Vituo vya yatima huwa natembelea sana na nimeshatoa kwa kiasi chake....this time nimewiwa kutoa kwa mtu mwingine tofauti na vituoni...Asante sanaNadhani ingekuwa vzr hiyo hela ungenunua hata madaftari upeleke kwny kituo cha yatima wafungue shule wakiwa na furaha
Tungeruhusiwa kupiga kura ningempigia huyu. By the way upo chuo gani.Habari mkuu..
Nina matatizo makubwa sana ya kifamilia, Mama yangu yupo polis mwezi unaisha huu sababu ya kupita eneo la shamba la mwekezaji wakati mimi nipo chuo na nimekosa mkopo mambo yameenda ndivyo sivyo..
Nimekosa hata nauli ya kwenda kumsabahi mama yangu likizo hii fupi..ingawaje wajomba zangu wanahangaikia atoke natumai watafanikiwa ,tatizo na wao mifuko imekauka..
Hali hii ilipelekeage niandike uzi huu
Ninahitaji mkopo wa Tsh 350,000 , dhamana vyeti vyangu vya elimu
Naomba msaada wako mkuu kama utaguswa ..nisingependa kushindanishwa ..
shukrani kiongozibaada ya kusoma hili bandiko lako, umenifanya nikafikiria vitu vingi chanya ambavyo ningeweza kufanya kwa kutumia Tsh 100,000. Mwaka 2018 ntajitahidi niwe na matumizi mazuri ya fedha kwa kufanyia vitu sahihi. Ahsante sana kiongozi.
Nashukuru sana mkuu nitatekeleza nilichokiahidi hapa tarehe 2 kwa ushahidi kabisaBinafsi nimependa hili jambo na nina imani utatekeleza ulichoahidi.
Na hili likifanikiwa najua kuna wengi wataguswa na wakaiga mfano wako.
Kila la kheri
Pole sana mkuu, muombe Mungu atamsaidia bi mkubwa. trudie nadhani ukitoa msaada hapa Mungu atakubariki sanaHabari mkuu..
Nina matatizo makubwa sana ya kifamilia, Mama yangu yupo polis mwezi unaisha huu sababu ya kupita eneo la shamba la mwekezaji wakati mimi nipo chuo na nimekosa mkopo mambo yameenda ndivyo sivyo..
Nimekosa hata nauli ya kwenda kumsabahi mama yangu likizo hii fupi..ingawaje wajomba zangu wanahangaikia atoke natumai watafanikiwa ,tatizo na wao mifuko imekauka..
Hali hii ilipelekeage niandike uzi huu
Ninahitaji mkopo wa Tsh 350,000 , dhamana vyeti vyangu vya elimu
Naomba msaada wako mkuu kama utaguswa ..nisingependa kushindanishwa ..
Mimi nastahili nipewe hiyo nikamuhonge Miss Natafuta huenda nikawa boyfriend wake wa Kwanza JamiiForumsShukran mkuu nikiipata nitaitoa usaidie mtoto aliyefiwa na wazazi Vida vya shule. Nina stahili ukipata kwa kuwa ni mmoja wa wacha Mhina mada wenye bidii