Yupo mbona Jamii forumMuongo kweli kama wengi waliomo humu jf
Mwenyekiti wa chaputa.Atakuwa anapiga punyeto!
STAA wa Muziki wa Injili, Emmanuel Mbasha ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa ameamua kuahirisha suala la kuoa tena na katika maisha yake ataishi kama ‘Yesu’ au Paulo kwani wote hao hawakuoa.
Akistorisha na Star Mix, Mbasha alisema licha ya kwamba ni mwanaume aliyekamilika lakini amekuwa akimuomba Mungu na kweli anamsaidia katika kushinda vishawishi vya shetani.
“Ukiona niko na mwanamke ujue ni rafiki wa kawaida tu, tangu niachane na mke (Flora Mbasha) sijawahi kuzini na niko kawaida tu sina matatizo yoyote, yote hiyo ni Mungu ananisaidia pamoja na kufanya mazoezi sana, sina mpenzi wala mchumba kama wengi wanavyozusha maneno ya uongo,” alisema Mbasha.
Chanzo: Global Publishers
View attachment 692996
View attachment 692994
Hakuna mtihani mgumu km kuishi na mwenza,Keep up brother....ukipenda ukaoa ukatendwa ..ukioa tena...we chizi....hawa watu sio kabisa
Karibu mjini[emoji14]Ivi huyu na frola mbasha ni ndugu?
tiba ya moyo ipo kwa YESU PEKEE YAKE Isaya 53;3-6Kweli, hakuna tiba ya moyo.
SABUNI INAMHUSU (CHACHAWAPUTA)Kimaumbile asitudanganye kua mazoezi tu ndo yatamtosha kufuta matamanio yake mpaka anaenda akhera,aoe tu kwani binadamu wote si sawa.