Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Nyie mnatokea kwenye shida sana.Ni kweli hiki kitu kipo sana huko uhayani kwetu na imetokea pia kwenye ukoo wangu. Lakini sijui mpaka leo nini huwa kipo hapo? Na makuzi yangu pia nimekulia kwenye nyumba ya msonge nilikuwa nikiona wazee wakiweka vitu humo. Miaka ya karibuni nimekwenda hapo nilipolelewa msonge haupo tena isipokuwa kila mwanaukoo amejitengenezea msonge wake, na madhara niliyoyakuta ndani ya ukoo wangu ni wagonjwa mwenye kuugua magonjwa ya ajabu sana, hayaelezeki kwa kweli. Kama kuna mwana JF wa kabila hili tupe kidogo uzoefu. Si vibaya Mwl. asiye na makuu Mshana Jr na wenzeke tuongezeeni maarifa ya akili.
🙏Ha ha ha Kila tatizo la KIAFRIKA linatatuliwa na dini. Hao walioishi kabla ya ujio wa dini za Abraham (Ibrahim), waliishi vipi?
Unatokea kwa Kempanju?Ni kweli hiki kitu kipo sana huko uhayani kwetu na imetokea pia kwenye ukoo wangu. Lakini sijui mpaka leo nini huwa kipo hapo? Na makuzi yangu pia nimekulia kwenye nyumba ya msonge nilikuwa nikiona wazee wakiweka vitu humo. Miaka ya karibuni nimekwenda hapo nilipolelewa msonge haupo tena isipokuwa kila mwanaukoo amejitengenezea msonge wake, na madhara niliyoyakuta ndani ya ukoo wangu ni wagonjwa mwenye kuugua magonjwa ya ajabu sana, hayaelezeki kwa kweli. Kama kuna mwana JF wa kabila hili tupe kidogo uzoefu. Si vibaya Mwl. asiye na makuu Mshana Jr na wenzeke tuongezeeni maarifa ya akili.