Emotionless People: Ifahamu falsafa ya Stoicism

Emotionless People: Ifahamu falsafa ya Stoicism

Stoicism haina uhusiano wowote na mtu kuwa "EMOTIONLESS"

Emotionless ni hali ya kutokuwa na hisia yoyote.. Jambo la kuchochea hisia likitokea wewe huna uwezo wa kuhisi au kuchochea hisia zako kutokana na jambo hilo.

STOICISM ni falsafa inayokupa uwezo wa kuwa na uwezo wa ku control hisia zako katika mazingira tofauti tofauti kulingana na maisha yako. Uwezo wa kuzitambua hisia zako na kuweza kuzimudu.

Stoicism inahamasisha mtu kuwa na EMOTIONS QUOTIENT (EQ) kubwa.

Kiufupi kuwa EMOTIONLESS haimaanishi ndo unafuata falsafa ya STOICISM.
 
Wanafalsafa ni msingi mkuu wa ustaarabu duniani.
Wanafalsafa kama Paulo, Socrates,plato,carl Max, Conficus, Jesus wameisaidia sana dunia kwa mawazo yao
Hapa naona kama unichokoza hivi,nianze kuweka madhaifu ya watu hao. Kwanza nakupa kazi moja,jaribu kusoma Historia ya Wanafalsa wa kale wa Magharibi ukianzia kwa Homeri (aliyekuwa Mshairi)' uje kwavThales,Anaksimenesi,Anaksimanda,Demokritus,uje kwa kina Aristoto,Socrates,Plato,Pythagoras na wengine,kwa sharti uwe unawasoma huku ukitafakari,na ujiulize kwanini walitofautiana katika kuelezea chanzo cha ulimwengu na maisha kwa ujumla.
Nyenzo kama zipi hizo mkuu??
Ufunuo toka kwa Mola. Ukiangalia watu hawa walikuwepo kipindi ambacho unabii na utume ulikuwa umesimama kidogo.
Kigeni hiki, kipakie hapa tujisomee mkuu
Wewe search tu google kwa jina hilo la Kiingereza utakipata kisha ukipakue ujisomee. Uonge logic ilivyo chakazwa humo.
Huwezi kuwa na akili sawa ukawa hujishughulishi na yenye tija kwako,tusichotakiwa sisi ni kuchupa mipaka katika ufanyaji mambo wala kuto zembea. Yaani tunatakiwa kuwa wa kati na kati.
Akili iliyosala ni nini....??
Akili ambayo haija chafuliwa na imani potofu na fikra za kijinga.
Ahsante kwa kuitikia wito..🙏
Tuko pamoja.
 
Hahahaaa eti nakuchokoza.... Jesus anabaki kua mwanafalsafa namba moja
Ni kosa kubwa sana kuwapa nisba mitume na manabii kwa jina la Falsafa au kusema na Mwanafalsafa. Wanaosema hivi huwa hawawajui mitume na hawawajui Wanafalsafa. Mitume ni zaidi ya walivyokuwa Wanafalsafa,sababu mitume walikuwa hawabahatishi wala hawakosei katika mafundisho,tofauti na Wanafalsafa.
Sijawahi wasoma hawa
Wasome.
Lazima watofautiane ajili ya kua mawazo hayawezi kufanana
Sasa ulitakiwa uende mbali zaidi katika kutafakari kwanini swali moja liwe na majibu zaidi ya moja ? Bila shaka kuna tatizo,hawakujua ya kuwa akili ina ukomo kama yalivyo macho yana ukomo,zaidi ya ukomo ili kuona kunahitaji msaada na akili iko hivyo hivyo. Mitume ndiyo walikuja kujibu yale ambayo akili imekomea.
Ndio.. wengi hawakuamini katika Mungu
Na sababu zilikuwepo. Ushawahi kujiuliza ni sababu gani ?
Mkuu unifundishe kiswahili. Unakiongea vyema sana
Mimi siyo mwalimu wa Kiswahili,wala sijafikia nafasi hiyo ila napenda sana kuwa fasaha katika lugha yoyote ninayopenda kujifunza,nahisi hiki nilichonacho kinanitosheleza mwenyewe sababu ni kidogo sana. Ila unaweza kupita mapito ninayo pita katika uandishi wangu huenda ukapata chochote.
Iliyochafuliwa inakuaje?
Mfano ya iliyochafuliwa kama ya Wakanamungu na mfano wao.
Amen mate
Shukrani.
 
Ulimaanisha imani au amani...??
Tujitahidi kuondoa migogoro na mashaka ya ndani ya nafsi ili kuishi Maisha yebye amani na upendo.
Huwezi ishi na watu kwa amani kama huna amani ndaniyo. Just live don't worry a thing since umeumbwa na aliyekuumba anakupenda na kukuangalia always.

Sio ukisikia paka analia nyuma ya nyumba unaanza kuhofu kua watu wanakuwangia, umeona nywele kwenye chakula unadhani umewekewa uchawi.
Inner peace and inner comfortability that's all you need....✌️
IMANI.

Yani ukiwa na imani ya kuwa furaha na amani hailetwi na material things basi hata dhambi zitapungua duniani. Fujo nyingi duniani hutokea kwa sababu ya material things.
 
Yesu hakua mtume wala nabii.
Alikuwa nani Yesu ?
Paulo alikua mwanafalsafa na Yesu alikua mwanafalsafa in other hand.
Wapo disciples wengi wa Yesu ambao walikua pia wanafalsafa.. Thomas Aquinas
Japo sishauri mtu asome Falsafa,ila ukiendelea kusoma zaidi na kutafakari,utabainikiwa ya kuwa Falsafa ni kupoteza muda tu na kuwa mjinga zaidi. Kwahiyo kumpa sifa hiyo nabii au mtume,ni kumkosea adabu.
 
Stoics aren't emotionless.

It wasn't emotion that the Stoics were opposed to; it was negative emotions, such as anger, anxiety, jealousy, and fear. They had nothing against positive emotions such as delight and even joy. Thus, the phrase joyful Stoic is not the oxymoron many people take it to be.
 
-
Zeno of Cyprus is the founder of the popular philosophy stoicism. The once wealthy merchant lost everything when he was shipwrecked in Athens around 300 BCE.

-With not much else to do, he wandered into a bookstore, became intrigued by reading about Socrates and proceeded to seek out and study with the city's noted philosophers.
Since it's a result of despair, nothing needs to be said more
Only the likes should discuss this matter
 
Mwana wa Mungu, Mungu pamoja nasi.
Je tamko mwana wa mungu liketumika kwa Yesu tu peke yake ? Kama si kwa Yesu peke yake kwanini mmeliegemezea kwake tu ?

Unaweza kunithibitishia ya kuwa ni kweli Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu ? Niwekee hilo andiko kisha ulihakiki,yaani unipe sanadi(chain) ya upokezi ifike mpaka kwa Yesu bila kudondoka hata kwa mpokezi mmoja wa habari hiyo.

Je ni kweli Mungu ana mwana ? Ili mwana apatakane kunahitajika nini na nini ?
Unasema hivo Labda hujui upana wa falsafa. Falsafa inagusa kila engo ya Maisha ya Mwanadamu
Unakubali kwamba Wanafalsafa walikosea katika mafundisho yao ? Je Yesu alikosea katika mafundisho ? Kwanini umlinganishe na Wanafalsafa na umpe jina la Mwanafalsafa ?

Hawaiti manabii na mitume kwa jina la Wanafalsafa isipokuwa mtu huyo haijui Falsafa na misingi yake.
 
"Stoicism
It's a philosophy which was main spear headed by stoic philosopher during the roman jurisprudence "
Mkuu kama hutojali fwatilia hili kwanza manake lina kinzana na bandiko lako
 
“You have to disconnect in order to better connect with yourself and with the people you serve and love. People don’t have enough silence in their lives because they don’t have enough solitude. And they don’t get enough solitude because they don’t seek out or cultivate silence. It’s a vicious cycle that prevents stillness and reflection, and then stymies good ideas, which are almost always hatched in solitude.”
 
Sahihi kabisa ndio maana mimi natamani socialism ingetawala dunia.. dunia ingekua salama sio kama hivi ubeberu ulivyotapakaa. Kusudi la Mungu olikua tuishi kijamaa Earn, Tumia ,Earn sio ujilimbikizie mali. Uki-refer Kitabu cha Enoch au Genesis Verse 6 utaona Ubeberu uliletwa na Fallen angels led by Azazel. Ndio maana ubeberu unafosiwa kwa Jasho na damu kuenea dunia nzima.

Kila wanachofaya wanafanya kwa mlengo wa kujilimbikizia mali. Hata ukifanya vumbuzi ukataka itumike world wide bure ili kurahisisha maisha ya watu lazima uwe Eliminated, Nicholas Tesla alitengeneza umeme ambao ungeweza kutumika wirelessly kazi yako ni kufanya wiring tu na projects zake nyingine nyingi ambazo zililenga kumkomboa mwanachi wa hali ya chini....Ila aliuawa naKazi zake zote zikachukuliwa na mfanyabiashara Thomas Edison ambae leo anaitwa baba wa Light bulb.
Kama unanua luku nyimbani mwako basi ujue ni mpango wa watu kukukandamiza ili wao waendelee kujilimbikizia mali.

Mungu anapenda duniani watu tuishi hivi ila haiwezekani tena.
You are absolutely right...
 
Kwanini mkuu?
'Kusudi la Mungu ilikua tuishi kijamaa,earn, tumia ,sio ujilimbikizie mali',Mungu alijua kuwa more mali,more money,more problems.Hili linakuja kwakuwa ukiwanavyo hutakwepa maisha yako yote kuendeshwa na emotions,ambazo mwisho wa siku utajikuta unaishi nje ya mpango wa Mungu, na hatimaye utaudhuru mwili wako,akili,nafsi ,roho na hatimaye uhai wako...
 
Kwa Mujibu wa mwandishi Mark Manson Cha"everything is fucked" jina limenitoka anadai kuwa ubongo umegawanyika katika maeneo mawili, hisia na akili. Anasema mara nyingi hisia ndizo zinazomwendesha mtu kufanya anayoyafanya huku akili ikimshauri tu.
Lakini akaweka msisitizo wa kulazimisha hisia zikubaliane na akili Ili uweze kufanya vitu stahiki duniani. Anasema mara nyingi hisia hazipendi kuendeshwa lakini kila binadamu lazima ahahakikishe anazidhibiti hisia ziendane na akili kwa sababu, akili Ndio hujua mema na mabaya wakati hisia huangalia mambo ya kuufurahisha mwili kwa wakati huo hata kama ni mabaya hivyo mtu kujitia baadae.
Kea hiyo uwezo wa kuzidhibiti hisia zako si Jambo rahisi ila inawezekana.
 
Philosophy is foundation of life no life with no philosophy. Socrates anasema kwamba I can't teach all the people but I can make people think. That's the aim of philosophy to strengthening thinking and arguing capability of people.

Wagiriki wana msemo wao unaitwa πολυμαθής "polymaths" wakimaanisha aliye na elimu pana au ni mtu ambae
anauwezo mkubwa katika mambo mbalimbali, anaweza kusovu mafumbo na kutatua au kutengeneza mambo magumu.

Unapotaja polymaths basi unakua unamtaja Leonardo Davinci baba wa vipaji. Davinci ndie inaaminika ndiyo binaadamu pekee ambaye alikua na vipawa lukuki, na kila alichokua anakifanya alikua anakifanya kwa 100%. Kila nyanja tafuta utamkuta huyu mtu ana mchango wake.
Uchoraji, falsafa, muziki, jeshini, sayansi, anga, ujenzi nk nk. Kiufupi Ndio polymaths namba moja duniani.
Ni kweli philosophy inatufundisha mambo mengi kwanzia kwenye perception, control of emotions, steady our nerves, to avoid some mistakes na kuover come our daily life problems or challenge. Najua sio rahisi kumaster vyote kwa wakati mmoja lakini najitahidi kuvipractice kila siku kila kimoja kwa nafasi yake.

Ombi langu usiishie hapa tu mate, utuletee nondo nyingine nzuri zaidi za kujifunza na kuongeza maarifa katika field hii ya philosophy.
Ubarikiwe sana mate and God be upon you.

SALUTE
Da'Vinci
 
Mark Manson, namsoma hapa..
Kwa Mujibu wa mwandishi Mark Manson Cha"everything is fucked" jina limenitoka anadai kuwa ubongo umegawanyika katika maeneo mawili, hisia na akili. Anasema mara nyingi hisia ndizo zinazomwendesha mtu kufanya anayoyafanya huku akili ikimshauri tu.
Lakini akaweka msisitizo wa kulazimisha hisia zikubaliane na akili Ili uweze kufanya vitu stahiki duniani. Anasema mara nyingi hisia hazipendi kuendeshwa lakini kila binadamu lazima ahahakikishe anazidhibiti hisia ziendane na akili kwa sababu, akili Ndio hujua mema na mabaya wakati hisia huangalia mambo ya kuufurahisha mwili kwa wakati huo hata kama ni mabaya hivyo mtu kujitia baadae.
Kea hiyo uwezo wa kuzidhibiti hisia zako si Jambo rahisi ila inawezekana.
20210608_100711.jpg


Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom