Emmanuel Shangai (CCM) Jimbo la Ngorongoro ashinda Uchaguzi. Ndiye mrithi wa William Tate Ole Nasha (RIP)

Emmanuel Shangai (CCM) Jimbo la Ngorongoro ashinda Uchaguzi. Ndiye mrithi wa William Tate Ole Nasha (RIP)

Kumbe kulikuwa na uchaguzi???, Democracy imekufa Tz, without chadema there is No competitive election, Bora ccm ipite bila kupinga ili kuokoa fedha za walipa Kodi,kwenye demokrasia bado tuko nyuma saaaana ukilinganisha na majirani zetu wakenya,
 
Wameandaa uchaguzi wenyewe na wamejichagua wenyewe kusimamia na wamempitisha wenyewe
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO

Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa.

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa.

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na CCM-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.

View attachment 2041384View attachment 2041385
CCM ndio CHAMA
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA NGORONGORO

Jumla ya Wapigakura Waliojiandikisha mwaka 2020 walikuwa ni 115,538

Jumla ya wapigakura Waliopiga kura kwenye marudio ya Uchaguzi wa Jimbo la Ngorongoro wa tarehe 11|12|2021 ni 62,528

Jumla ya Kura halali ni 62,461 huku jumla ya kura 67 zikikataliwa.

MATOKEO KWA MUJIBU WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai amepata jumla ya kura 62,017 sawa na 99.18% ya kura zote zilizopigwa.

Mwitikio wa wapigakura ni 54% ya wapigakura wote waliojiandikisha mwaka 2020.

Hakika Watanzania bado wanaimani kubwa sana na CCM-Tanzania.

=====

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini leo Jumapil imemtangaza Bw. Emmanuel Lekishon Shangai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndie Mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ngorongoro kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461. Uchaguzi ambao vyama vikuu vya Upinzani viliususia

Mgombea wq ACT Wazalendo kapata kura 170 na Saimon Ngilisho wa Demokrasia Makini kapata kura 105.

View attachment 2041384View attachment 2041385
Hongera sana
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Back
Top Bottom