End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Waliowaaminisha hivyo wamewadanganya saaana,YESU ninaemjua mimi siku akirudi duniani tu,
anakuja kwa hukumu,hakuna kuoa wala kuzaa,achaneni na mafundisho ya ajabu ni heri njoo mpokee
YESU awe BWANA na Mwokozi wa maisha yako leo'

Atakuja kwa namna ile aliyoondoka, mguu utakapo gusa mlima utapasuka wakati akiamulia mapigano. Watakao bahatika kuwa watakatifu wakati huo watapaa nae. Hakutakuwa na ufufuo wakati huo wala hukumu.
Salaam
 
Dah.............afadhali iishe tu........wenyewe si mnaona jua la bongo....linavyochoma hadi kwenye OBLANGATA.....Tunaishi kama tuko JEHANAM.........BORAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Kuna kitabu nilisome kilizungumzia kuanguka kwa nyota toka angani, na mito kujaa damu, tafsiri yake ni kuwepo kwa vita kubwa ya mwisho ambayo muamuzi wake mkuu atakua Yesu Kristo, nyota haziwezi kuanguka duniani, kwani ukubwa wa nyota moja unaweza kua mara kumi ya sayari yetu ya dunia, hivyo tafsiri ya nyota kuanguka ni mabomu yatakayokua yakirushwa toka pande moja mpaka nyingine, kutokana na wingi wake utakua kama maanguko ya nyota, kuna kila dalili za kuelekea huko kwenye vita kuu lakini bado kufikia huko

Mkuu Asante sn!

Nafikiri swala la kuanguka kwa nyota limeshatokea! Ngoja naitafuta hiyo Habari kwenye kitabu niweke uhakika Zaidi kua lini zilianguka na wapi! Nikiipata ntaiandika!

Asante!
 
MWISHO WA DUNIA WATAJWA



WAKATI binadamu wakiendelea na mipango yao ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kimazingira, kiulinzi na usalama, utabiri mpya wa kutisha unaonesha kuwa mwaka 2032 ndiyo mwisho wa sayari hii ya tatu katika mfumo wa jua.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali katika mitandao ya internet, sayari iitwayo Nibiru, ambayo kisayansi inafahamika kama Planet X ipo njiani kuigonga dunia na hivyo kusababisha majanga mbalimbali kutokea.
ITAONEKANA ANGANI KAMA MWEZI
Kwa mujibu wa mitandao hiyo ya kisayansi, sayari hiyo ambayo inaisogelea dunia kwa kasi kubwa, itaonekana kubwa na angavu wakati wa usiku angani na kuwa katika umbo la mwezi na hivyo kufanya miezi ionekane miwili...read more at
Sijaelewa hata unamaanisha nini!!! kwamba tuwaulize hao pichani!!!!!!!?? basi chukua hii itakusadia"HAKUNA AJUAE SIKU WALA SAA MBALI NA NAFSI YA MUNGU BABA"
 
Kuna kitabu nilisome kilizungumzia kuanguka kwa nyota toka angani, na mito kujaa damu, tafsiri yake ni kuwepo kwa vita kubwa ya mwisho ambayo muamuzi wake mkuu atakua Yesu Kristo, nyota haziwezi kuanguka duniani, kwani ukubwa wa nyota moja unaweza kua mara kumi ya sayari yetu ya dunia, hivyo tafsiri ya nyota kuanguka ni mabomu yatakayokua yakirushwa toka pande moja mpaka nyingine, kutokana na wingi wake utakua kama maanguko ya nyota, kuna kila dalili za kuelekea huko kwenye vita kuu lakini bado kufikia huko

Mkuu huu unabii Wa kuanguka kwa nyota tayari umeshatokea Mwaka 1833 November 13 huko America!

Sasa hapo ndio tuangalie neno la Mungu linasema nyota zitaanguka na wewe unasema kua hicho kitabu kinasema nyota ni kubwa kuliko sayari yetu Dunia Kwahiyo kuangukia Dunia ni Ngumu! Niseme tu kwamba Km Mwenye kuamini maandiko na ayaamini na Mwenye kuamini sayansi na afanye hivyo!

Unaweza pia ukagoogle kuanguka kwa nyota, utapa history kidogo!
 
Hayo mapigo maandiko yanazungumza! Labda ungenipa hayo mafungu tena!

mkuu naomba pitia ufunuo sura ya 7 na 8 kwa ujumla(aya zote) halafu naomba maoni yako hasa sura ya 8 uniambie umeelewaje.
 
Mkuu huu unabii Wa kuanguka kwa nyota tayari umeshatokea Mwaka 1833 November 13 huko America!

Sasa hapo ndio tuangalie neno la Mungu linasema nyota zitaanguka na wewe unasema kua hicho kitabu kinasema nyota ni kubwa kuliko sayari yetu Dunia Kwahiyo kuangukia Dunia ni Ngumu! Niseme tu kwamba Km Mwenye kuamini maandiko na ayaamini na Mwenye kuamini sayansi na afanye hivyo!

Unaweza pia ukagoogle kuanguka kwa nyota, utapa history kidogo!

mkuu kam ani mfuatiliaji mzuri wa maswala ya ki dini utaelewa kwamba vitabu vya dini ni mara chache sana vimekua vikimaanisha uhalisia wa jambo katika hadithi zake, kwani unaweza kuta jambo flani likimaanisha jingine, na jambo flani kubeba picha ya jambo jingine , hivyo basi kuja na conclusion kwamba nyota zilizomaanishwa katika vitabu hivyo ndio zenyewe zitaiangukia dunia basi si sahihi, kwa mfano, nyota iliyo karibu kabisa ya dunia ipo umbali wa miaka 4.5 ya mwanga (hii ni safari ya mwanga toka ilipo hiyo nyota mpaka kufikia dunia, wewe mtazamaji wa hiyo nyota, kasi ya mwanga ni kilometa 300,000 kwa sekunde) mfano wa nyota maarufu kabisa katika galaxy yetu ni Eta Carinae, nyota hii ipo umbali wa miaka 7.5 ya mwanga toka duniani na inasemekana kwamba nyota hii ina ukubwa mara 250 zaidi ya dunia, na kwa nyota kubwa zaidi zina ukubwa mara 920 -1200 zaidi ya dunia, hivyo basi kulinganisha maandiko na uhalisia katika jambo hili si sahihi na ni kupingana na uhalisia wenyewe, haiwezekani kwa nyota yenye ukubwa mara 250 kuiangukia dunia na bado ikawepo kwa nyingine zaidi kuiangukia.

Kipindi ambacho mpewa maono alikuwepo kunaweza kua na tafsiri tofauti na nyakati za sasa, kuna uwezekano mkubwa kwamba mpewa maono aliona vitu vyenye miali mikali vikiiangukia dunia lakini akaamua kutafsiri kama nyota ili kukupa picha wewe, lakini katika uhalisia havikua nyota.

Ila kuna uwezekano mkubwa kama angekuwepo mtu toka kizazi hiki akaoneshwa tena maono hayo hayo akaja na tafsiri mpya ya hayo maono na tungekua na simulizi nyingine kwamba hizo hazikua nyota bali mabomu na yangekua ya aina gani...au kama si mabomu basi ni nini kingeipiga dunia na kuiangamiza katika hali ile..
 
Kuna kitabu nilisome kilizungumzia kuanguka kwa nyota toka angani, na mito kujaa damu, tafsiri yake ni kuwepo kwa vita kubwa ya mwisho ambayo muamuzi wake mkuu atakua Yesu Kristo, nyota haziwezi kuanguka duniani, kwani ukubwa wa nyota moja unaweza kua mara kumi ya sayari yetu ya dunia, hivyo tafsiri ya nyota kuanguka ni mabomu yatakayokua yakirushwa toka pande moja mpaka nyingine, kutokana na wingi wake utakua kama maanguko ya nyota, kuna kila dalili za kuelekea huko kwenye vita kuu lakini bado kufikia huko

Mkuu Stroke Angalia neno linavyosema!

Tena kutakua na ishara katika jua na Mwezi na nyota; na katika nchi dhiki ya mataifa wakishangaa uvumi Wa bahari na msukosuko wake. Luka 21:25 soma pia Mathayo 24:29. Marko 13:24-26 na ufunuo 6:12-17

Hayo yote yanayosemwa ktk mafungu hayo yameshatimia!

Lilianza tetemeko kubwa la ardhi hili lilitokea Lisbon Ureno Mwaka 1755

Jua kua Giza na Mwezi kua Km Damu hili nalo limeshatoke tarehe 19 may 1780

Na kuanguka kwa nyota kumeshatokea tarehe 13 November 1833.

Wale watakao tii onyo Hilo hawakuwa gizani. Marko 13:35.

Mkuu dalili nyingi kuu zimekwisha kutokea siku nyigi.
 
mkuu kam ani mfuatiliaji mzuri wa maswala ya ki dini utaelewa kwamba vitabu vya dini ni mara chache sana vimekua vikimaanisha uhalisia wa jambo katika hadithi zake, kwani unaweza kuta jambo flani likimaanisha jingine, na jambo flani kubeba picha ya jambo jingine , hivyo basi kuja na conclusion kwamba nyota zilizomaanishwa katika vitabu hivyo ndio zenyewe zitaiangukia dunia basi si sahihi, kwa mfano, nyota iliyo karibu kabisa ya dunia ipo umbali wa miaka 4.5 ya mwanga (hii ni safari ya mwanga toka ilipo hiyo nyota mpaka kufikia dunia, wewe mtazamaji wa hiyo nyota, kasi ya mwanga ni kilometa 300,000 kwa sekunde) mfano wa nyota maarufu kabisa katika galaxy yetu ni Eta Carinae, nyota hii ipo umbali wa miaka 7.5 ya mwanga toka duniani na inasemekana kwamba nyota hii ina ukubwa mara 250 zaidi ya dunia, na kwa nyota kubwa zaidi zina ukubwa mara 920 -1200 zaidi ya dunia, hivyo basi kulinganisha maandiko na uhalisia katika jambo hili si sahihi na ni kupingana na uhalisia wenyewe, haiwezekani kwa nyota yenye ukubwa mara 250 kuiangukia dunia na bado ikawepo kwa nyingine zaidi kuiangukia.

Kipindi ambacho mpewa maono alikuwepo kunaweza kua na tafsiri tofauti na nyakati za sasa, kuna uwezekano mkubwa kwamba mpewa maono aliona vitu vyenye miali mikali vikiiangukia dunia lakini akaamua kutafsiri kama nyota ili kukupa picha wewe, lakini katika uhalisia havikua nyota.

Ila kuna uwezekano mkubwa kama angekuwepo mtu toka kizazi hiki akaoneshwa tena maono hayo hayo akaja na tafsiri mpya ya hayo maono na tungekua na simulizi nyingine kwamba hizo hazikua nyota bali mabomu na yangekua ya aina gani...au kama si mabomu basi ni nini kingeipiga dunia na kuiangamiza katika hali ile..


Mkuu Stroke Nashukuru sn kwa maelezo yako mazuri!

Unajua Mimi nazungumzia haya mambo kiimani na ninakubaliana na hoja zako kua wakati mwingine ujumbe Wa Mungu ulifasiriwa kwa wakati ule!
Nashukuru sn kwa maelezo yako mazuri Mkuu!

Asante!
 
Mkuu Stroke Nashukuru sn kwa maelezo yako mazuri!

Unajua Mimi nazungumzia haya mambo kiimani na ninakubaliana na hoja zako kua wakati mwingine ujumbe Wa Mungu ulifasiriwa kwa wakati ule!
Nashukuru sn kwa maelezo yako mazuri Mkuu!

Asante!

Revelation 6: 13
The Sixth Seal: Terror
12I looked when He broke the sixth seal, and there was a great earthquake; and the sun became black as sackcloth made of hair, and the whole moon became like blood; 13and the stars of the sky fell to the earth, as a fig tree casts its unripe figs when shaken by a great wind. 14The sky was split apart like a scroll when it is rolled up, and every mountain and island were moved out of their places.…


Cross References
Isaiah 13:10
The stars of heaven and their constellations will not show their light. The rising sun will be darkened and the moon will not give its light.

Isaiah 34:4
All the stars in the sky will be dissolved and the heavens rolled up like a scroll; all the starry host will fall like withered leaves from the vine, like shriveled figs from the fig tree.

Joel 2:31
The sun will be turned to darkness and the moon to blood before the coming of the great and dreadful day of the LORD.

Nahum 3:12
All your fortresses are like fig trees with their first ripe fruit; when they are shaken, the figs fall into the mouth of the eater.

Matthew 24:29
"Immediately after the distress of those days "'the sun will be darkened, and the moon will not give its light; the stars will fall from the sky, and the heavenly bodies will be shaken.'

Mark 13:25
the stars will fall from the sky, and the heavenly bodies will be shaken.'

Revelation 8:10
The third angel sounded his trumpet, and a great star, blazing like a torch, fell from the sky on a third of the rivers and on the springs of water--
Treasury of Scripture Knowledge
And the stars of heaven fell to the earth, even as a fig tree casts her untimely figs, when she is shaken of a mighty wind.
the stars.
Revelation 8:10-12 And the third angel sounded, and there fell a great star from heaven, …
Revelation 9:1 And the fifth angel sounded, and I saw a star fall from heaven to …
Ezekiel 32:7 And when I shall put you out, I will cover the heaven, and make the …
Daniel 8:10 And it waxed great, even to the host of heaven; and it cast down …
Luke 21:25 And there shall be signs in the sun, and in the moon, and in the …
 
Dunia imekuwapo kwa zaidi ya miaka bilioni 15 hivo uwezekano wa kupuputika kwenye kipindi cha miaka mia au elfu ijayo ni mdogo mno. Dont worry be happy . Wine dine be merry. Tumbua fedha chafu baba. Nani kamwaga pombe yangu nauliza?

It is more than hizo billions of years, go and read your books properly, if it is the bible-the puzzle is on the first two phrases of Genesis 1.
 
mkuu naomba pitia ufunuo sura ya 7 na 8 kwa ujumla(aya zote) halafu naomba maoni yako hasa sura ya 8 uniambie umeelewaje.


Mkuu nimesoma hiyo 7 na 8.

Kabla sijatoa maelezo nilipenda kukuuliza swali. Kuna maneno yametajwa Km Miti na nyasi za kijani! Haya maneno yanawakilisha nini?

Hizo sura ulizonipa kuna mambo hayajatokea hao malaika 7 Wameenda mpk sura ya 9,10,11,12! Kwa Mfano malaika Wa 5 ktk ufunuo 9, anachokizungumza tayari kimeshatokea!

Kwahiyo ukichukua sura ya 7 mpk 12 kuna mambo yameshatokea na mengine bado! Na pia kitu Kikubwa hapa ni kuangalia lugha inayotumika ktk huu unabii au maandiko! Kwasababu wanazungumzwa malaika 7. Je ni kweli malaika Saba wataruka ktk nchi na kufanya hivyo?

Kwahiyo kuna mambo mengi ya kuangalia hapa ktk unabii Hasa viwakilishi vilivyotumika!

Thx!
 
Mwisho wa dunia!!!!
...
Uzushi mtupu!
Mbona vitabu vya dini vimetoa alama kuu ambazo hazijafikiwa?
...
Alama zenyewe ni:
1 kutozaliwa watoto kwa mda wa miaka kumi na tano! Watu kibao wanamimba!
...
2 kushuka kwa nabii Issa/Yesu! Mbona hajashuka?
...
3 Jua kutoka magharibi kwenda mashariki! Mbona na hiyo bado?
...
Na nyengine kibao!
...
Hatishwi mtu hapa!
 
Mkuu nimesoma hiyo 7 na 8.

Kabla sijatoa maelezo nilipenda kukuuliza swali. Kuna maneno yametajwa Km Miti na nyasi za kijani! Haya maneno yanawakilisha nini?

Hizo sura ulizonipa kuna mambo hayajatokea hao malaika 7 Wameenda mpk sura ya 9,10,11,12! Kwa Mfano malaika Wa 5 ktk ufunuo 9, anachokizungumza tayari kimeshatokea!

Kwahiyo ukichukua sura ya 7 mpk 12 kuna mambo yameshatokea na mengine bado! Na pia kitu Kikubwa hapa ni kuangalia lugha inayotumika ktk huu unabii au maandiko! Kwasababu wanazungumzwa malaika 7. Je ni kweli malaika Saba wataruka ktk nchi na kufanya hivyo?

Kwahiyo kuna mambo mengi ya kuangalia hapa ktk unabii Hasa viwakilishi vilivyotumika!

Thx!
mie nadhani hayo majani ni majani halisi.Nafahamu kuwa unabii huwa una viwakilishi lakini pia nikujuze mkuu kuwa kuna wakati unabii unasimama na literal meaning yake na pia kuna wakati unazungumza both kiuwakilishi na kiuhalisia(two fold kama unabii wa chukizo la uharibifu wenye maana halisi ya taifa la Israel kuvamiwa na Warumi na maana ya kinabii ya kanisa la Mungu kuvamiwa na roho ya mpinga kristo kwa pamoja) Kuhusu malaika,hawa ni wajumbe wa Mungu ktk hali zote,mazuri na mabaya kwa maana kwamba hata anapoleta balaa kama lile la Sodoma anatumia malaika.Hata hapa tulipo malaika wapo wanafanya kazi zao ndio maana tunaishi otherwise Hallel angekuwa katumaliza kabisa.Nadhani mkuu unafahamu kuna malaika wanailinda dunia hii dhidi ya uovu lakini hatuwaoni.Hivyo hata suala la hao wa revelation 8 ni hivyo hivyo,watu hawataona malaika,watashuhudia physical disasters toka mikononi mwa malaika hao waliotumwa na Mwenyezi Mungu kuiadhibu dunia kwa mapigo(deluge).Mtu wa kawaida hataelewa kinachoendelea lakini mwenye ufahamu wa Mungu kupitia neno lake atazisoma nyakati na kujua wale malaika wameanza kazi.
mkuu,naomba niwe specific kwenye ufunuo 8.Soma aya ya 1 hadi ya 5 uone scenario iliyotokea mbinguni baada ya muhuri ya saba kufunguliwa,kukawa kimya mbinguni..hii inaonyesha ubaya na uzito wa jambo linalokwenda kutendeka.Sidhani kama katika miaka ya kizazi chetu hivi karibuni kuna jambo kubwa la kiasi hiki limewahi kutokea.Sidhani kama hilo tukio la kuanguka nyota linalosemwa kwamba limeshawahi kutokea miaka ya karibuni lina-fit description ya ufunuo 8 mkuu.Hebu mkuu Ntuzu na wana jf wengine tujaribu kusoma ufunuo 8:7-12 halafu tujaribu kutafakari kwa kina hasa ukizingatia maelezo ya mwanzoni mwa sura hiyo "mbinguni kukawa kimya...uvumba na maombi ya watakatifu(maombi gani haya yaliyomsababisha Mungu kuiadhibu dunia hivi)" halafu connect dots,utagundua hili tukio ni kubwa sana, ni cataclysmic event ambayo haijatokea bado na event hii iko associated na maombi ya watakatifu,kwamba viumbe watakatifu(bila shaka malaika na binadamu) wanamlilia Mungu hadi anaamua kuitwanga dunia na ile zahma inayoelezewa kuanzia aya ya 5.Bila shaka,kitendo cha Mungu kuitwanga dunia kinaeleza ni nini watakatifu walimwomba.Bila shaka ni kukomesha dhambi na uovu uliokuwepo duniani ambao unawaumiza watakatifu hawa ama kwa kuushuhudia(malaika) au kwa baadhi yao na hasa watakatifu binadamu kuwemo katika dunia hiyo na kuathirika.Je,tumeshafika kipindi cha uovu huo?mkuu Ntuzu bila shaka wewe ni mojawapo ya hawa watakatifu,dunia imeshakuchosha kiasi hicho?kipindi cha "taabu ya Yakobo" kimeshapita au umeshakipitia?je,descriptions za hii sura zina-fit tukio lolote la hivi karibuni kweli ambalo limeshatokea?
 
Back
Top Bottom