The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Alieharibu ndoto za Nchimbi ni Samia...
Nchimbi kwenye kambi ya Lowasa alikuwa "mamluki" Tu aliewaingiza mkenge kina Sophia na JerrySlaa walio potezwa na mfumo..
Sophia Simba Hadi akafukuzwa...
Mzee Kingunge akapoteza heshima..
Nchimbi akapewa zawadi ya ubalozi ..akaahidiwa makubwa huko baadae..
Ghafla Magufuli akafa...Samia Hana faili la Nchimbi wala hajui makubaliano ya Magufuli na Nchimbi..
Na umri unaenda...kizazi kipya kinakuja cha kina Mavunde na January...
It's over...he is done
Nchimbi kwenye kambi ya Lowasa alikuwa "mamluki" Tu aliewaingiza mkenge kina Sophia na JerrySlaa walio potezwa na mfumo..
Sophia Simba Hadi akafukuzwa...
Mzee Kingunge akapoteza heshima..
Nchimbi akapewa zawadi ya ubalozi ..akaahidiwa makubwa huko baadae..
Ghafla Magufuli akafa...Samia Hana faili la Nchimbi wala hajui makubaliano ya Magufuli na Nchimbi..
Na umri unaenda...kizazi kipya kinakuja cha kina Mavunde na January...
It's over...he is done