End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Tatizo haufanyi utafiti mkuuu hata nikikuuliza ni lini wanasayansi walisema hicho unachokisema hauwezi kuniambia, na hii hapa wala si mpya kama anavosema kanjanja wa shigongo! Hiyo Mathayo 16:27-28 nimeisoma, huo mstari wa 28 umeuelewa vizuri:"Truly I tell you, some who are standing here will not taste death before they see the Son of Man coming in his kingdom", generation ngapi zimepita hata sasa unangoja?

Na vile vile nikukumbushe mkuu, Biblia inapoongelea mauti ni ile mtu kufa kimwili akiwa dhambini. Ndio maana Yesu anasema mtu akimwamini yeye hatakufa bali atakua na uzima wa milele. Ndio maana licha ya kwamba unamwamini au haumwamini Yesu, miili yetu inafikia ukomo wake hapa duniani lakini kwa wale wanaomwamini, wanatumaini la kuishi Milele baada ya maisha ya hapa duniani.

Kwa hao wanafunzi ambao Yesu alikua nao, kama wangedumu katika imani hadi mwisho, wangekua na tumaini la uzima wa milele (Wasingekufa)

Yohana 3:36
Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.

Sitaki kutoka sana kwenye maada, sorry kwa kukuzonga na mambo mengi
 
Mkuu Ukisoma hiyo Mathayo kuanzia mstari Wa 24 mpk huo Wa 28 utaelewa Yesu anasema nini!

Unajua hapo Yesu anazungumzia ujio wake Wa Mara ya pili! Na hapo anazungumzia wale watakaokutwa hai wakiwa ktk haki hawatokufa!

Soma 1 Thess 4:16,17 utapata picha Zaidi!

Kwani mimi naongelea ujio upi Mkuu? Wakati anaongea nao si keshakuja kwa mara ya kwanza, sasa unafikiri alikuwa anarefer ujio gani tofauti na wa mara ya pili? Huenda labda lugha tofauti kitogo, Mathayo 16:28 "Kweli lnawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona mwana wa mtu akija katika ufalme wake" kwa maana angerejea mapema kabla wengine hawajafa! Wasethalonike 4: 16-17 inazungumzia jinsi itavyokuwa ataporejea, na si lini atarejea.
 
Kwani mimi naongelea ujio upi Mkuu? Wakati anaongea nao si keshakuja kwa mara ya kwanza, sasa unafikiri alikuwa anarefer ujio gani tofauti na wa mara ya pili? Huenda labda lugha tofauti kitogo, Mathayo 16:28 "Kweli lnawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona mwana wa mtu akija katika ufalme wake" kwa maana angerejea mapema kabla wengine hawajafa! Wasethalonike 4: 16-17 inazungumzia jinsi itavyokuwa ataporejea, na si lini atarejea.

Mkuu tatizo sio lugha! Nimeshaliweka Hilo fungu la Thess Jaribu kulinganisha na hicho Yesu alichokua anasema ktk Hilo fungu la Mathayo 16:28.
 
Na vile vile nikukumbushe mkuu, Biblia inapoongelea mauti ni ile mtu kufa kimwili akiwa dhambini. Ndio maana Yesu anasema mtu akimwamini yeye hatakufa bali atakua na uzima wa milele. Ndio maana licha ya kwamba unamwamini au haumwamini Yesu, miili yetu inafikia ukomo wake hapa duniani lakini kwa wale wanaomwamini, wanatumaini la kuishi Milele baada ya maisha ya hapa duniani.

Kwa hao wanafunzi ambao Yesu alikua nao, kama wangedumu katika imani hadi mwisho, wangekua na tumaini la uzima wa milele (Wasingekufa)

Yohana 3:36
Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.

Sitaki kutoka sana kwenye maada, sorry kwa kukuzonga na mambo mengi

Sina tatizo na hayo yote, Mkuu naona unau-ignore huo mstari uko plain sana Mkuu, "...hawatakufa kabla.." kwa maana ya kifo cha kawaida kama alichokufa yesu.
 
Sina tatizo na hayo yote, Mkuu naona unau-ignore huo mstari uko plain sana Mkuu, "...hawatakufa kabla.." kwa maana ya kifo cha kawaida kama alichokufa yesu.

Mkuu nilikua naelezea mantiki ya kifo. Pia hii hoja nimekujibu kuna uzi uko hapo juu, hapa nilikua naongezea tu. Thanks
 
Mkuu nilikua naelezea mantiki ya kifo. Pia hii hoja nimekujibu kuna uzi uko hapo juu, hapa nilikua naongezea tu. Thanks

Kwangu mtandao ulikata mkuu nilikuwa sijaiona, ndiyo naipitia sasa hivi.
 
mkuu huwa unapitia ufunuo wa Yohana?


Yap! Labda ungenipa hilo fungu nikalisoma!

Maana Daniel ktk ile sanamu ya Nebuchandnezeer inasema hivyo lkn Ukisoma Mathayo 24 utamjua Yesu akizungumzia namna atakavyokuja!
 
Yap! Labda ungenipa hilo fungu nikalisoma!

Maana Daniel ktk ile sanamu ya Nebuchandnezeer inasema hivyo lkn Ukisoma Mathayo 24 utamjua Yesu akizungumzia namna atakavyokuja!

Mkuu soma vizuri Mathayo 24:15 inazungumzia Unabii wa Daniel....
 
Hizi habari tushazikia toka 1949, 1968, 1971, 1980, 1999 na ile ya Kibwetele aliyewakusanya waumini wake( nimesahau mwaka) na kuwapiga kibiriti kanisani kwake. Stori hizi ni nyingi sana lkn ninachofahamu mwisho wa dunia ni SIRI YA MUNGU tu! Wengine kama huyu mwenye uzi na wengineo ni waleta burudani ndani ya Jf.
 
It's only God who knows the end of the world therein,planet x shall simply cause havoc on earth but not to bring the world to an end.
 
Uko sahihi Mkuu wangu. Na ni kweli hata yesu hakupata kusema muda kwa hakika, lakini alirejea kipindi fulani, ambacho nacho kilipita bila ujio wake! "Amin nawaambia, Kizazi hiki (hao aliokuwa akihutubia)hakitapita hata hayo yote yatapotimia (Matayo: 24, 34), Tamko hilo lilirejewa mara kadhaa (Marko 13: 26-30, Luka 21:...), vizazi na vizazi vimepita hata sasa!

Jamani ieleweke wazi kuwa Yesu aliulizwa maswali matatu tofauti!
1. mambo haya yatakuwa lini?
Hapa ni habari ya kubomolewa hekaru! lilishabomolewa mnaofuatilia historia mnalijuwa hili!

2. Nayo ni nini dalili ya kuja kwako?
Amezitaja dalili hizo soma bible!

3. Na dalili ya mwisho wa dunia?
Vilevile alizitaja dalili hizo!

tatizo wengi wanachanganya maswali yote matatu linakuwa moja! matokeo yake unalalama oooh mbona vizazi vimepita vingi! Kwa taarifa yako hekalu lilibomolewa kama yesu alivyosema na halikubaki jiwe juu yajiwe!
Amina!
 
Jamani ieleweke wazi kuwa Yesu aliulizwa maswali matatu tofauti!
1. mambo haya yatakuwa lini?
Hapa ni habari ya kubomolewa hekaru! lilishabomolewa mnaofuatilia historia mnalijuwa hili!

2. Nayo ni nini dalili ya kuja kwako?
Amezitaja dalili hizo soma bible!

3. Na dalili ya mwisho wa dunia?
Vilevile alizitaja dalili hizo!

tatizo wengi wanachanganya maswali yote matatu linakuwa moja! matokeo yake unalalama oooh mbona vizazi vimepita vingi! Kwa taarifa yako hekalu lilibomolewa kama yesu alivyosema na halikubaki jiwe juu yajiwe!
Amina!

Hakuna mtu anayelalama Mkuu, wote tunajifunza hapa! Kwa hiyo anaposema, "before they saw the son of man coming in his kingdom" allikuwa anamaanisha ujio upi?
 
Back
Top Bottom