End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

We,uctanie wa2 yesu alijui kanisa kabisa nawala hakuwai kuingia huko kama unalo andiko linalo onyesha yasu aliwahi kuingia nakuomba unisaidie
 
Jamani mbona huuni utoto kwani hii ni mara yangapi wana tangaza hivyo, na kwanini wasi shtakiwe? Kwa kuwatia hofu binaadam wenzao? Au ndio uli mwengu wa shetani?
 
nasa wanasema dunia itakuA GZA KWA SKU3 MFULULIZO! During kipindi hcho,matetemeko,mafuriko yatakuwa ya kutisha.then jua itawaka tena na dunia itakuwa tofauti kabisa.wanasema cha muhimu ni maombi! Na utulivu,na pia watu wengi tutakufa kwa hofu. Na wanasisitiza c mwisho wa dunia bali dunia inajiumba upya. sasaa najiuliza vibatari havitawaka!!? Du tuache utani naogopa xana. lolg tena ngoja nigoogle hawa nasa kwanza.na eti ni tarehe 23,24,25 xmass GIZANI NA UKIJIKUTA HAI UJUE HUKUCHAGULIWA.NAHSI YESU ATALINYAKUA KANISA LAKE

Mmh, da flora msoffe kumbe u mwoga namna hii! The Great Tribulation ktk Revelation haiko namna hii unavyofikiri. Cool down dada.
 
Last edited by a moderator:
uuwi wale walioenda kuhiji mwezini!!? Ndo wataja ijaza dunia aghrrr manake huyu nibiru,au hlo jua likizimika kwa 3 days italeta mabadiliko makubwa!manake dunia itajiumba upya! xaxa ,aghrr kwahyo jamaa walioenda mwezin wakirud, watard na technology waliyosepa nayo,kisha tunaanza itumia mmmh lol
 
Nimefanya tathmini ya haraka haraka na kuanza kuunganisha dots nimekuja kugundua kuwa haya machafuko ya middle east(kumbuka middle east ndio kitovu cha dini zetu zote (Christian/Muslim), matetemeko makubwa ya dunia huko Japan na North Ireland ,bila kusahau katika kisiwa cha Haiti. Nadhani mtakubaliana na mimi kuwa tumeshuhudia pia mafuriko kule Australia na haya maafa yote yamepoteza maisha ya watu wengi. So guys inabidi tutubu na kumrudia Mungu na tukio la babu wa loliondo ambalo limekuwa gumzo dunia nzima nalo naweza kulihusisha na this end of the world japo siwezi kumuita babu kuwa ni nabii wa uongo kwa sababu babu hapreach injili bali anatibu watu bila kujali imani zao .
So guys ... Wat is your opinions?

we are so close to there.na mi cjajiandaa uuwi
 
Dumb asse.s eti mnaamini mwisho wa dunia 21st dec!! Lolz!!! Watu wa technology wana plan future itakuaje, olympic, world cup, zote zishajulika a zishapangwa lini, sisi waafrika tushadanganywa na mzungu tunaanza kuingia woga! Kwa nnavojua hawa jamaa wangekuwa wanakaa chini na kujadili ni vipi wajikinge na majanga yatakayokuja, UN wangekaa na kulizungumzia.... My point is THERE IS NOOOOOOOOOOOTHING SERIOUS ABOUT IT!!! Get a life jamani, acheni kupumbazika
 
nasa wanasema dunia itakuA GZA KWA SKU3 MFULULIZO! During kipindi hcho,matetemeko,mafuriko yatakuwa ya kutisha.then jua itawaka tena na dunia itakuwa tofauti kabisa.wanasema cha muhimu ni maombi! Na utulivu,na pia watu wengi tutakufa kwa hofu. Na wanasisitiza c mwisho wa dunia bali dunia inajiumba upya. sasaa najiuliza vibatari havitawaka!!? Du tuache utani naogopa xana.lolg tena ngoja nigoogle hawa nasa kwanza.na eti ni tarehe 23,24,25 xmass GIZANI NA UKIJIKUTA HAI UJUE HUKUCHAGULIWA.NAHSI YESU ATALINYAKUA KANISA LAKE

NASA gani walisema hivyo??? Weka link... Ninavyojua nasa walisema kuwa ni hoax.
 
Mwisho wa dunia upo sana ingawa hakuna ajuaye siku wala saa.
Biblia imeandika wazi kabisa kuwa ingawa hakuna ajuaye siku wala saa kutakuwepo na nyakati za hatari,majanga makubwa, magonjwa makubwa na mengine mengi ambayo yamkini ni makubwa sana kwa kipindi hiki.
Pia imeandikwa wazi kabisa ingawa yatatokea hayo yote ,watu wengi wataendelea kuwa wabishi na wakaidi kukiri na kutubu.
Ndugu siku ya mwisho yaja tena yaja karibu sana ambapo kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana.


yeah!
 
bado wk mbili tu kuelekea huo muda uliotabiriwa yote tutayajua kama watu walikuwa wanauza chai au la!
 
Dumb asse.s eti mnaamini mwisho wa dunia 21st dec!! Lolz!!! Watu wa technology wana plan future itakuaje, olympic, world cup, zote zishajulika a zishapangwa lini, sisi waafrika tushadanganywa na mzungu tunaanza kuingia woga! Kwa nnavojua hawa jamaa wangekuwa wanakaa chini na kujadili ni vipi wajikinge na majanga yatakayokuja, UN wangekaa na kulizungumzia.... My point is THERE IS NOOOOOOOOOOOTHING SERIOUS ABOUT IT!!! Get a life jamani, acheni kupumbazika

una uhakika gani kuwa wanakaa na kuyajadili au hawakai kabisa kuyaongelea hayo?
 
.... Wabongo bana.... Eti mwisho wa dunia.... Acheni upuuzi, hakuna mwisho wa dunia wala nini.... Hayo ni mambo ya y2k tu.
 
Mwisho wa dunia kwa maana ya viumbe upo na utakuja kwa mtindo mfano wa EVOLUTION. yaani yatatokea mabadiliko ya hewa kama kuongezeka kwa joto kutoweka kwa oksijeni na kadhalika. kidogokidogo viumbe hai vitakuwa extinct na hatimae hakutakuwa na uhai tena duniani. mwisho huu utatangulia ule ulioelezwa katika vitabu vitakatifu. kutoweka kwa uhai duniani kunaweza kuongezeka kasi kutokana na vitendo vya binadamu wenyewe kwa kukiuka utaratibu wa kimaumbile yaani nature ambayo ndiyo hufanya dunia iendelee kuwapo na viumbe waendelee kuishi
 
Sisi binadamu tanasumbuliwa na ujinga kuhusiana na uhai na mazingira. tunadhani kwa kujenga marosheni, kutengeneaza madege na maroketi, mameli na mavinu ya nuklia ndio tumeendelea. maendeleo ya aina hii yatafikia kilele yaani peak mahali ambapo hapawezekani tena na hapo ndipo mwendokasi wa kuporomoka kwa uhai utapoanza. ili dunia iendelee kuwepo ni lazima sayansi itafiti asili ya maisha na uhusiano wa maihsha/uhai na mazingira kikamilifu. kusingekuwa na maendeleo ya sayansi ya aina hii iliyopo duniani watu wangekuwa wachache sana lakini imara sana wangeweza kuishi hata miaka 500. msawazo wa uhai ungefuata nature; maji yangekuwa tele, hewa safi joto la kadiri n.k. Ni kazi ya sayansi kurejesha hali hii kwa kuelekeza vitendo vya mwanadamu namna ifaayo. mwisho wa dunia kwa mtindo wa parapanda na kuanguka nyota ni wa kutilia mashaka
 
Haya mambo yanazungumzwa pembeni pembeni tu.
"
NASA walishasema hakuna kitu siku hiyo,watu wamekoma kupiga makelele.
"
Hakuna cha Sayari Nibiru kuigonga dunia wala nini.
"
Kilichopo ni taarifa za mpango wa dunia kubadilika.Yaani kuuondoa mpango wa zaimani wa kumtegemea Mungu na kuleta mpango mpya wa binadamu kujitegemea mwenyewe.
"
Lakini pia habari hizi haziko wazi,bali kwa wale wanaofuatilia vyama vya siri watakua wanajua habari hizi.
"
Kwa kifupi hakuna kitu kama maafa siku hiyo,ila kama taarifa kutoka vyama vya siri ziko sahihi,mabadiliko yatakayotokea ni ya kimaisha na kiroho zaidi.
"
So,kama ni kujihami ni kujihami kiroho zaidi na sio kimwili.
"
Mambo ya majanga siku hiyo sio kweli kwamba yatatokea.Safisha matendo yako na umrudie Mungu!
 
Back
Top Bottom