The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Acha ngonjera na mipasho ya kishambenga, nitajie anamzidi nini? Wote wana 1.7, wa feza anamzidi nini wa Kayumba.Huwezi kklingana na mtu alio lipa 15m kama ada nawewe ulio changia dawati la 25000, hata yule akipata div 2 wewe alie changia dawati upate 1 ya 7, hawezi kumzidi chochote na hutakuja kujilinganisha nae kimaisha mkuu imasokini usiwandanganye kwa kujifariji tu.
Hahaha st. LIKUDMkuu kama Feza ndo kesi study yako sio picha halisi ya Ems, ada ya Feza wazazi wanao iweza ni 0.001%, Ems ni nzuri sio kwa ufaulu tu hata kwa mambo mengine, kama ni kufauli siku hizi hata hizi shule St LIKUD wanafaulu wote kuenda form one, sasa kutana nae Darasani ndo utajua au hujui.
Ukishakuwa na uwezo wa kumlipia mwanao mil 30 kwa mwaka, hawezi kuja kutegemea mshahara wa mil. 1Ada milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
Mzee huwezi kinielewa katika hili naomba mtu mwenye ufafanuzi zaidi akueleweshe, ni sawa sawa kusema kwama Bakheresa akifilisiwa anaweza akawa sawa sawa kimaisha na mualimu wa shule za umma au machinga wakalingana, kwanza wanalingana kwa lipi?Acha ngonjera na mipasho ya kishambenga, nitajie anamzidi nini? Wote wana 1.7, wa feza anamzidi nini wa Kayumba.
Mambo ya umasikini sijui nini, toka lini ukawa mke wangu kujua mimi ni masikini?
Mnadanganyana sana mzazi amlipie hiyo ada utakutana nae anaomba kazi sidhani kama wazazi wa hivyo wapo Nchi hii...ukiona wanalipa hizo fees wengi wana miradi mikubwa na wengi wao wanakuja kuendeleza kazi za wazazi wao..Ada milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
Hao wakimaliza fedha wanamiradi ya wazazi wao ,au wanafanyakazi nnje . sijawahi kuwaona chini huko ,labda tuambieAda milioni 30 kwa mwaka anamaliza anapata mshahara wa Serikali wa 1M kwa mwezi sawa na 12M kwa mwaka.
100%. FactShule niliyosoma olevel kuna madogo 3 wana one ya 7, wawili wana 8, watatu wana 9. Ada bure na kila kitu bure.
Kama one ndio kipimo chako cha ubiora, Sasa huyu dogo aliesoma bure ana 1.7 st kayumba na dogo wa Feza mwenye 1.7 alielipa ada 9m wanatofautiana nini?
Shule za EM zaidi ya matokeo mazuri hazina kitu cha ziada kwa watoto, ni kupoteza rasilimali fedha tu na matokeo mazuri sasa hayana maana yoyote.
FactUngeona matokeo ya kibaha secondary usinge andika huu uzi kabisa mkuu.
One zipo 104 na hakuna 2 ,3,wala 4 . We unalipa M 30 mtoto ana one ya 10 unajisifia na wale wasio lipa wana One ya 7 zipo kibaooo tu .
FactKumbuka wao ni biashara hio, wakifelisha nani atapeleka mtoto. In generally wizi wa mitihani utawapata private schools
FactShule nyingi tu kila mwaka zinatoa one flat kuwavutia wazazi wajinga.
At the penalt hizo one hazina tija kwa taifa .
Kama unaetetea mwenyewe hujui kuna tofauti gani kati ya 1.7 ya kayumba na 1.7 ya feza unataka hadi mtu mwingine anieleweshe maana yake ni kwamba tofauti ya wazi na halisi haziipo, tofauti unazoziona wewe ni za kihisia tu na kufikirika.Mzee huwezi kinielewa katika hili naomba mtu mwenye ufafanuzi zaidi akueleweshe, ni sawa sawa kusema kwama Bakheresa akifilisiwa anaweza akawa sawa sawa kimaisha na mualimu wa shule za umma au machinga wakalingana, kwanza wanalingana kwa lipi?
MWanafunzi hapati one kwa ajili ya taifa ni kwa ajili ya performance yake mwenyewe. Inamjengea opportunity za kusonga mbele zaidi. Huko kwenye ajira hakuna mahali wanataka 1 ya form 4, na hamna sheria hiyo nchi hiiShule nyingi tu kila mwaka zinatoa one flat kuwavutia wazazi wajinga.
At the penalt hizo one hazina tija kwa taifa .
Kujenga majumba…okHao wa migodini hajui jmuhimu wa elimu akili zao ni kujenga majumba wanawake pombe na uchawi.
FactFedha sio EMs.
EMs ni hizi shule za kitapeli zenye michango ya hovyo, mara la nne hawafungi shule kwahiyo mzazi unatakiwa ulipe ada nyingine ya mwezi mmoja, mara sijui nini
Nje ya mada: Hizi one flat za miaka nenda rudi mbona hazina gunduzi?
Duh!....Mwanao akipata one tu tayari umemaliza kila kitu?
Mtafute engineer Mmoja humu aliitwa CCNPP nimesahau jina lake ana one ya 7 na one ya 3 lakini alizidiwa kila kitu kasoro ujinga na Humble african🤣🤣 Portfolio Portfolio
Duh!...Ndio ninacho sema ni itatuchukua muda sana kuja kugundua kwamba mitihani ya Taifa ni Scam kubwa sana na Fabrication za kutisha kutengeneza biashara.
Hizo one hutakaa uzisikie tena zilipo ishilia, hutakaa uzione zina translate mambo mtaani.
Kushindanisha wanafunzi ni model ya zamani saba nchi nyingi walisha achana na huo ujinga kitambo sana, Bongo still tunauabudu sana kwa nguvu zote
Una uhakika lakini? Walimu wanaofundisha huko EMs n. k. Wanaishi wapi? Je, wewe unafikiri una tabia nzuri?Tabia chafu zote zipo shule za uswahilini.