Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kamanda anatishia nyau ha ha haš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atafute chama cha wakurya wenzake, hii ni ya wachaga.Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Jebu tueleze wamewakatisha tamaa watu wengi kivipi?Kwa Ujumla vyama vya Upinzani Tanzania specifically CHADEMA mmeonyesha bado sana. Mmewakatisha watu wengi sana tamaa this time. Itachukua miaka mingi sana watu kuanza kuwafikiria. Maturity 0% Emotional intelligence 0%, selfishness 100% etc
Acha uzushi, hiyo sensa ya makabila ulifanya na bibi yako?Tumpe Pole Emmanuel CHACHA alikuwa hajui Kuwa siasa Ya Tanzania ni Mchaga Original itoke iende Wapi!?
View attachment 3207267
Tafuta
Wachagga
kabila la Kenya na Tanzania
Wachagga[1] ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu (lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi) wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro.
Nyumba ya asili huko Marangu.
Wachagga ni kabila la tatu kwa ukubwa nchini Tanzania.[2] Takwimu za mwaka 2003 zinaonyesha kuwa idadi yao ni watu 2,000,000. Hata hivyo kabila hilo ni kama mchanganyiko wa makabila madogomadogo yenye lugha tofauti, jambo la pekee nchini Tanzania.
Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara, kilimo na kazi za ofisini.
Vikundi vya Wachagga/Fitina
Lugha ya Kichagga/FITINA
Koo za Kichagga/FITINA
Utawala wa jadi wa Wachagga/FITINA
Elimu kati ya Wachagga/FITINA
Ardhi/FITINA
Kilimo na chakula/FITINA
Maoni juu ya Wachagga/FITINA
Tanbihi/FITINA
Marejeo/FITINA
Viungo vya nje/FITINA
mwisho imehaririwa miezi 5 iliyopita na Riccardo Riccioni
![]()
- Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo.
- Sera ya faragha
- Masharti ya matumizi
- Dawati
Aliondoka Nyerere, chama kikabaki, ndio, lakini CCM ni ile ile ?Sasa chama kitapungukiwa nini akiondoka, kama aliondoka nyerere na ccm inadunda hadi leo
Walau ni Bibi nilidhani babu yangu Wikipedia unataka tushindane na mtandao wa kijamii utaanzia wapi!Acha uzushi, hiyo sensa ya makabila ulifanya na bibi yako?
Zitto hakuhama.Walihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
safari hii hakiponi kama watafanya ufyampufyampuWalihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
Wenyeviti wa mikoa wanaomuunga mkono Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, wameibuka na kukanusha madai kwamba Tundu Lissu anaungwa mkono na wenyeviti wa mikoa 25.Siyo yeye tu, ana watu mamilioni ya watu tutakaoondoka Chadema
Hata mm nitaachana na mchama wa kingese!Walihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
Ilibaki imara? Pending ujio wa Lowassa chadema was heading to abyss. Pia zitto alikua suspect sana kwa collusion na CCM tofauti na Lissu ambaye ni Anti-establishment na ameonyesha kuwa ni mpinzani halisi tokea enzi za Mkapa mpaka leo hakuwahi kuyumba.Walihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
Hili linajieleza..bado vyama vyetu ni vichanga sana kwenye uongozi.. hakuna chama cha siasa kinaweza kuwa na viongozi wanaoweka kila wanachozungumza kuwa Public. Kila kiongozi anaanda press conference kuanzia taifa hadi ngazi ya Tawi. Inamaana chama kimekosa utaratibu wa ndani au lilikuwa kundi la watu ambao hawajafikia level inayotakiwa ya kiuongozi...Jebu tueleze wamewakatisha tamaa watu wengi kivipi?
mkuu kuna tofauti kati ya kuhama chama na kufukuzwa chamani .zzk alifukuzwa hakuhama kwa hiyariWalihama kina Zitto Kabwe na bado Chadema kilibaki kuwa imara.
Kesho ndio mwisho wa kelele zenu timu Lisu atakapopigwa chini kwenye uchaguziAwamu hii cdm itabaki na wahuni machawa tu.
Tumewaonya wajumbe wenye matamanio ya kugombea ubunge na udiwani waachane na Mbowe.
Mbowe kakataliwa na umma na kuambatana naye ni kupishana na kura za watz walio wengi.
Yaani kusema ukweli huku kugombea kwa Lissu uenyekiti wa CHADEMA kumefanya wana JF waanike utupu wa vichwa vyao.Aliondoka Nyerere, ndio, na chama kipo, lakini CCM ni ile ile ?
Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Nyerere kakalia kiti cha mbele, wangethubutu waste time and attention ya Taifa kuimbiwa na Zuchu na Bozi Boziana na Mwijaku na Konde Boy na Baba Levo na Marioo akaimba mwimbo wa mapenzi pale mbele ?
Chama kinabaki ndio, lakini kinabadilika. Kwani NCCR ya Marando na Mrema imekufa ? Ipo. Ni ile ile ???
CUF ya Maalim Seif, Ismail Jussa, na Hamad Radhid imekufa ? Ipo. Ni ile ile ?????
Heshimuni michango ya watu wote chamani.
Namuunga mkono Jitu miaka 20 lipo tu...Hali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259
Aende zakeHali si shwari CHADEMA lolote laweza kutoka ni chama kufa au kupona, tuiombee sana CHADEMA
View attachment 3207259