Emmanuel Eboue hali mbaya, Mke amfilisi

Emmanuel Eboue hali mbaya, Mke amfilisi

Jamani hili liwe funzo tu unapotaka kuowa basi iwe ni mtu unamjuwa wao ni wao na sisi ni sisi hata ndani ya Tz mtu anaenda kuowa katika family unaijuwa. Tatizo kubwa wenzetu huko ndoa ni mkataba wala hakuna mapenzi ni nadra sana ni all maslahi napata nini kwa mwenzangu. ndio sababu kubwa kwao ndoa chache sana kuowa ni majanga. Mwanamme huna haki utamalizwa kila kitu kuna watu wanaogopa kuachana na wake zao kujuwa watapokonywa kila kitu wanabaki wanaishi tu matatizo tu. I feel sorry for Eboue sababu hakuwa na elimu kabisa ila ushauri wa bure jamani kuowa ni kwenu sio family hujui hata wametoka wapi maana mbaya zaidi hata watoto unapokonywa.
 
Mkuu hiyo taarifa umeitoa wapi? Acha kuleta taarifa za vijiweni. Jamaa amepata mental illness baada ya babu yake alie mlea kufa kwa ajali na pia baada ya kuachana na mkewe nahio ndio sababu ya kuacha kucheza mpira habari za yeye kua na Ukimwi umezitoa wapi? Mbona kwenye source za kuaminika hakuna kitu hicho? Msituletee habari za vijiweni bhana.
 
Mkuu hiyo taarifa umeitoa wapi? Acha kuleta taarifa za vijiweni. Jamaa amepata mental illness baada ya babu yake alie mlea kufa kwa ajali na pia baada ya kuachana na mkewe nahio ndio sababu ya kuacha kucheza mpira habari za yeye kua na Ukimwi umezitoa wapi? Mbona kwenye source za kuaminika hakuna kitu hicho? Msituletee habari za vijiweni bhana.
Hakuna cha mental illness jiulize kwanini hachezi Mpira na haja staafu na hana majeruhi ?

Alisajiliwa na klabu yake mpya uturuki kwenye vipimo alifeli na taarifa za madaktari zinasema wame spot virus na wakaishia hapo hawakutaka kuendelea mbele ila vyombo vya habari za uturuki zikasema Ebou alifeli vipimo sababu alikutwa na HIV mbona hii habari ilikuwa hot news sana September,

Na saizi kwenye hii taarifa ya Ebou kufilisika wanasema hachezi mpira sababu yupo ill na wala sio majeruhi

Yaani Ebou wa miaka 30 na kitu apate mental illness kisa babu kafa acha masihara ww

HIV inamsumbua na anajuta saizi
 
Hakuna cha mental illness jiulize kwanini hachezi Mpira na haja staafu na hana majeruhi ?

Alisajiliwa na klabu yake mpya uturuki kwenye vipimo alifeli na taarifa za madaktari zinasema wame spot virus na wakaishia hapo hawakutaka kuendelea mbele ila vyombo vya habari za uturuki zikasema Ebou alifeli vipimo sababu alikutwa na HIV mbona hii habari ilikuwa hot news sana September,

Na saizi kwenye hii taarifa ya Ebou kufilisika wanasema hachezi mpira sababu yupo ill na wala sio majeruhi

Yaani Ebou wa miaka 30 na kitu apate mental illness kisa babu kafa acha masihara ww

HIV inamsumbua na anajuta saizi
Leta source ya kuaminika sio bla bla. Hio habari niliisikia kijiweni kama ulivyoisikia ww. Kama ina ukweli wowote kama ilivyo hii ilitolewa hapo juu basi isingeacha kusambaa usichukulie ni habari ndogo. Ninahitaji unipe source ya uhakika ya habari yako hizo porojo hazitatufikisha kwenye muafaka.
 
Hakumpa umiliki wa mali zote mahakama ndio iliyompa haki ya kumiliki mali zote baada ya talaka. Kabla ya hapo chochote alichokivuna kilikuwa chao wote
sasa hiyo mahakama ilitumia sheria gani hapo ya kumpa huyo mwanamke umiliki wa kila kitu,kwa kweli mie nisingekubali labda tufe wote na hivyo vitu vibaki
 
sasa hiyo mahakama ilitumia sheria gani hapo ya kumpa huyo mwanamke umiliki wa kila kitu,kwa kweli mie nisingekubali labda tufe wote na hivyo vitu vibaki

Ndugu, uingereza mambo hayaendeshwu kama hapa kwetu kienyeji enyeji. Kule kila sheria huzingatiwa inayohusu mambo ya talaka. Sheria ziko wazi na ukifuatilia hakuna kilichofanywa kwa kificho. Ni jinsi unavyotoa hoja zako kortini. Kwa kesi ya eboue yawezekana alifanya jambo fulani ambalo pamoja na ukweli kuwa eboue ndie aliyenunua ukweli kuwa alioa na kuzaa na huyo mama umepelekea kuonekana hakutimiza wajibu wa ndoa na hivyo anapoondoka kwenye ndoa kila kilchovunwa kinabaki kama resource ya kusustain familia. Huyu hakuwa na wtetezi wazuri labda wangeweza kugawana pasu kwa pasu
 
Na kama Dunia tambara, langu lishatoboka Sina hata pa kulala,Nakesha kwa boka

Hii ni mistari iliyopo katika Wimbo wa SINA wa msanii wa Bongofleva,Harmonize.

Emmanuel Eboue Alicheza katika fainali ya Klabu Bingwa Ulaya 2006, alikusanya mamilioni ya pesa katika miaka 7 aliyocheza katika EPL, hi kwenye nyumba nzuri a kuendesha magari ya kifahari Mambo yamebadilika sasa kwa beki huyo wa zamani wa Arsenal.

Kwa sasa anaishi kwa kuwakimbia watu wa mahakama, muda mwingine analala kwenye sakafu za nyumba za rafiki zake, anasafiri kwa basi na hata pia kufua kwa mikono yakekwa sababu hana mashine ya kufulia Akihojiwa na gazeti la Daily Mirror Eboue,34, amesema kuwa hali hiyo inamfanya mpaka atamani kujiua.

Ninataka Mungu anisaidie." Anasema Eboue, Pekee yeye anaweza kuyaondoa haya mawazo kichwani mwangu Eboue amepoteza utajiri wake wote kutokana na usimamizi mbaya pamoja na kuachana na mke wake ambapo ametengwa mbali na watoto wake Watoto wake wote watatu,hajaonana nao tangu mwezi juni.

01252ce9e015ebfb65fefa5252a21492.jpg


Mtoto wake wa kiume,Mathis anacheza katika Academy ya Arsenal.

Baada ya kushindwa ka vita ya talaka, mahakama iliagiza mali zake zote ziende kwa mkewe, Aurelie ambaye ni raia wa Ubelgiji Pia anataraji kukabidhi kwa mkewe jumba lake la kifahari lililopo Enfield,London, endapo atashindwa kufanya hivyo jaji atasaini kuruhusu madalali waende kumtoa.

Eboue anasema kuwa, sasa hana pesa ya kuwalipa mawakili ili kufattilia mali zake. Nipo ndani ya nyumba lakini ninaogopa.

Kwa sababu sijui muda gani polisi watakuja, Muda mwingine ninazima taa kwa sababu sitaki wajue kama nipo ndani," Alisema Kutokana na kuwa na elimu ndogo,alikuwa anatuma karibia mshahara wote kwa mkewe. Na wakati wowote mkewe alikuwa akimtaka asaini hati (Document) yoyote alikuwa anasaini.

Mipango yake ya kurudi katika EPL iliota mbawa msimu uliopita, alisajiliwa na Sunderland lakini hakucheza hata mechi 1 kufuatia kufungiwa na Fl FA kutokana na kushindwa kumlipa wakala wake wa Zamani

Cc ws14
 
Shauri yake. Huku Afrika watu wanazaliwa hadi wanakufa maskini hata hawategeme kutumia neno kufilisika maisha mwao.
 
Ttzo letu waafrika ni kuona wazungu ni bora kuliko ss. Na bila kuelewa unapooa au kuzaa na mzungu tayari umejichimbia kaburi. Watazame hata dada zetu hawauupendi uafrika ndiyo maana wanajichubua na kuvaa mawigi na uzungu hawawezi kuufikia kwa kua akili Zao zinawaza ngono mda wote. Mastaa wengi wa Africa ni wahanga huko ulaya.
 
Siku zote wazungu wapo kimkakati zaidi. Ukiona kaolewa na mtu mwenye pesa tena mweusi ujue anavizia mali zake tu. Tatizo waafrika wengi huko Ulaya wakipata pesa wanawadharau hawa dada zetu ambao wana ubinadamu mkubwa kuliko hao wazungu.
 
Back
Top Bottom