Duh hii ni tabia mbaya saana na haifai. Yaani mtu huna hata aibu kuandika uchafu hapa? Wewe ulihonga? Hivi ufanisi utatoka wapi???Usikate tamaa, ila sidhani kama kutafuta kazi online au magazetini inatosha. Weka appointment Kutana na Ma HR, drops CV fanya msako wa nguvu, ikiwezekana......HONGA...lol
Usikate tamaa, ila sidhani kama kutafuta kazi online au magazetini inatosha. Weka appointment Kutana na Ma HR, drops CV fanya msako wa nguvu, ikiwezekana......HONGA...lol
Jamani nimekuja hapa jamvini nahitaji msaada wa mawazo.
nina BSc.Home Economics and HumanNutrition. nimehangaika kutafuta kazi bila mafanikio. ninajitahidi sana kutembelea website kama vile kazi999.com, naombakazi ila cjaona.
najua humu ndani kuna watu wa fani mbalimbali,any help would be appreciated.
thanks a lot.
Mh,hii hatari. hebu niambia Attinda nimunonge nani? nini?
Jamani nimekuja hapa jamvini nahitaji msaada wa mawazo.
nina BSc.Home Economics and HumanNutrition. nimehangaika kutafuta kazi bila mafanikio. ninajitahidi sana kutembelea website kama vile kazi999.com, naombakazi ila cjaona.
najua humu ndani kuna watu wa fani mbalimbali,any help would be appreciated.
thanks a lot.
Duh hii ni tabia mbaya saana na haifai. Yaani mtu huna hata aibu kuandika uchafu hapa? Wewe ulihonga? Hivi ufanisi utatoka wapi???