Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Uzuri wale wanaotarajiwa kuguswa na kisasi bado wako na kumbukumbu za matendo yao na wako alert vibaya mno. Haitakuwa rahisi hivyo na simshauri aanze na angle ya kisasi.
Labda kama kabila lake ni lile la watani zetu ambao nimeambiwa huwa wanafundishwa kutomsamehe mtu tangu wakiwa bado wadogo ! 😂😂

Yaani atacheka na wewe kama kawaida lakini ujue hajakusamehe 😜😂🙈😂😂

Kama ni kweli basi hao watu ni shidaa ! 🙏🙏
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la muda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya chama kama ilivyo kawaida yake.
Bora iwe hivyo ili wachanike chanike
 
Sijuhi Watanzania tumerogwa na nani? Jambazi akiwaibia mnamuona ana akili sababu ana pesa kuliko nyie? Tueleze vyanzo vya hicho kipato chake, au kwa akili yako unadhani mshahara unaweza kumfanya mtu awe tajiri?
Hapo ndipo ulipo ujinga wetu !
Na sijui ujinga huu utafikia ukomo lini !
 
Acha wafu wazike wafu wao,Kiufupi ccm Kuna una unafki mkubwa.Na hakuna adui wa kudumu kwenye siasa.MYOB.
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la muda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya chama kama ilivyo kawaida yake.
makundi atayaunda baada ya 2025 .maana lazima ahakikishe boss wake 2025 anapita kwa kishindo.But 2030 lazima kutatokea mtifuano mkali. Paul makonda yeye afuate job description na pia asije akakubari kulagaiwa na kuwa na tamaa kama 2020 .eti ukigombe ubunge na ukapita Bwana yule atakupa u PM. Kumbe walikuwa wanamfanyia timing ili ajitenge na rafiki nyake kipenzi ,matengano yale yalisababisha rafiki yake kukosa ulinzi dhabiti .inasemekana hivyo
 
Masikini Ipyana na Amina Chifupa wangekuwa hai hadi leo,hizi siasa za CCM hizi ambazo watu hawaachiani hata glass ya maji mezani ni hatari sana
 
Labda kama kabila lake ni lile la watani zetu ambao nimeambiwa huwa wanafundishwa kutomsamehe mtu tangu wakiwa bado wadogo ! 😂😂

Yaani atacheka na wewe kama kawaida lakini ujue hajakusamehe 😜😂🙈😂😂

Kama ni kweli basi hao watu ni shidaa ! 🙏🙏
Ukiwa kwenye siasa usijisahau kuwa pengine na wewe hujasamehewa. Wengi wanachekeana kama kawaida ila rohoni wote hawako sawa. Siasa ni mchezo wa kupeana nafasi, kuviziana na kuwahiana ikibidi,ni wanasiasa wachache sana husamehe wengi huishi kimachalemachale mpaka kufa.
 
Ukiwa kwenye siasa usijisahau kuwa pengine na wewe hujasamehewa. Wengi wanachekeana kama kawaida ila rohoni wote hawako sawa. Siasa ni mchezo wa kupeana nafasi, kuviziana na kuwahiana ikibidi,ni wanasiasa wachache sana husamehe wengi huishi kimachalemachale mpaka kufa.
Hasa hasa barani kwetu !!
Sasa ndipo unapojiuliza hao watu wanakuwaga pale kwa ajili ya maendeleo ya Nchi au maendeleo yao ??!
 
Hasa hasa barani kwetu !!
Sasa ndipo unapojiuliza hao watu wanakuwaga pale kwa ajili ya maendeleo ya Nchi au maendeleo yao ??!
Ninaamini ingekuwa ni maendeleo ya nchi tungekuwa pazuri. Ninaamini wapo wachache sana wanaowaza maendeleo na kundi hili likibahatika kupata mafanikio ya nafasi huwa halidumu labda kwa mbinde sana. Wapo wanaoingia na nia ya maendeleo na shida za wananchi ila wanamezwa na wengi wanaojiwazia wao tu,ndio tunaishia kuwa na viongozi majority wako tayari kuua ili wabaki na nafasi. Bila nafasi ulinzi hawana wala hawajijui wao ni kina nani maana vyeo vimekuwa ndio kila kitu.
 
Ninaamini ingekuwa ni maendeleo ya nchi tungekuwa pazuri. Ninaamini wapo wachache sana wanaowaza maendeleo na kundi hili likibahatika kupata mafanikio ya nafasi huwa halidumu labda kwa mbinde sana. Wapo wanaoingia na nia ya maendeleo na shida za wananchi ila wanamezwa na wengi wanaojiwazia wao tu,ndio tunaishia kuwa na viongozi majority wako tayari kuua ili wabaki na nafasi. Bila nafasi ulinzi hawana wala hawajijui wao ni kina nani maana vyeo vimekuwa ndio kila kitu.
Kabisa .
 
Back
Top Bottom