Emmerson Mnangagwa atangazwa kushinda tena Urais Zimbabwe

Mlio twita mama abdul hajatuma salamu za pongezi?
 
Hizo taasisi zenyewe huwa hazikomai zinasubiri ukomavu wa wengine tu, huoni hayo ni mambo ya bendera fuata upepo?

Kwani wewe ndiyo unayetaka kuwa bendera fuata upepo?

Kwani wenye uchu wa ubunge wako kwao kwetu? Hao wagombea wako kwao kwetu?

Kwa nini kutaka kutafutiwa tu? Au sisi ni mafao na maokoto tu?
 
Hatari sana hawa walanchi.
 
Ukiiacha Kenya na Zambia nchi zingine zote afrika kukiangusha chama tawala ni kwa njia ya mapinduzi TU
 
Ukiiacha Kenya na Zambia nchi zingine zote afrika kukiangusha chama tawala ni kwa njia ya mapinduzi TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…