Emmanuel Chimbi, ndoto iliyoiharibu ndoto yake yenyewe.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi futuhi zako hazina mashiko. Cha ajabu sasa hao Lowassa na Nchimbi hawajawa marais na hawatakuja kuwa kamwee.

By the way leo nipo na mume wangu wa ndoa, vipi unatakajee? Uje nawee tupigwe mande wotee??
 
Hii ni sahihi tulikuwepo ukumbini wakati wa kumpigia kura Mh.Nchimbi
 
Hii ni sahihi tulikuwepo ukumbini wakati wa kumpigia kura Mh.Nchimbi
Tatizo la watanzania wengi ni kuogopa uwanja sawa wa ushindani, kwakua mediocre ndiyo walitanguliwa kubebwa na mfumo huu wa teuzi badala ya meritocracy, as we move kwenye democracy kwa kweli haya mambo yataisha, ngoja tukazane na Katiba mpya utaona jinsi wengi wataondolewa na mfumo utakaokuwepo na jinsi tutakavyopiga tambo za haraka...Tanzania njema ni lazima apende au asipende mtu, just wait and see the show, I decree and declare for the 100 time!

Shoka limewekwa mtini na lipo tayari kukata ili tupate kuharibu na kuteketeza, tujenge upya...
 
hizi futuhi zako hazina mashiko. Cha ajabu sasa hao Lowassa na Nchimbi hawajawa marais na hawatakuja kuwa kamwee.

By the way leo nipo na mume wangu wa ndoa, vipi unatakajee? Uje nawee tupigwe mande wotee??
Kivipi? Niwachape wewe na mumeo?
Hii ni sahihi tulikuwepo ukumbini wakati wa kumpigia kura Mh.Nchimbi
Nape wakati huo aliyemsaidia kumpa gari la kuzunguka kupiga kampeni ni baba ya LE mutuz, unakumbuka? Ingawa juzi hakwenda kuzika! Hivi unakumbuka Nape alivyoshikiliwa kingowira ili asiharibu kura za emma?
 
Ujinga ni kipaji huko ccm.
Kwahiyo ukishindana na kiongoz wako hta upo sahahi unaonekana msaliti. Haya ndio madhara ya sekondari za kata. Kama kizazi hiki kingekuwepo wakati wa ukoloni mpka Leo tungekuwa bado tunatawalaiwa na wajerumani.
Nonsense in Smaia voice
 
Sasa matusi hapo yanakuja vipi
Afya ya akili hiyo
Watu hawajajijua wallah
Nani katukanwa? Km unamaanisha cocastic anayejitangaza shoga katukanwa kuitwa shoga basi wew ndio huna akili na ukimbilie dawa za kupunguza paniki, hasira na msongo haraka sana. Hakuna tusi kumuita shoga mtu aliyejitangaza kuwa yeye ni shoga. Labda umlaumu yeye anayeona ufahali kujitangaza huo ufilauni
 
🤣🤣
 
Thread zingine bhana.
Ukisikia mtu kaanzisha Thread ya kipumbavu ndio hii sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…