Emmanuel Mbasha asema hatakaa aoe tena maishani... ataishi kama Yesu au Paulo

Suala la muda tu huyo flora ndoa yake ya sasa itavunjika km joyce
 
Kukaa maisha yake bila mke si jambo jema isipokuwa kwa yaliyo mpata ana haki ya kupunzuka mapenzi na asishikwe na tamaa hakuna kitu mbaya duniani kama ubakaji wa mapenzi unaweza kufa
 
Kama umemegwa na mbasha muumbue hapa
 
Kwahiyo yeye atakua anapita nazo kama mondi na kusepa marioo anavitutuko huyu no wonder mke alimkimbia
 
Dogo ameshajeruhiwa akili anakurupuka kwa kauli za maumivu. Hatakiwi kuongelea hayo mambo ya kutooa tena, atulie na kufanya mambo mengine, akipona atafute mke aoe, hiyo ndio wito wake asiwaige Paulo na wengine. Yesu hakuwahi kuuoa, Mbasha ameoa na kutaliki kwa hiyo kujifananisha na Yesu ktk hilo ni kutukosea waamini.

Vv
 
Huko kuweweseka na kuongea ongea kila mara ni mateso tosha.
 
Labda anataka kuendelea na kale kautaratibu kake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…