End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Kiu kweli ndugu zangu wapendwa tupo katika kipindi cha mwisho wa Dunia hakika Dunia Itaharibiwa vibaya,hakika yesu kristo yuaja tujiandae wapendwa!!
Kama Mwisho wa Dunia utafika kutakuwa na ile kitu watu kukataa Majina yao... Mayambwe naye akiitwa sijui ataitika! Mariam wa Yusuph atastushwa pale atakaposikia Mwanae Yah-shua akiitwa Yesu au Jesus....


Germany Machine kesha mpiga Portugal Tatu....mpira unaendelea...
 
Dunia haina mwisho isipokuwa viumbe ndio vina mwisho. Pale utakapokufa ndio utakuwa mwisho wa dunia yako lakini dunia itakuwepo
 
Kitabu cha Wakristo kinasema kuwa "HAKUNA AJUWAYE SIKU, SAA, WALA MUDA wa hiyo END OF THE WORLD. Nafikiri wapo sawa.
 

Tangu December 21 2012 hadi leo,sijui tunauonaje mwenendo wa Dunia?!ntaendelea kuwakumbusheni hiyo post niliyoquote hapo juu.
 
Leo ktk radio moja kulikuwa kuna mdada mmoja anatangaza ya kuwa mtu yeyote atakae MTONGOZA anaenda kumshitaki na anawahamasisha wanawake wengine ktk Tanzania wasikubali kutongozwa,Je hii ni sawa ?

Huyo siyo mwanamke,labda anavaa nguo za kike ili hali ndani Dume la shoka,au hana vigezo vya kutongozwa ndo maana anaona kwke kutongozw na kama mwanamke kujisaidia haja ndogo huku kasimama,
 
the world will come to an end when we completely have destroyed nature upside down, no more water, trees, ecosystem completely distorted, all food will be coming from industries no cultivated food. At the point the world will come to an end.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…