Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Tokea nazaliwa sijawahi kuona mtu mpumbavu kama huyu kaka. Kama ni kwely umetweet hivi na sio ufekelo Wa watu. Mr problem solved anahitaji watu kama wewe mbasha muambatane nae hawapeleke milembe. Ovyo zako mbasha. Ovyo Mara elfu nane huna akili we mpk akili zako hazina akili. One of the stupid people have ever seen in my life. Ur among them. Foolish en very foolish. Shwain to you Emmanuel mbasha.
duh.....binadamu kazi kweli kweli....hivi kweli inawezekana mtu ambaye humuoni ukamtukana hivi? If I may ask...kakukosea nini kaka wa Watu? It is his life. Get over it please. Kwa nini tunapenda Watu waishi maisha tunayotaka sisi? Iam afraid wewe unaweza kuwa na matatizo makubwa zaidi ya huyu kaka.