Emmanuel Mbasha asema hatakaa aoe tena maishani... ataishi kama Yesu au Paulo

Yaani kwa lugha nyepesi ataendelea kufanya biashara bila leseni.
 
Keep up brother....ukipenda ukaoa ukatendwa ..ukioa tena...we chizi....hawa watu sio kabisa
 

BWANA YESU NA PAULO WALIKUWA HAWAZINI WALA KUVAA VISURUALI VINAVYOBANA, PUMBAVU HAKIKA
 
Huyu nasikia ameanza chokochoko na Mange huko Insta, nasubiria ajichanganye zaidi tupate mafaili yake[emoji3]
 
mmmh too early kusema haya maneno arifu....hamna kitu inavuruga akili kama genye....umri wa 35-45 nikitu ingine ...labda angesema akifika miaka 55 kwenda mbele lakini hapa naona kuna chamgoto kubwa sana
 
MWENZAKE PETRO ALIKUWA TOWASHI (HANITHI) AU NA YEYE AMESHAKUWA HANITHI
 
Fixi tupu. Kama aliweza kunanihii na shemeji yake atawaacha wengine!!. Kila kiungo kina kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…