Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Okay, tuje Marekani sasa na hii ya change change change.....zaidi ya kumchagua raisi chotara, ni change gani watu wanayotegemea? Kwamba serikali itaanza kulipia car note na mortgage note zao kila mwezi na kuwawezesha watu kubakiza hela nyingi za matumizi hence kuboresha maisha zao au?
Au ndio yale yale ya kuibuka na "vague statement" na kuchota akili za watu ili wakupigie kura uwe raisi? Ni change gani unapoajiri karibu robo tatu nzima ya timu yako kutoka katika utawala wa raisi mstaafu? Is that change we can believe in?
Nijuavyo mimi ni kwamba lile kundi la mafisadi ndani ya CCM wanafurahia trend ya huu mjadala kweli kweli. Tunapojadili tukumbuke pia ndani ya CCM kuna ambao ni worse off 100x kuliko huyu JK na ndio hao wako nasi hapa JF kuhakikisha JK is finished b4 2010.
Ni kweli nchi haitayumba lakini JamiiForum itafungiwa, maandamano yote ya walimu, wanafunzi, wastaafu wa EAC, TRL, nk. yatapigwa marufuku. Waandishi watapewa kibano, magazeti yatafungiwa, viongozi wa upinzani wakipiga kelele watasweka rumande, wabunge wataambiwa wafunge midomo yao. Mashirika kama Hakielimu yatafungiwa. Kina mama Killango na timu yake wataambiwa either wabaki CCM au wafunge midomo.
Hapo sasa nchi itatulia kwani kutakuwa na amani na utulivu tunaopigania; hakutakuwa na migomo tena, wala uchochezi kutoka media, wala kuwachafulia waheshimiwa majina kwa kuwaita mafisadi, nk.
Viva demokrasia - ondoa Kikwete - viva Lowassa and company - Viva ufisadi! Vicious circle!!
Kikwete ni kweli ni failure lakini bado sijamkatia tamaa. Naona kama iko siku atakubali kuitikia sauti ya watu! bado nina matumaini kidogo japokuwa yanafifia kila kukicha!
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Endapo kampeni ya kumzuia JK kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM 2010 itafanikiwa Taifa letu litakuwa matatani kwani itakuwa ni mgawanyiko ambao Taifa haliwezi kustahimili. Kwa ajiili ya amani, umoja, na mshikamano vyovyote vile ni lazima Kikwete awe mgombea wa CCM. Nje ya hapo Nchi yetu itayumba.
Think you are doing that history paper ambapo uliulizwa "discuss how the British used indirect rule in colonial Africa compared to the system of assimilation used in French colonies".
Kama kichwa cha habari cha thread ilivyo ndio madhumuni ya mjadala huu... basi sisi sio wana-demokrasia... huwezi kujadili kumzuia Raia wa Tanzania kutotekeleza haki yake ya kuchagua/kuchagulia kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi!
Dawa tafuta ya kushindana naye!
Tanzania bila CCM na isiyo na mafisadi inawezekana kabisa. Matatizo makubwa yanayoikabili nchi yetu sasa hivi mengi yamesababishwa na CCM na mafisadi wao waliojaa ndani ya chama na serikali. CCM kwa sasa haina tena uwezo wa kuiongoza Tanzania ni wababaishaji tu na wanahakikisha wanalinda maslahi yao ya kuendelea kuwa madarakani.
yeye sio mungu na tanzania sio mali yake! Tanzania ilikuwepo kabla yake na itakuwepo baada yake. Tanzania sio ya mtu mmoja. Tanzania ni ya watu milioni 38-40. Hii dhana ya kumtegemea mtu mmoja na bila yeye hatuwezi ku survive ni dhana ya kichovu. Mimi sijali kama chama chake kitamteua kugombea tena au vipi. Kwanza sijui hata utaratibu wao wa kuchagua wagombea ukoje. Ninachojali mimi ni kupata mgombea mbadala ndani au nje ya ccm mwenye sifa za uongozi na aliye na rekodi ya utendaji wa kazi wenye matokeo mazuri. Hii sio guarantee kwamba mtu huyo atakuwa raisi bora (kuliko kikwete) lakini angalau tutakuwa na matumaini halisia kuwa anaweza kuja kufanya kazi nzuri.
Narudia tena. Tanzania sio mali ya mtu mmoja na haitegemei mtu mmoja kuiongoza. Kikwete na ccm ni binadamu kama sisi wengine na wala sio wateule wa mungu walioletwa kuja kuongoza tanzania (kuna baadhi ya watu wanaamini hivyo). Waondoke tu na sisi tutakuwa just fine.