End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Dunia hii kufikia mwisho bado tuna miaka zaidi ya elfu moja mbele. achana na hao manabii wa uongo hawaelewi kitu.
 
Dunia imekuwapo kwa zaidi ya miaka bilioni 15 hivo uwezekano wa kupuputika kwenye kipindi cha miaka mia au elfu ijayo ni mdogo mno. Dont worry be happy . Wine dine be merry. Tumbua fedha chafu baba. Nani kamwaga pombe yangu nauliza?
 
Kwanini isingekuwa kesho????? 2032 mi naona ni mbali sana.

Ila kuna huu usemi ya kwamba HAKUNA AJUAYE SIKU WALA SAA AJAE MWANA WA ADAMU ULIMWENGUNI iliyopo ni kukesha na kuomba tu!
 
Kwa waislam tumeaminishwa kuwa, dalili za kwisha kwa dunia ni pamija na kurudi kwa Nabii Issa aleyhi salaam, au Yesu/Jesus. Atakaporudi duniani ataishi kwa takriban miaka 45. Ataoa na atazaa watoto halafu atakufa kama binadamu wengine. Sasa kwa mujibu wa dini yetu nikianza kuhesabu kuanzia sasa mpaka 2032 ni takriban miaka 14 na nne tu imesalia. Labda viongozi wa dini watuambie je, Nabii Issa alisharudi tayari na je yupo nchi gani? Na je alishaoa na ana watoto wangapi mpaka sasa.

Vinginevyo tutasubiri sana!!
 
The idea that a planet-sized object will collide with or pass by Earth in the near future is not supported by any scientific evidence and has been rejected as pseudoscience by astronomers and planetary scientists.[SUP][1][/SUP]
 
Hakuna mtu anajua ni lini,ila vita ya tatu obvious inajulikana inakuja ambayo itakuwa zaidi ya kimondo kwa mtazamo,nuclear zinazokuwa inventd daily ni kwa lengo hilo kupunguza watu mana wengi bado hawajajitambua kuna nini katika mfumo wa dunia afu watabaki wachache wenye hofu nyingi ndipo atakuja djal au lucifer mwenye jicho moja kama alama ya LG Atasema ye ndo mungu ni hii yote ni basi shetani anakamilisha ahadi ila sisi 2mepewa AKILI
 
Kwa waislam tumeaminishwa kuwa, dalili za kwisha kwa dunia ni pamija na kurudi kwa Nabii Issa aleyhi salaam, au Yesu/Jesus. Atakaporudi duniani ataishi kwa takriban miaka 45. Ataoa na atazaa watoto halafu atakufa kama binadamu wengine. Sasa kwa mujibu wa dini yetu nikianza kuhesabu kuanzia sasa mpaka 2032 ni takriban miaka 14 na nne tu imesalia. Labda viongozi wa dini watuambie je, Nabii Issa alisharudi tayari na je yupo nchi gani? Na je alishaoa na ana watoto wangapi mpaka sasa.

Vinginevyo tutasubiri sana!!

YESU ataoa? haahahaha, nyie kweli mmeishiwa!!!! yani mnawaza ngono tu...ndo mana mnaaminishwa kuwa kule peponi kutakuwa na vigoli (visichana vizuri) kibao!!!
 
20 He which testifies these things said, Surely I come quickly. Amen. Even so, come, Lord Jesus.
21 The grace of our Lord Jesus Christ be with you all. Amen.
 
Nawapenda sana NASA...wanajua kurusha wajinga roho,na bila shaka ndo hao waliotoa huo utabiri,safi sana NASA
 
Wewe naye hovyoooo. Sijui watu wengine mkoje kila siku join date ili? wewe changia alicholeta hutaki tambaa.
Usione mtu kajiunga karibuni ukamuona kuwa ndio mgeni. Mfano mimi baada ya kupoteza password imenibidi nikae kwanza nije nijiunge tena kwa jina lingine.

Mwanzo nilikuwepo toka 2011. Nikajiunga tena mwaka huu sasa muache hizo tabia na kujifanya JF ina wenyewe. Nyie wenye tabia hizo mnaboa.

thanx kwa kumueleza
 
Yaan ww ni mbulula kbs wa mambulula mwisho wako ni pumz ukifa ndo mwisho wako ww, dunia iko na itaendaelea kuwe. Kumbuka ukijua duni itaondoka ikiwa ya mwisho kbs
 
Kwa waislam tumeaminishwa kuwa, dalili za kwisha kwa dunia ni pamija na kurudi kwa Nabii Issa aleyhi salaam, au Yesu/Jesus. Atakaporudi duniani ataishi kwa takriban miaka 45. Ataoa na atazaa watoto halafu atakufa kama binadamu wengine. Sasa kwa mujibu wa dini yetu nikianza kuhesabu kuanzia sasa mpaka 2032 ni takriban miaka 14 na nne tu imesalia. Labda viongozi wa dini watuambie je, Nabii Issa alisharudi tayari na je yupo nchi gani? Na je alishaoa na ana watoto wangapi mpaka sasa.

Vinginevyo tutasubiri sana!!
waislamu wanaamini hili???
 
Wanaotabiri mwisho wa dunia ni wanasayansi ambao hawajui asili yao. Huyo na kakobe na huyo kadinali hawana jipya nao. Dunia itafika mwisho lakini siyo kama utabiri huo unavyodai. Waongo watupu.
 
YESU ataoa? haahahaha, nyie kweli mmeishiwa!!!! yani mnawaza ngono tu...ndo mana mnaaminishwa kuwa kule peponi kutakuwa na vigoli (visichana vizuri) kibao!!!

Changia mjadala kwa imani yako wewe, tukianza kukosoa imani za watu hapa tutakuwa tunatoka nje ya mjadala. Labda mimi nikuulize, huyo yesu mnaemuita mungu alikuwepo miaka elfu mbili iliyopita. Kipindi hiko hakukuwa na teknolojia ta picha, je huyo tunaemuona kwenye maruninga ni yesu wawapi. Na biblia inasema ukristo ni dini ya wana Islael sasa wewe mmatumbi unayeamini katika kristo hiyo dini ni ya kwako? Na nani aliyekwambia yesu ni mungu!!!

Halikuwa lengo langu kukwambia haya, ila lengo langu ni kukukumbusha kuheshimu imani za watu km ambavyo mm naiheshimu yako.
 
"..Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.."

Marko 13:32-33
 
Back
Top Bottom