trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
Habari za jumapili wanaJF,
Kwanza namshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi aliyotupatia mpaka tumefika mwisho wa mwaka kwa neema yake pia tutauona mwaka mpya.
Kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa yote aliyonitendea kwa mwaka mzima narudisha shukrani kwa jamii.Najitolea kumpa member mmoja kiasi cha shilingi 100,000/= kama shukrani..
Ili kupata pesa hii niambie unadhani ni kwanini unastahili kuipata na utaifanyia nini..nitasoma comment na mshindi nitamchagua 2/1/2018..Asanteni sana.
Kwanza namshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi aliyotupatia mpaka tumefika mwisho wa mwaka kwa neema yake pia tutauona mwaka mpya.
Kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa yote aliyonitendea kwa mwaka mzima narudisha shukrani kwa jamii.Najitolea kumpa member mmoja kiasi cha shilingi 100,000/= kama shukrani..
Ili kupata pesa hii niambie unadhani ni kwanini unastahili kuipata na utaifanyia nini..nitasoma comment na mshindi nitamchagua 2/1/2018..Asanteni sana.