End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

mie nadhani hayo majani ni majani halisi.Nafahamu kuwa unabii huwa una viwakilishi lakini pia nikujuze mkuu kuwa kuna wakati unabii unasimama na literal meaning yake na pia kuna wakati unazungumza both kiuwakilishi na kiuhalisia(two fold kama unabii wa chukizo la uharibifu wenye maana halisi ya taifa la Israel kuvamiwa na Warumi na maana ya kinabii ya kanisa la Mungu kuvamiwa na roho ya mpinga kristo kwa pamoja) Kuhusu malaika,hawa ni wajumbe wa Mungu ktk hali zote,mazuri na mabaya kwa maana kwamba hata anapoleta balaa kama lile la Sodoma anatumia malaika.Hata hapa tulipo malaika wapo wanafanya kazi zao ndio maana tunaishi otherwise Hallel angekuwa katumaliza kabisa.Nadhani mkuu unafahamu kuna malaika wanailinda dunia hii dhidi ya uovu lakini hatuwaoni.Hivyo hata suala la hao wa revelation 8 ni hivyo hivyo,watu hawataona malaika,watashuhudia physical disasters toka mikononi mwa malaika hao waliotumwa na Mwenyezi Mungu kuiadhibu dunia kwa mapigo(deluge).Mtu wa kawaida hataelewa kinachoendelea lakini mwenye ufahamu wa Mungu kupitia neno lake atazisoma nyakati na kujua wale malaika wameanza kazi.
mkuu,naomba niwe specific kwenye ufunuo 8.Soma aya ya 1 hadi ya 5 uone scenario iliyotokea mbinguni baada ya muhuri ya saba kufunguliwa,kukawa kimya mbinguni..hii inaonyesha ubaya na uzito wa jambo linalokwenda kutendeka.Sidhani kama katika miaka ya kizazi chetu hivi karibuni kuna jambo kubwa la kiasi hiki limewahi kutokea.Sidhani kama hilo tukio la kuanguka nyota linalosemwa kwamba limeshawahi kutokea miaka ya karibuni lina-fit description ya ufunuo 8 mkuu.Hebu mkuu Ntuzu na wana jf wengine tujaribu kusoma ufunuo 8:7-12 halafu tujaribu kutafakari kwa kina hasa ukizingatia maelezo ya mwanzoni mwa sura hiyo "mbinguni kukawa kimya...uvumba na maombi ya watakatifu(maombi gani haya yaliyomsababisha Mungu kuiadhibu dunia hivi)" halafu connect dots,utagundua hili tukio ni kubwa sana, ni cataclysmic event ambayo haijatokea bado na event hii iko associated na maombi ya watakatifu,kwamba viumbe watakatifu(bila shaka malaika na binadamu) wanamlilia Mungu hadi anaamua kuitwanga dunia na ile zahma inayoelezewa kuanzia aya ya 5.Bila shaka,kitendo cha Mungu kuitwanga dunia kinaeleza ni nini watakatifu walimwomba.Bila shaka ni kukomesha dhambi na uovu uliokuwepo duniani ambao unawaumiza watakatifu hawa ama kwa kuushuhudia(malaika) au kwa baadhi yao na hasa watakatifu binadamu kuwemo katika dunia hiyo na kuathirika.Je,tumeshafika kipindi cha uovu huo?mkuu Ntuzu bila shaka wewe ni mojawapo ya hawa watakatifu,dunia imeshakuchosha kiasi hicho?kipindi cha "taabu ya Yakobo" kimeshapita au umeshakipitia?je,descriptions za hii sura zina-fit tukio lolote la hivi karibuni kweli ambalo limeshatokea?

Mkuu kwa hiyo ufunuo 8 yanayosemwa hapo bado hayajatukia!
Nakubaliana na wewe kua wakati mwingine unabii hua unatumia neno moja kwa moja na si viwakilishi! Lkn ktk hizi sura za ufunuo kumetumika maneno mengi ya viwakilishi ambayo Km tungeweza kujua maana ya hayo maneno Km majani ya kijani, Miti, Maji, nzige etc tungelahisisha kuelewa!

Kuna kitabu ntakipata hivi karibuni kinaelezea haya vizuri! Ntaleta comment zake tuchangie pamoja!
 
Mkuu kwa hiyo ufunuo 8 yanayosemwa hapo bado hayajatukia!
Nakubaliana na wewe kua wakati mwingine unabii hua unatumia neno moja kwa moja na si viwakilishi! Lkn ktk hizi sura za ufunuo kumetumika maneno mengi ya viwakilishi ambayo Km tungeweza kujua maana ya hayo maneno Km majani ya kijani, Miti, Maji, nzige etc tungelahisisha kuelewa!

Kuna kitabu ntakipata hivi karibuni kinaelezea haya vizuri! Ntaleta comment zake tuchangie pamoja!

ok,mkuu nasikitika mjadala wetu umefika pazuri lakini kuna emergence imenikuta hapa kichwa hakijatulia.Ukiona kimya usishangae mkuu,nikitulia ntarudi jukwaani.God bless u my friend.
 
ok,mkuu nasikitika mjadala wetu umefika pazuri lakini kuna emergence imenikuta hapa kichwa hakijatulia.Ukiona kimya usishangae mkuu,nikitulia ntarudi jukwaani.God bless u my friend.


Mkuu Asante!
Pole sn Mkuu!
Mungu akubariki na wewe Pia!
 
Waliowaaminisha hivyo wamewadanganya saaana,YESU ninaemjua mimi siku akirudi duniani tu,
anakuja kwa hukumu,hakuna kuoa wala kuzaa,achaneni na mafundisho ya ajabu ni heri njoo mpokee
YESU awe BWANA na Mwokozi wa maisha yako leo'

umesema kweli %100
 
ok,mkuu nasikitika mjadala wetu umefika pazuri lakini kuna emergence imenikuta hapa kichwa hakijatulia.Ukiona kimya usishangae mkuu,nikitulia ntarudi jukwaani.God bless u my friend.


Mkuu nimejaribu ku google kidogo angalau kuona mitandao inasemaje Kutokana na kile tunachojadili!

Karibu mambo yote ya ufunuo 7 na 8 yametimia bado baragumu la malaika Wa 7.
Na pia nimepeta maana ya viwakilishi vya miti na majani.
Miti ni Princes of Rome empire.
Na majani ni watu Wa kawaida.

Unajua ukisoma hiyo Revelation 8:7 hapo ktk huo mstari kuna kila aina ya watu Wa Mungu kuteswa na pia kuna kila chembechembe za Rome kuwepo hapo!

Nimekuta mpaka habari za Goths and Vandals ambao waliwatesa na kuwauwa watu Wa Mungu kwa wakati ule!

Ila nachoweza kusema haya mambo yanaweza yakajirudia. Kwa mfano mpinga kristo ni lazima aje atese na kuua watu!

Pia nimeona juu ya dhoruba ya Mwaka 68AD hii inasadikika kua ndio kubwa!
Tatizo natumia simu ningekuwekea hiyo habari yote usome na wewe rafiki Yangu!

Anyway! Ngoja nikipata kile kitabu ntaweka maelezo yake hapa tusome wote!
 
Mkuu juve2012

Kuna kitabu cha Mwandishi Arthur S Maxwell kiitwacho Revelation book unaweza ukakisoma ata kwenye net. Kinazungumzia kitabu cha ufunuo vizuri. Jaribu kukitafuta rafiki Yangu!

Thx
 
Last edited by a moderator:
Changia mjadala kwa imani yako wewe, tukianza kukosoa imani za watu hapa tutakuwa tunatoka nje ya mjadala. Labda mimi nikuulize, huyo yesu mnaemuita mungu alikuwepo miaka elfu mbili iliyopita. Kipindi hiko hakukuwa na teknolojia ta picha, je huyo tunaemuona kwenye maruninga ni yesu wawapi. Na biblia inasema ukristo ni dini ya wana Islael sasa wewe mmatumbi unayeamini katika kristo hiyo dini ni ya kwako? Na nani aliyekwambia yesu ni mungu!!!

Halikuwa lengo langu kukwambia haya, ila lengo langu ni kukukumbusha kuheshimu imani za watu km ambavyo mm naiheshimu yako.
NA wewe nikuulize kitu?? aliyekwambia mohamad ni mtume nani?? hivi kweli Mungu aishiwe watu hadi akachague mzinifu kuwa mtume wake?? tena ambaye alikua na chembechembe za utahira?
 
Endelea na Imani yako achana na za wengine, mind your own business

akili ya binadamu ikishaweza kusoma a,e,i,o,u..inatakiwa automatically iwe na uwezo wa kugundua uislam ni dini ya kishetani yenye lengo la kupunguza watu watakaotawala pamoja na Mungu milele.....zinduka, mkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa Maisha yako.,....toka huko kuliko jaa uchawi, mapepo, majini....na kila ubaya unaofahamika na mwanadam, njoo kwenye imani na amani..kwa mfalme wa amani...Bwana wa Mabwana..Mfalme wa Wafalme.Alpha na Omega.
 
akili ya binadamu ikishaweza kusoma a,e,i,o,u..inatakiwa automatically iwe na uwezo wa kugundua uislam ni dini ya kishetani yenye lengo la kupunguza watu watakaotawala pamoja na Mungu milele.....zinduka, mkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa Maisha yako.,....toka huko kuliko jaa uchawi, mapepo, majini....na kila ubaya unaofahamika na mwanadam, njoo kwenye imani na amani..kwa mfalme wa amani...Bwana wa Mabwana..Mfalme wa Wafalme.Alpha na Omega.

Umenichekesha, una maana hakuna wakristo wachawi kwa akili yako? Hujui ulitendalo pole sala.
 
Umenichekesha, una maana hakuna wakristo wachawi kwa akili yako? Hujui ulitendalo pole sala.


UHUFAHAMU UKRISTO!
LETA ANDIKO LINALOTHIBITISHA UWEPO WA MCHAWI MKRISTO!
Hakuna mchawi mkristo! ukristo sio jina ni kuwa na roho ya kristo na hauwezi kuwa mchawi halafu uwe na roho ya kristo! ukiwa mchawi lazima uwe na roho ya shetani
KAMA MTU ALIKUWA MKRISTO HALAFU AKAAMUWA KUWA MCHAWI HUYO SI MKRISTO TENA BALI NI MCHAWI!
NA KAMA MTU ALIKUWA NI MCHAWI AKAAMUWA KUWA MKRISTO LAZIMA AHACHE UCHAWI NDIPO AWE MKRISTO¡

warumi 8:9 ".........Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.

kama ulienda kwa mganga wa kienyeji au mchawi ukamkuta anaitwa Mathayo ukafikiri ni mkristo pole sana, majina haya ya Matayo, Yohana, Marko, Daudi na mengine mengi, yalikuwepo kabla ya ukristo!
 
UHUFAHAMU UKRISTO!
LETA ANDIKO LINALOTHIBITISHA UWEPO WA MCHAWI MKRISTO!
Hakuna mchawi mkristo! ukristo sio jina ni kuwa na roho ya kristo na hauwezi kuwa mchawi halafu uwe na roho ya kristo! ukiwa mchawi lazima uwe na roho ya shetani
KAMA MTU ALIKUWA MKRISTO HALAFU AKAAMUWA KUWA MCHAWI HUYO SI MKRISYO TENA BALI NI MCHAWI!
NA KAMA MTU ALIKUWA NI MCHAWI AKAAMUWA KUWA MKRISTO LAZIMA AHACHE UCHAWI NDIPO AWE MKRISTO¡

warumi 8:9 ".........Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.

kama ulienda kwa mganga wa kienyeji au mchawi ukamkuta anaitwa Mathayo ukafikiri ni mkristo pole sana, majina haya ya Matayo, Yohana, Marko, Daudi na mengine mengi, yalikuwepo kabla ya ukristo!

Kwahiyo mtu Mkristo akiwa mchawi si Mkristo tena bali ni Muislam?
 
Wakuu mmehama kwenye mada husika, mmehamia kwenye udini bila kugundua. Tujitahidi sana kuvumiliana na kuheshimiana kuhusu dini tunazoziamini.
 
wewe umesema!

Kila mtu ananena kwa Kadri ya ujinga wake, ukikua na utaielewa dunia na utaacha ujinga unaokusumbua, tunayajua Makanisa na Misikitini. Tuna wafahamu Wachungaji, Mapadre na Masheikh tunayajua na tunawajua waumini wote kwa kila kipimo.

Acha kukashifu dini na Imani za wenzako, hakuna binadamu mtimilifu bali Mungu. Sisi tuna wafahamu walokole ambao wakisali mapepo yanatetemeka na kukimbia lakini baada ya sala wanatuletea .... zao tuzishughulikie. Huo ni mfano mmoja tu! Lakini tuna wafahamu masister ambao wanakula ....... kuliko hata MaCD wa mjini. Jifunze uielewe Dunia kwanza.

Huo udini ulio nao ni kipimo cha ujinga uliona.
 
kila mtu ananena kwa kadri ya ujinga wake, ukikua na utaielewa dunia na utaacha ujinga unaokusumbua, tunayajua makanisa na misikitini. Tuna wafahamu wachungaji, mapadre na masheikh tunayajua na tunawajua waumini wote kwa kila kipimo.

Acha kukashifu dini na imani za wenzako, hakuna binadamu mtimilifu bali mungu. Sisi tuna wafahamu walokole ambao wakisali mapepo yanatetemeka na kukimbia lakini baada ya sala wanatuletea .... Zao tuzishughulikie. Huo ni mfano mmoja tu! Lakini tuna wafahamu masister ambao wanakula ....... Kuliko hata macd wa mjini. Jifunze uielewe dunia kwanza.

Huo udini ulio nao ni kipimo cha ujinga uliona.
KWELI UMENENA KWA KADRI YA UJINGA WAKO!.

SHIDA IKO WAPI?
wewe umesema, Kwahiyo mtu Mkristo akiwa mchawi si Mkristo tena bali ni Muislam?
MIMI NIKAKUJIBU wewe umesema! Sasa povu la nini?.

Kwa maelezo yako kumbe wewe ni mchawi!

Kumbe wewe ni mjinga na haujakuwa, subiri ukishakuwa ndio uje uongee!
Sasa unaongeleaje mambo usiyoyajua?

Kama huna udini nini kinachokuwasha?

Wewe ndio sio mtimilifu, mimi ni mtimilifu,

anza wewe kuacha kukashifu dini za wengine ndio uje kuniambia mimi!

Labda unawajua masheikh,
wachungaji uwajui, mapadri uwajui!
Na kama (unajua) nipe vigezo vya maandiko vya mtu kuwa padri au mchungaji.

Na hao masister unaowajua watakuwa ni dada zako acha tabia ya kutembea na dada zako, hiyo ndiyo maana ya kuwajua.

Na walokole ni akina nani?
Nipe andiko linalowatambua walokole ndani ya biblia ili tujuwe kati ya mimi na wewe ni nani mjinga!
NA MWISHO NI NINI MAANA YA UDINI? KAMA UNAJUWA?.
 
Umenichekesha, una maana hakuna wakristo wachawi kwa akili yako? Hujui ulitendalo pole sala.
Aisee we wa ajabu!!! katika yote hayo, hilo pekee ndilo lililokugusa?? duh, inaelekea unawafahamu?? hahaha, unakuwaga nao nini kwenye vikao??? achana na hayo mambo, mkiri Yesu uokolewe...
 
KWELI UMENENA KWA KADRI YA UJINGA WAKO!.

SHIDA IKO WAPI?
wewe umesema, Kwahiyo mtu Mkristo akiwa mchawi si Mkristo tena bali ni Muislam?
MIMI NIKAKUJIBU wewe umesema! Sasa povu la nini?.

Kwa maelezo yako kumbe wewe ni mchawi!

Kumbe wewe ni mjinga na haujakuwa, subiri ukishakuwa ndio uje uongee!
Sasa unaongeleaje mambo usiyoyajua?

Kama huna udini nini kinachokuwasha?

Wewe ndio sio mtimilifu, mimi ni mtimilifu,

anza wewe kuacha kukashifu dini za wengine ndio uje kuniambia mimi!

Labda unawajua masheikh,
wachungaji uwajui, mapadri uwajui!
Na kama (unajua) nipe vigezo vya maandiko vya mtu kuwa padri au mchungaji.

Na hao masister unaowajua watakuwa ni dada zako acha tabia ya kutembea na dada zako, hiyo ndiyo maana ya kuwajua.

Na walokole ni akina nani?
Nipe andiko linalowatambua walokole ndani ya biblia ili tujuwe kati ya mimi na wewe ni nani mjinga!
NA MWISHO NI NINI MAANA YA UDINI? KAMA UNAJUWA?.

We endeleza ujinga wako mpaka upevuke ndio umri wako na ndio faida ya social networking hata wapumbavu kama wewe mnaweza kuongea na kila mtu. We kwa akili yako na maelezo yako umeonyesha kuidharau na hata kuikashfu dini ya Kiislam bila sababu wakati hii thread haikuwa na lengo hilo ila kwa uwezo wako mdogo michango yako na maono yako yamekua hayo, nimejaribu kukuelimisha kuwa hayo unayoyasema hayapo katika dini yoyote iliurudi katika hoja lakini umeng'ang'nia vihoja vyako.

Asante nimekuelewa, don't Quote me again. Tafuta -------- mwenzio mbishane huo upumbavu wenu.
 
Aisee we wa ajabu!!! katika yote hayo, hilo pekee ndilo lililokugusa?? duh, inaelekea unawafahamu?? hahaha, unakuwaga nao nini kwenye vikao??? achana na hayo mambo, mkiri Yesu uokolewe...

Hujui unaloongea na hujui matumizi ya mitandao, endeleza ulimbukeni wako hapa kana kwamba hili ni jukwaa la kueneza dini ya kikristo.
 
kama wewe uendelezi ujinga na umepevuka jibu haya maswali yaliyotokana na upumbavu wako!

We endeleza ujinga wako mpaka upevuke ndio umri wako na ndio faida ya social networking hata wapumbavu kama wewe mnaweza kuongea na kila mtu. We kwa akili yako na maelezo yako umeonyesha kuidharau na hata kuikashfu dini ya Kiislam bila sababu
wakati hii thread haikuwa na lengo hilo ila kwa uwezo wako mdogo michango yako na maono yako yamekua hayo nimejaribu kukuelimisha kuwa hayo unayoyasema hayapo katika dini yoyote
iliurudi katika hoja lakini umeng'ang'nia vihoja vyako

Asante nimekuelewa, don't Quote me again. Tafuta -------- mwenzio mbishane huo upumbavu wenu.
don't Quote me again, HILI MWAMBIE MUMEO ANAWEZA KUKUSIKILIZA!

NA
MPU.MBA.VU ZAIDI YA WEWE HAYUPO!

ungekuwa umepevuka na ungekuwa si --m-pu-mba-vu, UNGEONYESHA HAPO NILIPOIKASHFU DINI YA KIISLAMU KWENYE HII MADA! na ungejibu angalau swali moja katika mengi niliyokuuliza kutokana na maoni yako ya kijinga, lakini ninachoona unazidi kujiDHAlilisha kwa kujiita
m-pu-mba-vu- mjinga mdini,

HII MADA SIYO YA KIDINI NI KITU GANI KILIKUFANYA UJIBU KWA
KUGUSA DINI YA KRISTO?

NA KAMA NI KUTOKA NJE YA MADA UMEANZA WEWE, MIMI NIMEFANYA KUKUFUATA ILI NIKUREJESHE KWENYE MADA!.

NA HUNA UWEZO WA KUNIELIMISHA MIMI TAFUTA MISIKULE WENZAKO, NA MAZUZU NA MAZEZETA NA VICHAA WENZAKO, MKAELIMISHANE NNJE YA JF HAPA HAWAPO!.

NA MASWALI YALIYOTOKANA NA UPUMBAVU WAKO NA UJINGA WAKO YAPO MBELE YAKO HAPO CHINI.
 
Back
Top Bottom