mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,970
Wakuu,
Sina kiswahili sahihi cha neno ''enchweke'' ambalo kwa lugha yangu ya kihaya ni hali ya mzimu wa mtu aliyekufa kumwandama mtu aliye hai na kumfanya aongee kile anachokitaka. Mara nyingi marehemu hupenda kutoa wosia kwa waliobakia kupitia mtu huyo. Nimeishuhudia mjomba wangu alipofariki bibi yangu alisumbuliwa sana na mzimu wa mjomba.
Swali langu ni kwa jinsi gani inatokea mzimu wa mtu unamkalia mwingine na kutoa maagizo? Mara nyingi sauti na matendo ya mtu aliyekaliwa na mzimu huendana na kushahabiana kabisa na marehemu.
Wajuvi nijuzeni tafadhali.
Sina kiswahili sahihi cha neno ''enchweke'' ambalo kwa lugha yangu ya kihaya ni hali ya mzimu wa mtu aliyekufa kumwandama mtu aliye hai na kumfanya aongee kile anachokitaka. Mara nyingi marehemu hupenda kutoa wosia kwa waliobakia kupitia mtu huyo. Nimeishuhudia mjomba wangu alipofariki bibi yangu alisumbuliwa sana na mzimu wa mjomba.
Swali langu ni kwa jinsi gani inatokea mzimu wa mtu unamkalia mwingine na kutoa maagizo? Mara nyingi sauti na matendo ya mtu aliyekaliwa na mzimu huendana na kushahabiana kabisa na marehemu.
Wajuvi nijuzeni tafadhali.