni inafuatiliwa kwa karibu sana kama jipu linalotaka kupasuka.
Tatizo nani aanze kuwasilisha hatua za barua za kiserikali.
Ingekuwa ni majahili wanatoa angalizo kuwa watashambulia, habari za kimtandao zitashughulikiwa bila barua rasmi.
Punguza siasa!Tena wafikirie, mbona Afrika Kusini yenywe chanzo cha hiyo aina mpya ya covid hawakuipiga marufuku?
Kwa wenye maono, tatizo linakwenda ndani sana.
Lakini watakwambia: hatuna haja ya kwenda Uingereza!
Stupid as it goes, terrorrists walioenda shule wanatoa tahadhari mapema tu kwamba kuna bomu mahali na litalipuka within 10 minutes.Don't be stupid, majahili wanautaratibu rasmi wa kuwasiliana na serikali ?? Kama huo alioelezea msemaji wa wizara?
Mbona una mix mangoes, with pumpkins??
Quote
U continue to show your stupidness, the Key is the formal communication btn various parties , ya terrorrist ndio hiyo unayo bwaja bwaja, lakini ya serikali au nchi sio hiyo unayo shadadia.Stupid as it goes, terrorrists walioenda shule wanatoa tahadhari mapema tu kwamba kuna bomu mahali na litalipuka within 10 minutes.
We pusi unajitia kujua lakini you just another hollow thinking scatter brained nincompoop.U continue to show your stupidness, the Key is the formal communication btn various parties , ya terrorrist ndio hiyo unayo bwaja bwaja, lakini ya serikali au nchi sio hiyo unayo shadadia.