End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Umenichekesha, una maana hakuna wakristo wachawi kwa akili yako? Hujui ulitendalo pole sala.


KITU GANI KINAKUCHEKESHA KAMA SIO UDINI?

HII MADA SIYO YA KIDINI NI KITU GANI KIMEKUFANYA UJIBU KWA KUGUSA IMANI YA KIKRISTO?

UHUFAHAMU UKRISTO!
LETA ANDIKO LINALOTHIBITISHA UWEPO WA MCHAWI MKRISTO!

Hakuna mchawi mkristo! ukristo sio jina ni kuwa na roho ya kristo na hauwezi kuwa mchawi halafu uwe na roho ya kristo! ukiwa mchawi lazima uwe na roho ya shetani
KAMA MTU ALIKUWA MKRISTO HALAFU AKAAMUWA KUWA MCHAWI HUYO SI MKRISTO TENA BALI NI MCHAWI!
NA KAMA MTU ALIKUWA NI MCHAWI AKAAMUWA KUWA MKRISTO LAZIMA AHACHE UCHAWI NDIPO AWE MKRISTO¡

warumi 8:9 ".........Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.

kama ulienda kwa mganga wa kienyeji au mchawi ukamkuta anaitwa Mathayo ukafikiri ni mkristo pole sana, majina haya ya Matayo, Yohana, Marko, Daudi na mengine mengi, yalikuwepo kabla ya ukristo!

USIKIMBIE ULICHOANZISHA RUDI HAPA ULIPOANZISHIA UDINI

halafu unionyeshe nilipotaja dini tofauti na ukiristo kwenye haya maono yangu!
 
ujajibu maswali yaliyotokana na ujinga wako unakimbilia wapi?
Kila mtu ananena kwa Kadri ya ujinga wake, ukikua na utaielewa dunia na utaacha ujinga unaokusumbua, tunayajua Makanisa na Misikitini. Tuna wafahamu Wachungaji, Mapadre na Masheikh tunayajua na tunawajua waumini wote kwa kila kipimo.

Acha kukashifu dini na Imani za wenzako, hakuna binadamu mtimilifu bali Mungu. Sisi tuna wafahamu walokole ambao wakisali mapepo yanatetemeka na kukimbia lakini baada ya sala wanatuletea .... zao tuzishughulikie. Huo ni mfano mmoja tu! Lakini tuna wafahamu masister ambao wanakula ....... kuliko hata MaCD wa mjini. Jifunze uielewe Dunia kwanza.

Huo udini ulio nao ni kipimo cha ujinga uliona.

KWELI UMENENA KWA KADRI YA UJINGA WAKO!.

SHIDA IKO WAPI?
wewe umesema, Kwahiyo mtu Mkristo akiwa mchawi si Mkristo tena bali ni Muislam?
MIMI NIKAKUJIBU wewe umesema! Sasa povu la nini?.

Kwa maelezo yako kumbe wewe ni mchawi!

Kumbe wewe ni mjinga na haujakuwa, subiri ukishakuwa ndio uje uongee!
Sasa unaongeleaje mambo usiyoyajua?

Kama huna udini nini kinachokuwasha?

Wewe ndio sio mtimilifu, mimi ni mtimilifu,

anza wewe kuacha kukashifu dini za wengine ndio uje kuniambia mimi!

Labda unawajua masheikh,
wachungaji uwajui, mapadri uwajui!
Na kama (unajua) nipe vigezo vya maandiko vya mtu kuwa padri au mchungaji.

Na hao masister unaowajua watakuwa ni dada zako acha tabia ya kutembea na dada zako, hiyo ndiyo maana ya kuwajua.

Na walokole ni akina nani?
Nipe andiko linalowatambua walokole ndani ya biblia ili tujuwe kati ya mimi na wewe ni nani mjinga!
NA MWISHO NI NINI MAANA YA UDINI? KAMA UNAJUWA?.
 
Leo ktk radio moja kulikuwa kuna mdada mmoja anatangaza ya kuwa mtu yeyote atakae MTONGOZA anaenda kumshitaki na anawahamasisha wanawake wengine ktk Tanzania wasikubali kutongozwa,Je hii ni sawa ?
 
DU cjui bange?ikisha kichwn basi utufafanulie hyo binti n nani?na ilikuwa radio gan?na anafanyakaz gan?n hayo tu
 
Sasa huo ndo mwisho wa dunia? We chalii niaje sijui, yaani sista kubania tundu ndo useme mwisho wa dunia?
 
Daah?! Kwa hiyo mkuu wewe usipoimbisha ndio mwisho wa dunia?!!
 
Kuna mwanamama mmoja mmojawapo wa watawa wa mwanzoni kabisa wa shirika la benedictine,anaitwa Hildegard(st Hildegard) alikuwa mtu wa maono na aliheshimika sana enzi hizo hata leo ndani ya kanisa katoliki.Aliwahi kutoa unabii kuhusu siku za mwisho akisema,"Upepo mkali utavuma tokea kaskazini ukibeba ukungu na vumbi zito kwa amri ya Mwenyezi Mungu na utawajaza makoo yao na macho yao hadi waache uovu wao na kuwa na hofu kubwa.Kabla ya kimondo kuja,mataifa mengi,ukiacha yale yenye watu wema,yatapatwa na njaa na uhitaji mkubwa.Taifa kubwa lililo baharini linalokaliwa na watu wa kabila na aina tofauti,litaangamia kwa matetemeko,vimbunga na mafuriko.Litagawanyika kwa sehemu kubwa.Kimondo,kutokana na nguvu yake kubwa,kitafumua maji ya bahari na kuleta mafuriko kwenye nchi nyingi,na kusababisha njaa,uhitaji na magonjwa mengi.Miji yote ya pwani itajaa hofu na mingi itaangamia kwa mafuriko,viumbe wengi wataangamia na hata wale watakaofanikiwa kukimbia watakufa kwa ugonjwa mbaya.Kwa sababu hakuna hata mtu mmoja katika miji hiyo,atakayekuwa anampendeza Mungu."
 
Pia kuna mama mwingine anayeheshimika sana duniani kwa vitabu vyake hususan wasabato,anaitwa Ellen G White.Katika kitabu chake cha Matukio ya siku za mwisho anasema,"Asubuhi ya ijumaa iliyopita,mara tu kabla sijaamka,mandhari ya kuvutia iliwasilishwa kwangu.Nilionekana kuamka kutoka usingizini lakini haikuwa nyumbani kwangu.Kutoka madirishani niliweza kuona moto mkubwa wa kutisha.Mabonge makubwa ya moto yalikuwa yanaanguka juu ya nyumba na kutoka katika mabonge haya mishale ya moto ilikuwa inaruka kuelekea kila upande.Ilikuwa haiwezekani kudhibiti mioto iliyokuwa imewashwa na mahali pengi palikuwa panaangamia.Hofu ya watu ilikuwa isiyoelezeka.Niliona bonge kubwa la moto likianguka miongoni mwa majumba mazuri"..katika uk 22 anasema.."Bwana ataondoka na kuitikisa mno dunia.Tutaona taabu pande zote.Maelfu ya meli zitatoswa katika vilindi vya bahari.Manowari zitazama na maisha ya mamilioni ya watu yatatolewa kafara.Mioto italipuka pasipo kutegemea na hakuna juhudi za kibinadamu zitakazoweza kuizima.Ikulu za kidunia zitafagiliwa mbali katika ghadhabu za moto..kutakuwa na tauni,maradhi na njaa.Vilindi vya maji vitavuka mipaka yake.Mali na maisha vitateketea kwa moto na mafuriko.Katika uk wa 24 anasema "Uso wa dunia utapasuliwa kwa milipuko ya vitu vya asili vilivyofichwa chini kabisa ya dunia".
 
Kiu kweli ndugu zangu wapendwa tupo katika kipindi cha mwisho wa Dunia hakika Dunia Itaharibiwa vibaya,hakika yesu kristo yuaja tujiandae wapendwa!!
 
Ni vema ukawakumbusha ma ccm yaache kuuwa kabla mwisho wa dunia.
 
Back
Top Bottom