Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu.Ndio, kwani huwajui? Tangu lini moto ukaona aibu kuwaka mchana? Since when?!
Ila ni bora kwenda machinga complex tu
HakikaHata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu.
Jiulize kwanini Majaliwa hakutoa ripoti ya uchunguzi wa kamati aliyoiunda mwenyewe ya kuungua soko la kariakoo ?Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.