End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Kwa nini unasema HAUPO wakati kuna billions of moving bodies out there, na kuna evidence kwamba kuna unearthly bodies zilizowahi kuigonga dunia na kusababisha maafa makubwa, achilia mbali miripuko ya hatari which wiped out entire civilization! Anything can happen at any time, its just hard to predict exactly when!

Mkuu tatizo ni kwamba tunalijadili suala hili katika mitazamo miwili tofauti, mimi nipo na ntaendelea kuwa kibiblia zaidi hususan kuhusu mambo ya mwisho wa dunia kwa sababu hadi sasa hivi, angalau Biblia imetoa maelezo ya wapi tumetoka, wapi tupo na tunaelekea wapi.

Wewe unaliangalia hili suala kisayansi ambalo ni jambo zuri. Nadhani utanielewa kwamba tatizo ni mitazamo, na kwa maana hiyo Biblia haijawahi kuuelezea mwisho wa dunia kuwa utatokea kwa kugongwa na kitu. Japo kitabu cha Daniel kwenye Biblia kimeongelea ndoto ya sanamu ya mfalme Nebukadreza kwamba iliharibiwa na jiwe ambalo halikufanywa kwa kazi za mikono.
Ameongelea tafsiri ya hilo jiwe kuwa ni ufalme wa Yesu Kristo utakaokuja kuharibu na kukomesha utawala wa sasa, na hapo ndio utakua mwanzo wa ufalme usio na mwisho wa milele na milele.


Daniel 2:34

"..Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.."

Tafsiri

Daniel 2:44-45

"..Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.."

Mara nyingi wana sayansi wamesema kuna kitu kitagonga dunia, lakini sio mara zote imetokea. Ndio maana nasema hata hii habari ya wanasayansi sio ya kuaminika 100%


 
Wanao tabiri mwisho wa Dunia wote ni wapinzani wa Mungu. ushauli wangu. ki Dunia: ishi kamakwamba Yesu atarudi baada ya miaka 1,000. ki Roho ishi kamakwamba Yesu anarudi na atafika baada ya saa moja ijayo

yule jamaa aliyeandika Ufunuo wa Yohana ni mpinzani wa Mungu!?
Kama ni hivyo kitabu kile hakikustahili kuwa sehemu ya Biblia.
 
Wanao tabiri mwisho wa Dunia wote ni wapinzani wa Mungu. ushauli wangu. ki Dunia: ishi kamakwamba Yesu atarudi baada ya miaka 1,000. ki Roho ishi kamakwamba Yesu anarudi na atafika baada ya saa moja ijayo

Atarudi baada ya 1000 mbona tuko 2014?
 
Kiwango cha hewa ya ukaa tunayotengeneza kinaweza kuleta kipindi cha barafu ndani ya miaka 150 ijayo.

Dunia imekuwapo kwa zaidi ya miaka bilioni 15 hivo uwezekano wa kupuputika kwenye kipindi cha miaka mia au elfu ijayo ni mdogo mno. Dont worry be happy . Wine dine be merry. Tumbua fedha chafu baba. Nani kamwaga pombe yangu nauliza?
 
Mkuu tatizo ni kwamba tunalijadili suala hili katika mitazamo miwili tofauti, mimi nipo na ntaendelea kuwa kibiblia zaidi hususan kuhusu mambo ya mwisho wa dunia kwa sababu hadi sasa hivi, angalau Biblia imetoa maelezo ya wapi tumetoka, wapi tupo na tunaelekea wapi.

Wewe unaliangalia hili suala kisayansi ambalo ni jambo zuri. Nadhani utanielewa kwamba tatizo ni mitazamo, na kwa maana hiyo Biblia haijawahi kuuelezea mwisho wa dunia kuwa utatokea kwa kugongwa na kitu. Japo kitabu cha Daniel kwenye Biblia kimeongelea ndoto ya sanamu ya mfalme Nebukadreza kwamba iliharibiwa na jiwe ambalo halikufanywa kwa kazi za mikono.
Ameongelea tafsiri ya hilo jiwe kuwa ni ufalme wa Yesu Kristo utakaokuja kuharibu na kukomesha utawala wa sasa, na hapo ndio utakua mwanzo wa ufalme usio na mwisho wa milele na milele.


Daniel 2:34

"..Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.."

Tafsiri

Daniel 2:44-45

"..Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.."

Mara nyingi wana sayansi wamesema kuna kitu kitagonga dunia, lakini sio mara zote imetokea. Ndio maana nasema hata hii habari ya wanasayansi sio ya kuaminika 100%



Mkuu siku zote wanasayansi hutoa mambo Yao ambayo tayari ktk maandiko yamo! Kwa Hii Habari ni kwamba wanajaribu kulinganisha neno la Mungu na mambo Yao!
Mfano hiyo Daniel inazungumza kua ni jiwe ambalo lilikuja kuipiga ile sanamu na ikasagika vibaya na lile jiwe likawa Mwamba mkubwa! Hapa maana yake ni tawala zilizopo duniani zote zitavunjwa na kuweka utawala Wa Mungu ambalo ndio Hilo Jiwe kua Mwamba!

Sasa Hawa wanasayansi wanatuambia Sayari itakuja kuigonga Dunia na kuisababishia Dunia shida kubwa! Hizi Habari zao zimekuweko siku nyingi na hayatokei! Mi Niseme tu Hawa wanasayansi ktk mambo Yao siku hizi wameanza kuona Giza!
 
Watu wanazaliwa na wengine ufa kupisha wanaozaliwa nyie karaga baho
 
Atarudi baada ya 1000 mbona tuko 2014?



Jaribu kumuelewa alichosema! Yani Ukitaka kuishi kidunia uishi Km Yesu atarudi baada ya miaka 1000 Na ukiishi kiroho ni Km Yesu anakuja baada ya saa moja!

Umeelewa hapo?
 
Mkuu tatizo ni kwamba tunalijadili suala hili katika mitazamo miwili tofauti, mimi nipo na ntaendelea kuwa kibiblia zaidi hususan kuhusu mambo ya mwisho wa dunia kwa sababu hadi sasa hivi, angalau Biblia imetoa maelezo ya wapi tumetoka, wapi tupo na tunaelekea wapi.

Wewe unaliangalia hili suala kisayansi ambalo ni jambo zuri. Nadhani utanielewa kwamba tatizo ni mitazamo, na kwa maana hiyo Biblia haijawahi kuuelezea mwisho wa dunia kuwa utatokea kwa kugongwa na kitu. Japo kitabu cha Daniel kwenye Biblia kimeongelea ndoto ya sanamu ya mfalme Nebukadreza kwamba iliharibiwa na jiwe ambalo halikufanywa kwa kazi za mikono.
Ameongelea tafsiri ya hilo jiwe kuwa ni ufalme wa Yesu Kristo utakaokuja kuharibu na kukomesha utawala wa sasa, na hapo ndio utakua mwanzo wa ufalme usio na mwisho wa milele na milele.


Daniel 2:34

"..Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.."

Tafsiri

Daniel 2:44-45

"..Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.."

Mara nyingi wana sayansi wamesema
kuna kitu kitagonga dunia, lakini sio mara zote imetokea. Ndio maana nasema hata hii habari ya wanasayansi sio ya kuaminika 100%



Uko sahihi mkuu, mimi nilijadili kisayansi kwa sababu mada ililetwa kisayansi, hata hivyo hapo kwenye nyekundu si kweli mkuu, sidhani kama kuna siku wana sayansi walisema kuwa KUNA KITU KITAGONGA DUNIA, mara zote wanakuwa waangalifu sana na maneno hayo wanatumia "KUNA UWEZEKANO". Lakini hata Yesu mwenyewe alitabiri mwisho ambao haukutokea (Matthew 16: 27-28).
 
Mkuu siku zote wanasayansi hutoa mambo Yao ambayo tayari ktk maandiko yamo! Kwa Hii Habari ni kwamba wanajaribu kulinganisha neno la Mungu na mambo Yao!
Mfano hiyo Daniel inazungumza kua ni jiwe ambalo lilikuja kuipiga ile sanamu na ikasagika vibaya na lile jiwe likawa Mwamba mkubwa! Hapa maana yake ni tawala zilizopo duniani zote zitavunjwa na kuweka utawala Wa Mungu ambalo ndio Hilo Jiwe kua Mwamba!

Sasa Hawa wanasayansi wanatuambia Sayari itakuja kuigonga Dunia na kuisababishia Dunia shida kubwa! Hizi Habari zao zimekuweko siku nyingi na hayatokei! Mi Niseme tu Hawa wanasayansi ktk mambo Yao siku hizi wameanza kuona Giza!

Usipotoshe mambo, wana sayansi hawakurupuki, wanaangalia kinachoendelea angani, na kwa evidence ya yaliyowahi kutokea wanafahamu yanaweza kutokea tena kwa extent tofauti, kubwa zaidi au ndogo zaidi!
 
Back
Top Bottom