Emmanuel Shangai (CCM) Jimbo la Ngorongoro ashinda Uchaguzi. Ndiye mrithi wa William Tate Ole Nasha (RIP)

Daaah
 
Wote wanaona aibu
 
Mimi ni mwanaCCM, hakuna uchaguzi hapa. Ngoja tuendelee kufuatilia kesi ya Mbowe, majibizano ya akina Polepole nchi imewashinda. Hakuna haki.
 
#Kaziindelee Tanzania
 
Nilikuwa sijui hata kama kuna uchaguzi
 
Hakukuwa na uchaguzi hapo weye. Bange tupu
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Kachape kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…