Emmanuel Buhohela: Hatuna taarifa rasmi kuwa Uingereza ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchini Tanzania kuingia nchini humo

Utafikiri ni mtu hajasoma yani huyu jamaa bado hajui nguvu ya mitandao ya kijamii au anataka watu waende halafu wapate usumbufu ambao hauna maana. Jinsi nchi za nje wanavyoshughulikia suala la corona ni tofauti kbsa na tanzania, ajue watu wako makini na afya za raia wao siyo bongo siasa mpaka kwenye masuala ya taaluma za watu
 
Kuna tofauti ya mtu kusema atakupiga kwa kukuambia mwenyewe na kwa kusikia kwa mtu watatu.
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe!
Hata utumie lugha gani lakini ukweli utabaki kuwa ukweli, nao ni terrorists atatumia njia za pori kutoa habari zake na nchi/serikali zitatumia njia zinazo tambulika kutoa taarifa kwa nchi nyingine.
Period .
 
Hata utumie lugha gani lakini ukweli utabaki kuwa ukweli, nao ni terrorists atatumia njia za pori kutoa habari zake na nchi/serikali zitatumia njia zinazo tambulika kutoa taarifa kwa nchi nyingine.
Period .
Iarifu leo JF kuwa kesho utaandamana, halafu usikie muziki wake
 
Unaendeleza ujinga wako , wa kulinganisha muhalifu na nchi au vyombo vya serikali vinavyo wasiliana
Nimekupa hiyo uelewe, officialy or not, try to threaten the status quo, you’ll face the music.
Wewe ita ujinga, lakini onja sumu ujue utamu wake!
 
Nimekupa hiyo uelewe, officialy or not, try to threaten the status quo, you’ll face the music.
Wewe ita ujinga, lakini onja sumu ujue utamu wake!
Sasa uingereza one threaten the status quo, mbona , unaweka mifano ambayo haiendani
 
Nimekupa hiyo uelewe, officialy or not, try to threaten the status quo, you’ll face the music.
Wewe ita ujinga, lakini onja sumu ujue utamu wake!
Sasa uingereza one threaten the status quo, mbona , unaweka mifano ambayo haiendani
 
Nimekupa hiyo uelewe, officialy or not, try to threaten the status quo, you’ll face the music.
Wewe ita ujinga, lakini onja sumu ujue utamu wake!
Sasa uingereza ndio wana threaten the status quo, mbona , unaweka mifano ambayo haiendani
 
Wakati mwingine waTZ hushangaza sana.
Natamani Emmanuel akae mbele ya PC ajaze form ya kuombe visa ya kwenda UK aone majibu yake ndipo ataelewa secretary alichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…