Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasa wanasema dunia itakuA GZA KWA SKU3 MFULULIZO! During kipindi hcho,matetemeko,mafuriko yatakuwa ya kutisha.then jua itawaka tena na dunia itakuwa tofauti kabisa.wanasema cha muhimu ni maombi! Na utulivu,na pia watu wengi tutakufa kwa hofu. Na wanasisitiza c mwisho wa dunia bali dunia inajiumba upya. sasaa najiuliza vibatari havitawaka!!? Du tuache utani naogopa xana. lolg tena ngoja nigoogle hawa nasa kwanza.na eti ni tarehe 23,24,25 xmass GIZANI NA UKIJIKUTA HAI UJUE HUKUCHAGULIWA.NAHSI YESU ATALINYAKUA KANISA LAKE
Mmh, da flora msoffe kumbe u mwoga namna hii! The Great Tribulation ktk Revelation haiko namna hii unavyofikiri. Cool down dada.
Nimefanya tathmini ya haraka haraka na kuanza kuunganisha dots nimekuja kugundua kuwa haya machafuko ya middle east(kumbuka middle east ndio kitovu cha dini zetu zote (Christian/Muslim), matetemeko makubwa ya dunia huko Japan na North Ireland ,bila kusahau katika kisiwa cha Haiti. Nadhani mtakubaliana na mimi kuwa tumeshuhudia pia mafuriko kule Australia na haya maafa yote yamepoteza maisha ya watu wengi. So guys inabidi tutubu na kumrudia Mungu na tukio la babu wa loliondo ambalo limekuwa gumzo dunia nzima nalo naweza kulihusisha na this end of the world japo siwezi kumuita babu kuwa ni nabii wa uongo kwa sababu babu hapreach injili bali anatibu watu bila kujali imani zao .
So guys ... Wat is your opinions?
nasa wanasema dunia itakuA GZA KWA SKU3 MFULULIZO! During kipindi hcho,matetemeko,mafuriko yatakuwa ya kutisha.then jua itawaka tena na dunia itakuwa tofauti kabisa.wanasema cha muhimu ni maombi! Na utulivu,na pia watu wengi tutakufa kwa hofu. Na wanasisitiza c mwisho wa dunia bali dunia inajiumba upya. sasaa najiuliza vibatari havitawaka!!? Du tuache utani naogopa xana.lolg tena ngoja nigoogle hawa nasa kwanza.na eti ni tarehe 23,24,25 xmass GIZANI NA UKIJIKUTA HAI UJUE HUKUCHAGULIWA.NAHSI YESU ATALINYAKUA KANISA LAKE
NASA gani walisema hivyo??? Weka link... Ninavyojua nasa walisema kuwa ni hoax.
Mwisho wa dunia upo sana ingawa hakuna ajuaye siku wala saa.
Biblia imeandika wazi kabisa kuwa ingawa hakuna ajuaye siku wala saa kutakuwepo na nyakati za hatari,majanga makubwa, magonjwa makubwa na mengine mengi ambayo yamkini ni makubwa sana kwa kipindi hiki.
Pia imeandikwa wazi kabisa ingawa yatatokea hayo yote ,watu wengi wataendelea kuwa wabishi na wakaidi kukiri na kutubu.
Ndugu siku ya mwisho yaja tena yaja karibu sana ambapo kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana.
Dumb asse.s eti mnaamini mwisho wa dunia 21st dec!! Lolz!!! Watu wa technology wana plan future itakuaje, olympic, world cup, zote zishajulika a zishapangwa lini, sisi waafrika tushadanganywa na mzungu tunaanza kuingia woga! Kwa nnavojua hawa jamaa wangekuwa wanakaa chini na kujadili ni vipi wajikinge na majanga yatakayokuja, UN wangekaa na kulizungumzia.... My point is THERE IS NOOOOOOOOOOOTHING SERIOUS ABOUT IT!!! Get a life jamani, acheni kupumbazika