Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu anakuhitaji.Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Yaani nakushauri hama leo.Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Tumpe Pole Emmanuel CHACHA alikuwa hajui Kuwa siasa Ya Tanzania ni Mchaga Original itoke iende Wapi!?Assenga mchaga yakhe
Sasa chama kitapungukiwa nini akiondoka, kama aliondoka nyerere na ccm inadunda hadi leo ndio itakuwa sijui chacha, hivi zinamtoshaHali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Sasa kama chama hakihitaji watu malengo yake ni nini?Hakuna mtu anakuhitaji.
Siyo kuhama tuu, Chacha Wangwe alikufa kabisa Chadema kilibaki imara.Walihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
sio muhimu na wala sio Lazima uwe mwana chama wa chadema milele.Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Jiandae tuHali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Kwenye tawi kwenyewe hata vikao hajawahi hudhuriaAliondoka Dr Slaa ambaye aliitikisa SISIEMU vilivyo sembuse yeye ambaye yupo ngazi ya TAWI?
Blackmail politicsHali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Arudi CCM huyo hatumhitaji, sasa tunamhitaji Mbowe tu basi.Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259