DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hahahaaaa...... Hapa tunapokea salamu za pongezi kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa namna tulivyoikabili Corona jana WHO wametupongeza na kutupigia mfano.Leo tunapiga Loki mwingine. Namzungumzia boss wako nasikia mambo magumu huko
Pia wanapohama basi muwe mnawaelewa!Upinzani sio uadui,
Wewe binti huchokagi na hizo ndoto zako?Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Yohana mbatizaji! Jitahidi kumuenzi the true Yohana Mbatizaji huenda siku ya siku ikifika unaweza kujumuika nae. Siasa uchwara decreases your credibility.Nimekusamehe bure manka!
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Umekosea ni simba v/s vyura wa JangwaniSiasa ni itikadi si imani ya dini au ushabiki wa mpira kama wa Yanga na paka sorry simba, ni haki na nirahisi kuhama vyama
Yani waige ukichaa?Hahahaaaa...... Hapa tunapokea salamu za pongezi kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa namna tulivyoikabili Corona jana WHO wametupongeza na kutupigia mfano.
Leo Trump katufagilia vile vile na kusema sasa ataiga baadhi ya mambo kutoka kwetu.
Maendeleo hayana vyama!
Kati ya Mnyika na chadema kipi kilianza ukipata jibu ndo utajua Kama ni pigo au sio pigoNapenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Vipimo vya elimu unavielewa ndugu yangu zwazwa? Unaweza kumuita Mbowe failure? Nenda kamuulize PhD holder wako atakupa majibuKwani Mbowe sio form 6? tena form 6 failure? kwa nini hatumuhitaji yeye kama tunahitaji ma'form 6?
Mnyika ni University dropout, na ninauhakika kwa kipindi chote hiki alishajiendeleza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wema unamchukia hivyo baada ya kukunyang'anya Mwigulu aliporudi ccm? Au ulizani atapigiwa chapuo naye kuwa naibu kama wewe?Huyu Ndugai akija atakuwa mgombea urais,kama mapokezi ya Wema yaligharimu mamilioni ya ruzuku sembuse Ndugai?Nakumbuka jinsi Mbowe alivyopoteza fahamu hadi kulazwa Muhimbili kwa kumshangilia Lowasa.Hakuna kiongozi wa Chadema asiye mtiifu kwa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakudadavuwa yuko poa bwashee!Wema unamchukia hivyo baada ya kukunyang'anya Mwigulu aliporudi ccm? Au ulizani atapigiwa chapuo naye kuwa naibu kama wewe?
Maana kwenye kitengo cha ugawaji wote ni magwiji.
(Pichani Naibu waziri akizungumza na mwanahip hop Chid Benz. Picha hii haina uhusiano na post hii)View attachment 1451589
Sent using Jamii Forums mobile app
sio anaweza atahamia tu,mpaka kwenye 2021 huko kuendeleaSiasa za Tanzania ni Siasa za njaa hata Mbowe anaweza kuhamia Ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
KWANI AKIHAMIA WEWE UNAUMIA NINI?Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa ni itikadi si imani ya dini au ushabiki wa mpira kama wa SIMBA na chura wa matopeni sorry Yanga, ni rahisi kuhama vyamaSiasa ni itikadi si imani ya dini au ushabiki wa mpira kama wa Yanga na paka sorry simba, ni haki na nirahisi kuhama vyama
Unahangaika sana.Makamanda wataanza kutembea na mashine za kupimia Bp maana hali si shwari Kalamu1