Oppotunity
Member
- Sep 9, 2013
- 38
- 12
kwa mujibu wa tafiti za kisayansi Sehemu kubwa ya dunia imefunikwa na maji (bahari) huku sehemu ndogo iliyobaki ikiwa nchi kavu..
jua (sun), limeumba kwa mchanganyiko wa gesi mbambali zilizochanganyika na vumbi (dust particles) na kushikiwa pamoja na nguvu ya uvutano. gesi hizi zinafanya chemical reaction ambayo contents (products) zinazopatikana ni raw material ya reactants hivyo basi hii chemical reaction inakuwa automaticaly revesed. reaction inapofanyika kuna energy loss (1) heat enegry joto linalotufikia tukiwa hapa duniani (2) light energy mwanga tunaoupata 2kiwa huku duniani. joto hili linaongezeka kadri siku zinavyokwenda (ipo wazi) coz due to energy loss then jua linapungua ukubwa (diameter) na kuwa dogo zaidi hivyo joto kuongezeka zaidi na kusababisha sehemu kubwa ya barafu duniani kuyeyuka na kina cha maji baharini kuongezeka kwa kasi kubwa na hivyo basi baada ya miaka 25 ijayo dunia yote itafunikwa na maji na kuua viumbe wote isipokuwa kwa wale ambao tnatarajia kuanza maisha mapya sayari ya MAARS
jua (sun), limeumba kwa mchanganyiko wa gesi mbambali zilizochanganyika na vumbi (dust particles) na kushikiwa pamoja na nguvu ya uvutano. gesi hizi zinafanya chemical reaction ambayo contents (products) zinazopatikana ni raw material ya reactants hivyo basi hii chemical reaction inakuwa automaticaly revesed. reaction inapofanyika kuna energy loss (1) heat enegry joto linalotufikia tukiwa hapa duniani (2) light energy mwanga tunaoupata 2kiwa huku duniani. joto hili linaongezeka kadri siku zinavyokwenda (ipo wazi) coz due to energy loss then jua linapungua ukubwa (diameter) na kuwa dogo zaidi hivyo joto kuongezeka zaidi na kusababisha sehemu kubwa ya barafu duniani kuyeyuka na kina cha maji baharini kuongezeka kwa kasi kubwa na hivyo basi baada ya miaka 25 ijayo dunia yote itafunikwa na maji na kuua viumbe wote isipokuwa kwa wale ambao tnatarajia kuanza maisha mapya sayari ya MAARS