Emmanuel Okwi asaini mkataba wa mwaka mmoja na Simba sports club

RUCCI

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
1,701
Reaction score
1,714


Mshambuliaji mahiri Raia wa Uganda, Emanuel Gabriel Okwi muda mfupi uliopita amesaini mkataba wa kuichezea Klabu yake ya zamani, Simba Sports Club.

Amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Klabu yake hiyo ya zamani.

Kabla ya kujiunga leo na Simba alikuwa akiichezea klabu ya nchini Uganda ya Likizo FC.
 
Anaeongoza ligi nani..............................Taja kwa sauti bila wivu
 
Ni kweli Emanuel Gabriel Okwi amesain kuichezea simba??
 
Me ombi langu pamoja na kumsainisha Okwi tena lakini mavugo aendelee kubaki Msimbazi
 
Usajili wa timu za Tanzania huwa ni wa vituko sana. Mchezaji ambaye hakuwa na timu yoyote ya kuchezea anasajiliwaje kwa mbwembwe? Najua amesajiliwa kwa ajili ya kuwafunga Yanga tu kwakuwa ndiyo saizi yake. Hakuna mchezaji humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…