Kibingu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2022 Posts 1,078 Reaction score 1,445 Jan 16, 2022 #1 Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jan 16, 2022 #2 Ndio, kwani huwajui? Tangu lini moto ukaona aibu kuwaka mchana? Since when?! Ila ni bora kwenda machinga complex tu
Ndio, kwani huwajui? Tangu lini moto ukaona aibu kuwaka mchana? Since when?! Ila ni bora kwenda machinga complex tu
Kibingu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2022 Posts 1,078 Reaction score 1,445 Jan 16, 2022 Thread starter #3 FRANCIS DA DON said: Ndio, kwani huwajui? Tangu lini moto ukaona aibu kuwaka mchana? Since when?! Ila ni bora kwenda machinga complex tu Click to expand... Hata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu.
FRANCIS DA DON said: Ndio, kwani huwajui? Tangu lini moto ukaona aibu kuwaka mchana? Since when?! Ila ni bora kwenda machinga complex tu Click to expand... Hata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Jan 16, 2022 #4 Mtekelezaji ndiyo mchunguzaji.
raiswenu JF-Expert Member Joined Apr 20, 2018 Posts 848 Reaction score 1,535 Jan 16, 2022 #5 Haiwezekan Kuwa gaidi, gaidi si amefungiwa, watuambie sababu nyingine
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jan 16, 2022 #6 Huyo gaidi gani anayeunguza masoko??
Lim Hoo JF-Expert Member Joined Apr 20, 2020 Posts 438 Reaction score 1,031 Jan 16, 2022 #7 Kibingu said: Hata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu. Click to expand... Hakika
Kibingu said: Hata huko ipo siku kutachomwa ili waondolewe wapishe wawekezaji. Maskini hawezi kuwa na mahali salama kwenye utawala huu. Click to expand... Hakika
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Jan 16, 2022 #8 Kibingu said: Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Click to expand... Jiulize kwanini Majaliwa hakutoa ripoti ya uchunguzi wa kamati aliyoiunda mwenyewe ya kuungua soko la kariakoo ?
Kibingu said: Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Click to expand... Jiulize kwanini Majaliwa hakutoa ripoti ya uchunguzi wa kamati aliyoiunda mwenyewe ya kuungua soko la kariakoo ?