Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
He's the captivity of his own negativities.Umejuaje kama ni mimba? Mimi naona vitambi tu hapo akili yako umeibagaza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe umecomment ni mshenzi
Mtoa mada anatoa ndogoWe mwenyewe umeisha eneza hapa kwa hiyo kama ni ushenzi umeshiriki pia
siyo mimba,hivyo ni vitambiHawa wazungu ni wapuuzi sana, sasa hivi wameleta emoji mpya kwenye simu ambazo zinaonekana wanaume wamebeba mimba. Naona agenda ya kutangaza ushoga inazidi kushika kasi, tunaelekea wapi?
View attachment 2152547
He is a captive of his own negativityHe's the captivity of his own negativities.
Wewe una matatizo. Lini mashoga walibeba mimba? Nifahamisheni kama sijui.Hawa wazungu ni wapuuzi sana, sasa hivi wameleta emoji mpya kwenye simu ambazo zinaonekana wanaume wamebeba mimba.
Naona agenda ya kutangaza ushoga inazidi kushika kasi, tunaelekea wapi?
View attachment 2152547
Jinsi walivyoweka mikono na jinsi kilivyokosa uwiano na miili, typical pregnancy looksKwa nini umefikiria ni mimba na sio kitambi
Hao ni transmen, yani wanawake waliobadili jinsia, ambao huwa wanaweza kushika mimba wakitakaHawa wazungu ni wapuuzi sana, sasa hivi wameleta emoji mpya kwenye simu ambazo zinaonekana wanaume wamebeba mimba.
Naona agenda ya kutangaza ushoga inazidi kushika kasi, tunaelekea wapi?
View attachment 2152547
Sahihi.He is a captive of his own negativity