Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mimi nadhani hiyo itakuwa ni mwanzo wa kukua kwa demokrasia na uwajibikaji ndani ya taifa letu maana hata hao viongozi watakaokuja thereafter they will have that in mind kwamba usipodeliver hata hiyo tano ya mwanzo unaweza usifikishe.
Cha msingi JK from now should prove to us Tanzanians and not CCM kwamba ni kwa nini tumpe tena the last 5 yrs. Akishindwa hata hao CCM wakimpitisha tumpige chini.
Can we do it?????????????
YES WE CAN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Kwa maoni yangu mfanyakazi anastahili kupewa tena mkataba mpya kufuatia utendaji wake mzuri wa mkataba uliokwisha ambao umewaridhisha wale waliomuajiri. Kikwete mpaka sasa hivi utendaji wake hauridhishi kabisa na Watanzania wengi tumekatishwa tamaa na utendaji wake.
Kwa mantiki hiyo basi CCM kama kweli wana demokrasi iliyokomaa ndani ya chama chao basi hawastahili kumpa Kikwete nafasi hiyo bali wamtafute mtu mwingine atakayeweza kukisafisha chama hicho na kuiongoza Tanzania vizuri ili ipate maendeleo yanayostahili na pia kupambana na mafisadi bila woga. Kuna sababu chungu nzima za kuwa na Rais mpya baada ya uchaguzi wa 2010.
Sorry kama nitawakwaza watu lakini ku generalize hivi mfano "Watanzania wengi tumekatishwa tamaa na utendaji wake binafsi napenda kupingana nao. hivi hatuwezi kufanya surveys tukapata statistics. wengi maana yake ni 50%, or 70% or what? katika 35+million. Inaweza kuwa 10% hawampendi. mnasemaje wakuu? kuna NGO na hata mashirika mbalimbali, wangeweza kuja na numbers. Hatuwezi kujifananisha na USA lakini tungeweza kuelekea huko kwa kuwa na % wanapendelea nini, ingetusaidia kuwa na Directiion nzuri. otherwise tunajadili tukiwa gizani.
Hii ya yes we can inanikumbusha nguvu mpya, ari mpya, na kasi mpya...(I don't necessarily know the order)......hii mi slogan ni ya kuchota tu akili za watu. Viongozi ambao ni viongozi huwa hawatumii slogan zinazo-chant-iwa na mijitu mingi
Mkuu hii 'yes we can" najua una beef nayo kibinafsi twende kwenye hoja maana tukianzisha mjadala wa ni namna gani slogans zimeweza kuleta changes duniani, uuhshhhhhhhhh! sorry najua neno "change" pia hulipendi well the list is long.
Enway turudi kwenye hoja..........
Tusiende mbali...tuanze na ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya na maisha bora kwa kila Mtanzania.....hizi kauli mbiu zimeleta mabadiliko gani Tanzania..?
Well this is if any of us believed it, kiukweli hii ilikuwa ni vague statement na watanzania hata hatukuwahi kuuliza how and when. Na ndio maana hazisikiki tena na mayb we wil neva hear 'em again!!!!!!!!!!!!!
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Swali lako limekaa too simplistic
lakini kwa sababu swali lako lenyewe limekaa kiform two, two nadhani walengwa wako ambao inaeleka walilijibu hilo swali ha history la FORM 2 watakujibu unavyotaka
Weka la kwako la levo ya mastaz basi.....
ahhh unajua JF kwa sasa should be different from other forums bwana weee
swali kama hilo ukiliona kwenye forums za IPPMEDIA au kule TANZANIA DAIMA au kule kwingine sawa
sasa hebu niambie wachambuzi kama akina ES na wengineo watajibu hilo swali la FORM 2?
Sasa wewe unatafuta ugomvi.....mie simo na mchanga wa pwani huo.....Lol