cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi futuhi zako hazina mashiko. Cha ajabu sasa hao Lowassa na Nchimbi hawajawa marais na hawatakuja kuwa kamwee.Tuendelee na masuala ya kutinduliwa, siasa za nchi hii huzijui. Nape yalimfika ya kumfika kwa vile alijitokeza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM kumpinga Emma. JK akamrarua vipande. Emma alikuwa amehaidiwa kuwa Rais pindi Lowassa akimaliza ngwe yake. JK -Lowassa - Nchimbi. Hapo upo? By the way, leo nani anaku.....
By the way leo nipo na mume wangu wa ndoa, vipi unatakajee? Uje nawee tupigwe mande wotee??