End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy


in the Bible the book of Revelation???!!!......which chapter or verse number.....The bible only narates indication, not an exact date.....hiyo tarehe 21/12/2012 is based on Mayan pagan belief....and the current times is based on gregorian calendar....did the mayans counted times based on present day gregorian calendar?
 
ebu uza kile kipima joto chako na lile wigi la pink tukajenge heshima bar manake mwisho wa dunia u karibu..

hahahahah lolz
hapana hili wingi langu naenda nalo popote..

We piga bei huo mkomkoteni basi tukanywe wanzuki hahah lol
 
Nostradamus was a charlatan, the Mayans are overrated.

Mwisho wa dunia unaweza kuwa hata leo watu fulani wakiamua, hilo ndilo la kuogofya zaidi.
 
ni uze mali zangu halafu nikupe unitunzie ???? haueleweki mkuu
Usichokielewa nini sasa? Wewe unaogopa sasa mie nakupa njia ya ku manage risk ya kutokuwa na kitu in case haitatokea siku hiyo kuwa mwisho wa dunia. Unakuja tu kwangu ku claim back mali zako the following day.

Uza uniletee.
 
hahahahah lolz
hapana hili wingi langu naenda nalo popote..

We piga bei huo mkomkoteni basi tukanywe wanzuki hahah lol

hahahah mkokoten ulienda na mafuriko yani kitu cha thamani nilichonacho sahizi ni hili tabasam langu tu...
 
Nostradamus was a charlatan, the Mayans are overrated.

Mwisho wa dunia unaweza kuwa hata leo watu fulani wakiamua, hilo ndilo la kuogofya zaidi.
Nimeangalia documentary moja majuzikati jamaa alizachanga karata zake vizuri akala early retirement nono kabisa ya bure kwa kumdanganya malkia. Na ile documentary ilikuwa ya zamani kidogo na mijitu mingine mifanatic tena ina PhD ilikuwa ikimsapoti eti alitabiri 9/11. Wataalam wakasasambua wakaona predictions zake ziko loose na zina fit many scenarios na events and can not be taken seriously, Nostradamus ni kielelezo cha mayahudi waliojanjaruka na bado wanaingiza watu kingi hadi leo.
 
Usichokielewa nini sasa? Wewe unaogopa sasa mie nakupa njia ya ku manage risk ya kutokuwa na kitu in case haitatokea siku hiyo kuwa mwisho wa dunia. Unakuja tu kwangu ku claim back mali zako the following day.

Uza uniletee.

Nani alikwambia naoogopa?
 
hahahah mkokoten ulienda na mafuriko yani kitu cha thamani nilichonacho sahizi ni hili tabasam langu tu...
hahahahahaha hakikisha unafanya uwezalo ku tunza hiyo reception.. maana ukiharibika tu dahhhh ni kulala njaa..
 
GQ...there's something abt 2012...ila sidhani its to do with mwisho wa dunia as such ila nadhani kuna wanaotaka ifahamike hivyo. Ninachojua ni kuwa, hizi secret societies wana code zao i.e. 5, 9, 13 etc..Sasa hii 13 inaonekana ni maalum hivi ndio maana hakuna floor ya 13 in high-rise buildings au hata kwenye elevators etc. Hivyo basi 2012 unakuwa kama ndio mwaka unaoandaa kuingia hiyo 2013..ambayo inaspecial code yao..So inawezekana kuna mavitu hawa jamaa wamepanga vitokee ili kuukaribisha 2013...dont know but I am thinking so.
Whatever happens, jamani God is in control. Hayo ni mawazo yangu GQ, tuwe tayari wakati wowote.
 

Kwa hili wamechemka...

Wenzao kama kina Harold Camping pia walishatabiri kuwa itakuwa 21st May 2011 lakini ikawa empty
 
Let keep on prayers! that is it! The Bible said You will hear rumous and sound of wars but dont be threatened! it is the begining of the end but the real end is yet to come. But when you see the sign of Anti-Christ trying his government toward the holly land then prepare your self!
 

They are Just stories like any other, The World will end but not as per their Speculations.
 

Jee unamkumbuka Yule Kibwetere wa Uganda? Aliwaambia wafuasi wake wajitayarishe kwenda mbinguni. Kilichofuata aliwapiga kibiriti na yeye akatoroka na mali zao zote. Maana wajinga ndio waliwao! Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…