''Enchweke'': Sauti za waliokufa, inatokeaje mtu anaongea kwa niaba ya mfu?

''Enchweke'': Sauti za waliokufa, inatokeaje mtu anaongea kwa niaba ya mfu?

Ipo sana niliiona Kwa anko ilikuwa inamkaba kabisa na kupoteza fahamu ishu ilikuwa kaka yake alifariki na yeye akawa msimamizi wa mirathi sasa zile Hela zilipotoka wale madogo waliokuwa shule awakupewa Hela hadi wakimaliza coz walikuwa wanasomea shuleni kwake . Akawa anazitumia zile Hela balaa ndo lilianzia hapo ila waliweka mambo sawa kila mtu akafunguliwa ankauti yake na kuwekewa mtonyo mambo Yale yakawa yameisha hadi Leo.
 
Nyie
Ni kweli hiki kitu kipo sana huko uhayani kwetu na imetokea pia kwenye ukoo wangu. Lakini sijui mpaka leo nini huwa kipo hapo? Na makuzi yangu pia nimekulia kwenye nyumba ya msonge nilikuwa nikiona wazee wakiweka vitu humo. Miaka ya karibuni nimekwenda hapo nilipolelewa msonge haupo tena isipokuwa kila mwanaukoo amejitengenezea msonge wake, na madhara niliyoyakuta ndani ya ukoo wangu ni wagonjwa mwenye kuugua magonjwa ya ajabu sana, hayaelezeki kwa kweli. Kama kuna mwana JF wa kabila hili tupe kidogo uzoefu. Si vibaya Mwl. asiye na makuu Mshana Jr na wenzeke tuongezeeni maarifa ya akili.
Nyie mnatokea kwenye shida sana.
 
Hii nimeona inatokea familia ambazo ziliendekeza sana ibada za mizimu. Kama kule kagera ni ngome na mizimu na karibu kila mji una "Nyaruju" ambayo ni nyumba ya mizimu. Nimeshuhudia hiyo enchweke ikimtokea mtoto mdogo wa primary na mtoto akaanza kutoa maunabii ya hatari. Pia nimeiona Mbeya huko, mtu akifa yanaanza kusema nani kamuua na wamemuweka wapi. Dawa ni familia kujitenga na utegemezi wa mizimu na kumtafuta Mungu wa kweli. Deliverance ya ardhi inatakiwa sana. Ukifuatilia sana hizi familia zinakuwa zinaandamwa sana na roho ya umasikini na premature death.
 
Ni kweli hiki kitu kipo sana huko uhayani kwetu na imetokea pia kwenye ukoo wangu. Lakini sijui mpaka leo nini huwa kipo hapo? Na makuzi yangu pia nimekulia kwenye nyumba ya msonge nilikuwa nikiona wazee wakiweka vitu humo. Miaka ya karibuni nimekwenda hapo nilipolelewa msonge haupo tena isipokuwa kila mwanaukoo amejitengenezea msonge wake, na madhara niliyoyakuta ndani ya ukoo wangu ni wagonjwa mwenye kuugua magonjwa ya ajabu sana, hayaelezeki kwa kweli. Kama kuna mwana JF wa kabila hili tupe kidogo uzoefu. Si vibaya Mwl. asiye na makuu Mshana Jr na wenzeke tuongezeeni maarifa ya akili.
Unatokea kwa Kempanju?
 
Kati ya kabila lenye uchawi mwingi lakini hawavumi wala hawajijui kuwa ni wachawi sana ni wahaya
 
Back
Top Bottom