Endapo John Mnyika atahamia CCM atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu "mfululizo" kuhamia chama tawala na wa 4 kwa muda wote

Endapo John Mnyika atahamia CCM atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu "mfululizo" kuhamia chama tawala na wa 4 kwa muda wote

Leo tunapiga Loki mwingine. Namzungumzia boss wako nasikia mambo magumu huko
Hahahaaaa...... Hapa tunapokea salamu za pongezi kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa namna tulivyoikabili Corona jana WHO wametupongeza na kutupigia mfano.
Leo Trump katufagilia vile vile na kusema sasa ataiga baadhi ya mambo kutoka kwetu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe binti huchokagi na hizo ndoto zako?
 
Acha unafiki kwa Dr Slaa kuteuliwa na Raisi haimanidhi kahamia CCM
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!

Pamoja na kuwachukulia makatibu wao, lakn bado iliendelea kuwapo na hawakukosa makatibu wengine wa kuwateua.
 
Hahahaaaa...... Hapa tunapokea salamu za pongezi kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa namna tulivyoikabili Corona jana WHO wametupongeza na kutupigia mfano.
Leo Trump katufagilia vile vile na kusema sasa ataiga baadhi ya mambo kutoka kwetu.

Maendeleo hayana vyama!
Yani waige ukichaa?
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Kati ya Mnyika na chadema kipi kilianza ukipata jibu ndo utajua Kama ni pigo au sio pigo
 
Je toka hao makatibu wakuu wamehamia CCM, je bi ya sukari imeshawahi kushuka? Halafu kwa taarifa yako Dr. Mihogo hajawhi kurudi CCM
 
Kwani Mbowe sio form 6? tena form 6 failure? kwa nini hatumuhitaji yeye kama tunahitaji ma'form 6?

Mnyika ni University dropout, na ninauhakika kwa kipindi chote hiki alishajiendeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipimo vya elimu unavielewa ndugu yangu zwazwa? Unaweza kumuita Mbowe failure? Nenda kamuulize PhD holder wako atakupa majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Ndugai akija atakuwa mgombea urais,kama mapokezi ya Wema yaligharimu mamilioni ya ruzuku sembuse Ndugai?Nakumbuka jinsi Mbowe alivyopoteza fahamu hadi kulazwa Muhimbili kwa kumshangilia Lowasa.Hakuna kiongozi wa Chadema asiye mtiifu kwa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Wema unamchukia hivyo baada ya kukunyang'anya Mwigulu aliporudi ccm? Au ulizani atapigiwa chapuo naye kuwa naibu kama wewe?
Maana kwenye kitengo cha ugawaji wote ni magwiji.
(Pichani Naibu waziri akizungumza na mwanahip hop Chid Benz. Picha hii haina uhusiano na post hii)
globalpublishers___B98vY4jDvvp___.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wema unamchukia hivyo baada ya kukunyang'anya Mwigulu aliporudi ccm? Au ulizani atapigiwa chapuo naye kuwa naibu kama wewe?
Maana kwenye kitengo cha ugawaji wote ni magwiji.
(Pichani Naibu waziri akizungumza na mwanahip hop Chid Benz. Picha hii haina uhusiano na post hii)View attachment 1451589

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakudadavuwa yuko poa bwashee!
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
KWANI AKIHAMIA WEWE UNAUMIA NINI?
 
Siasa ni itikadi si imani ya dini au ushabiki wa mpira kama wa Yanga na paka sorry simba, ni haki na nirahisi kuhama vyama
Siasa ni itikadi si imani ya dini au ushabiki wa mpira kama wa SIMBA na chura wa matopeni sorry Yanga, ni rahisi kuhama vyama
 
Back
Top Bottom