Emmanuel Shangai (CCM) Jimbo la Ngorongoro ashinda Uchaguzi. Ndiye mrithi wa William Tate Ole Nasha (RIP)

Emmanuel Shangai (CCM) Jimbo la Ngorongoro ashinda Uchaguzi. Ndiye mrithi wa William Tate Ole Nasha (RIP)

Hizo ni takataka tu, Tanzania hakuna uchaguzi na wala hakuna wapiga kura kiasi hicho waliojitokeza kwenda kupiga kura ni maigizo ya hiyo inayojiita Tume Ya Uchaguzi.

Eti uchaguzi unafanyika na huku moja ya chama kinachoshiriki kwenye huo uchaguzi ndicho kinachosimamia huo wanaoita "Uchaguzi", ni ujinga wa kuchezea akili za watu.

Jana tu wamecheza Simba na Yanga, lakini hatukusikia kwamba mwamuzi ni Haji Manara. Serikali iache ujinga, kama hawataki uchaguzi wasiharibu hela za wananchi kwani hii nchi bado ni maskini sana.
Daaah
 
Wote wanaona aibu
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO,
Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa,

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI,

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa,

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na ccm-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya
Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.
View attachment 2041384View attachment 2041385
 
Mimi ni mwanaCCM, hakuna uchaguzi hapa. Ngoja tuendelee kufuatilia kesi ya Mbowe, majibizano ya akina Polepole nchi imewashinda. Hakuna haki.
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO,
Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa,

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI,

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa,

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na ccm-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya
Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.
View attachment 2041384View attachment 2041385
#Kaziindelee Tanzania
 
Police indio wapiga kura wao
IMG_20211210_190909_978.jpg
 
Nilikuwa sijui hata kama kuna uchaguzi
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO

Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa.

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa.

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na CCM-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.

View attachment 2041384View attachment 2041385
Hakukuwa na uchaguzi hapo weye. Bange tupu
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO

Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa.

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa.

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na CCM-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.

View attachment 2041384View attachment 2041385
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO

Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa.

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa.

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na CCM-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.

View attachment 2041384View attachment 2041385
Kachape kazi
 
Back
Top Bottom